Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu ya Wataalamu Yakamilisha Utekelezaji Maagizo ya Waziri


Sehemu ya Kiwanda (Kinu) cha Mzee Kisangani cha Kuyeyushia Madini ya Chuma kabla ya kupelekwa Kiwandani kwa ajili ya kutengeneza zana za Kilimo.Baadhi ya Wataalam wakiwa juu ya “Kinu” walikopatiwa maelezo na Mzee Kisangani (wa mwisho) kuona namna kinavyofanya kazi. Wa kwanza ni DKt. Yohana Mtoni (NDC), Prof. Sylivester Mpanduji (SIDO), Prof....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Hospitali ya Taifa Muhimbili yaanza utekelezaji wa maagizo ya Maguful

 

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imeanza utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli alipofanya ziara ya kushtukiza katika hospital hiyo jumatatu wiki hii.

Rais Magufuli baada ya kutembelea na kujionea changamoto mbalimbali, alitoa wiki mbili kwa uongozi wa hospitali hiyo kuhakikisha mashine za IMR na CT- SCAN zinatengenezwa na kuanza kufanya kazi.

Akizungumza na waandishi wa Habari Afisa Habari wa Hospital ya Taifa ya Muhimbili Aminiel...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU: ATOA MAAGIZO

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepiga marufuku shughuli zisizohusiana na taaluma kama ujenzi wa viwanda katika maeneo ya shule ili kutoa fursa kwa wanafunzi kuwa kwenye mazingira mazuri ya kujifunzia.
“Sheria inakataza kuweka matumizi yoyote yasiyokuwa ya kitaaluma katika maeneo ya shule kwani yanasababisha kelele hivyo wanafunzi kushindwa kusoma vizuri.”
Waziri Mkuu aliyasema hayo jana jioni(Jumanne, Machi 3, 2020) baada ya kupokea malalamiko ya wazazi kuhusu eneo la shule ya msingi...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA WAKUU WA MIKOA NCHINI

  Wakuu wa Mikoa kote nchini wameagizwa kuwachukulia hatua wale wote watakaobainika kuuza sukari kwa shilingi 4500.
Waziri Mkuu Mhe.Kasim Majaliwa amesema hakuna sababu ya sukari kupanda bei kwani sukari ipo yakutosha, ilikuwa imepungua imeagizwa na imekwishaletwa.
Majaliwa ameyasema hayo leo Jumatano April 22, 2020 akiwa kwenye Maombezi ya kuombea Taifa dhidi ya ugonjwa huu yanayofanyika katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar 
“Wiki hii waumini wa kiislamu wanaanza mfungo wa Ramadhan hivyo...

 

5 years ago

Michuzi

MAAGIZO YA WAZIRI JAFO NI FUNZO KUBWA KWA WATENDAJI WA UMMA

KWA miaka mingi kulijengeka utamaduni kwa viongozi wengi hapa nchini kutoa maagizo mbalimbali bila kufanya ufuatiliaji kitendo kilicholeta tabia ya uzembe kwa watendaji wa umma kutotekeleza maagizo hayo na hivyo kusababisha kutokamilika kwa miradi mingi na upotevu mkubwa wa fedha za umma. 
Katika kipindi cha miaka mitano ya serikali ya awamu ya tano kimekuwa kipindi tofauti sana kwa upande wa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwani Waziri Jafo amekuwa mwiba kwa wazembe Kwani kila kinacho agizwa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA AKAGUA MAGHALA YA SUKARI DAR ES SALAAM, ATOA MAAGIZO MAZITO

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akiwa ameambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Sukari Tanzania Prof Keneth Bengesi kukagua maghala ya kuhufadhia sukari Jijini Dar es salaam, leo tarehe 16 Mei 2020 wakati akifanya ziara ya kushtukiza Jijini Dar es salaam ili kukagua na kujionea hali ya upatikanaji wa sukari nchini. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Sukari Tanzania Prof Keneth Bengesi wakishusha...

 

9 years ago

StarTV

  Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhiwa Ofisi,  Pinda amtaka kuimarisha ufuatiliaji maagizo

 

Waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda amekabidhi ofisi kwa Waziri Mkuu Majaliwa Kasim Majaliwa.

Mheshimiwa Pinda amemtaka Waziri Mkuu Majaliwa kuimarisha ufuatiliaji wa maelekezo anayoyatoa kwenda ngazi za chini.

Akizungumza wakati wa makabidhiano yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar es Salaam, Pinda amesema katika kipindi cha uongozi wake kulikuwa na ucheleweshaji wa kupata majibu kutoka ngazi ya chini katika maelekezo aliyokuwa akitoa.

Amemtaka...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI JAFO ARIDHISHWA NA KASI UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU, ATOA MAAGIZO KWA TBA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akitoa maelekezo kwa Wakala wa Majengo Nchini (TBA) alipofika kutembelea ujenzi wa Hospitali ya Uhuru inayojengwa wilayani Chamwino, Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo (kulia) akikagua ujenzi wa Hospitali ya Uhuru inayojengwa wilayani Chamwino, Dodoma. Ziara hiyo ameifanya leo ambapo aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Binilith Mahenge (katikati).Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akipokea...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MHAGAMA ATOA MAAGIZO UJENZI WA MRADI KIWANDA CHA MACHINJIO YA KISASA WA NGURU KUKAMILIKA KWA WAKATI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (wa pili kutoka kushoto) akizungumza na wasimamizi wa mradi wa machinjio ya kisasa ya Nguru Hills alipofanya ziara ya kukagua Maendeleo ya ujenzi wa mradi huo uliopo Nguru ya Ndege, Mvomero Mkoani Morogoro. Wa pili kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) Bw. Hosea Kashimba.



Mkurugenzi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri ahimiza vyuo kuzalisha wataalamu

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa,amevitaka vyuo vya ufundi kuhakikisha vinawaandaa wataalamu ili nchi ijiendesha kwa viwanda, hasa kwa wakati huu ambapo rasilimali nyingi zinagundulika kama vile gesi, mafuta na madini .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani