Waziri ahimiza vyuo kuzalisha wataalamu
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa,amevitaka vyuo vya ufundi kuhakikisha vinawaandaa wataalamu ili nchi ijiendesha kwa viwanda, hasa kwa wakati huu ambapo rasilimali nyingi zinagundulika kama vile gesi, mafuta na madini .
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Oct
Ukusanyaji takwimu Afrika yatakiwa kuzalisha wataalamu wake
Wataalamu wa Takwimu katika nchi za Afrika wametakiwa kutumia utaalamu walionao kuzalisha wataalam vijana watakaoleta mabadiliko kwa kutumia teknolojia mpya ya sayansi.
Mkurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Albina Chuwa amesema nchi za Afrika zikikosa wataalamu wa ndani wataalam kutoka nje watachukua nafasi ya kukusanya takwimu bila kuzingatia hali halisi ya Afrika.
Mkurugenzi wa Takwimu, Albina Chuwa anasema njia zinazotumika kwa sasa katika kufanya tafiti za takwimu zinatumia bilioni...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-M3f85VPN05o/Vojg_IygRwI/AAAAAAAIQC4/3IGiGJ1DTnU/s72-c/PICHA%2BNO%2B1.jpg)
WATAALAMU WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI YA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-O8nDvKK8t8w/XtYxCT2ymsI/AAAAAAACL6o/wZVb4JL2mXcCxkbF-WKT2INPX9BBqRiaQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200602_124802.jpg)
BABA WA UZAO AHIMIZA WAUMINI KUZALISHA MALI, ASEMA KANISANI SIYO MAHALA PA WENYE SHIDA NA MATATIZO NA KUSUBIRI MIUJIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-O8nDvKK8t8w/XtYxCT2ymsI/AAAAAAACL6o/wZVb4JL2mXcCxkbF-WKT2INPX9BBqRiaQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200602_124802.jpg)
Kanisa Halisi la Mungu Baba limeonyesha kuwa miongoni mwa Taasisi za Kijamii ambazo zimeendelea kuunga mkono mwito wa Rais Dk. John Magufuli wa kuwataka Watanzania kuacha hofu dhidi ya Corona, badala yake wachape kazi za kujenga uchumi huku wakiendelea kuchukua thadhari tu dhidi ya ugonjwa huo.
Katika kuonyesha kuunga mkono mwito huo wa Rais, Kanisa hilo limekuwa likihamasisha waumini wake kufanyakazi za uzalishaji kila mmoja katika nafsi yake na kisha kuwakutanisha kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O_6rE65Cxvg/U9TeL84kpaI/AAAAAAAF7Ac/Gletc3K00JM/s72-c/salma-pps.jpg)
Mama Kikwete ahimiza wanafunzi wa kike wa vyuo vya ualimu kuvaa mavazi ya heshima
![](http://4.bp.blogspot.com/-O_6rE65Cxvg/U9TeL84kpaI/AAAAAAAF7Ac/Gletc3K00JM/s1600/salma-pps.jpg)
Wanafunzi wa kike wa vyuo vya ualimu nchini wametakiwa kuvaa mavazi nadhifu yanayoendana na maadili ya kazi yao ili wanafunzi na jamii inayowazunguka ijifunze kutoka kwao kwani wao ni kioo cha jamii.
Mwito huo umetolewa hivi karibuni na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na baadhi ya wanafunzi wa kike wa chuo cha Ualimu Nachingwea mara baada ya kumalizika kwa futari aliyoiandaa kwa ajili ya viongozi wa wilaya iliyofanyika chuoni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C-ee12u9090/Xmps7MiN3EI/AAAAAAAC8Uc/6WQLAgT3Q88vQ9gah2wHP2FJcd79Hm3wACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Sekta ya Madini kuzalisha mamilionea – Waziri Biteko
Waziri wa Madini Doto Biteko amesema kuwa Serikali kupitia Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Tume ya Madini inaendelea kuhakikisha inawawezesha wachimbaji na wafanyabiashara wa madini ili waweze kuwa mamilionea huku Serikali ikipata mapato yake kutokana na kodi mbalimbali na kuinua Sekta ya Madini.
Waziri Biteko aliyasema hayo leo tarehe 12 Machi, 2020 kwenye ziara ya Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini iliyofanyika katika machimbo ya mawe ya nakshi Ntyuka, Soko...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a_xox5K29aY/Xr2NibSO-II/AAAAAAALqRo/VsFSTltjQL4rpmMn4WUjCtjYo8muj58fQCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_9429AAA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUZALISHA UMEME WA JNHPP
![](https://1.bp.blogspot.com/-a_xox5K29aY/Xr2NibSO-II/AAAAAAALqRo/VsFSTltjQL4rpmMn4WUjCtjYo8muj58fQCLcBGAsYHQ/s640/PMO_9429AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PMO_9326AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PMO_9442AAA-1024x683.jpg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nishati Dkt. Medad Kalemani, wakati alipokagua hatua za utekelezaji wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X9fNYiASwUU/XlkVK7neQwI/AAAAAAALf14/gZXGvWJQud8bcv9stwox9defM_mxQ_b9QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AWATAKA POLISI KUACHA KUZALISHA MAHABUSU MAGEREZANI
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukagua miradi ya maendeleo ya Jeshi la Magereza na baadaye kuzungumza na Maafisa na Askari wa Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dodoma, leo, Simbachawene alisema Jeshi hilo linakabiliwa na changamoto ya idadi kubwa ya mahabusu ukilinganisha na wafungwa waliopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VjwBgzHpT9I/XpYLOUfDLGI/AAAAAAALm80/CEcjCAHj8xkmBW8BygXYc-EwZVkLrHQkQCLcBGAsYHQ/s72-c/4ee6ed17-76d1-4734-9f52-083eb9e25753.jpg)
Timu ya Wataalamu Yakamilisha Utekelezaji Maagizo ya Waziri
![](https://1.bp.blogspot.com/-VjwBgzHpT9I/XpYLOUfDLGI/AAAAAAALm80/CEcjCAHj8xkmBW8BygXYc-EwZVkLrHQkQCLcBGAsYHQ/s640/4ee6ed17-76d1-4734-9f52-083eb9e25753.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/a1b53cde-c969-4d42-8a2b-ce3820a58277.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Waziri Simba ahimiza upimaji afya
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sofia Simba, amewataka watanzania kuwa na tabia ya kupima afya mara kwa mara ili kuepuka magonjwa yanayoweza kutibiwa katika hatua za awali....