Usafiri treni Bara wasitishwa
KAMPUNI ya Reli Tanzania (TRL), imesitisha kwa muda huduma ya usafiri wa treni kwenda mikoani. Kusitishwa kwa usafiri huo unaotegemewa na Watanzania wengi nchini, kumetokana na kujaa maji katika stesheni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Usafiri wa treni kuboresha uchumi TZ?
11 years ago
Habarileo03 Jan
Usafiri wa treni Dar es Salaam kuongezwa
HUDUMA ya usafiri wa treni ya abiria jijini Dar es Salaam inatarajiwa kuongezwa mwaka huu watu wengi zaidi wanufaike. Aidha mchakato wa ujenzi wa barabara za juu ya nyingine katika njia panda za Tazara na Ubungo umeshaanza.
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Serikali yatafuta mwekezaji usafiri wa treni
SERIKALI imeruhusu mtu yeyote mwenye uwezo wa kuwekeza katika usafiri wa treni ajitokeze, ili kuuboresha. Naibu Waziri wa Uchukuzi, Charles Tizeba, alieleza hayo mjini hapa jana katika kongamano la uwekezaji...
11 years ago
Habarileo07 Jan
Treni kwenda Bara yaahirishwa
TRENI ya abiria ya kutoka Dar es Salaam kwenda mikoa ya Bara, iliyokuwa iondoke leo imeahirishwa, kutokana na ajali ya treni ya mizito iliyotokea juzi usiku katika stesheni za Luiche na Kigoma.
11 years ago
Habarileo03 Jun
Treni ya abiria bara kuanza leo
HUDUMA ya usafiri wa treni ya abiria kuelekea bara zinaanza rasmi leo, huku, Kampuni ya Reli ya Tanzania (TRL) ikiwahakikishia wananchi kutokuwa na hofu juu ya usafiri huo.
10 years ago
Habarileo10 Mar
Treni iendayo kasi kwenda Bara kuanza Aprili
SHIRIKA la Reli Tanzania (TRL) limetangaza nauli ya treni mpya ya Deluxe, zilizoidhinishwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), zitakazoanza kutumika mapema Aprili, mwaka huu.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-34W8X8sIodE/U5dB_vWDqWI/AAAAAAAFpmM/tiyO0bRBvps/s72-c/TanzaniaTRCDar.jpg)
KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-34W8X8sIodE/U5dB_vWDqWI/AAAAAAAFpmM/tiyO0bRBvps/s1600/TanzaniaTRCDar.jpg)
Tokea asubuhi ya leo Mkurugenzi Mtendaji wa TRL Mhandisi Kipallo Aman Kisamfu na Wahandisi waandamizi na Mafundi ujenzi walifika katika daraja hilo lililopo km 82/5 na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yLU2uquS8Mw/VXbFOu4EqAI/AAAAAAAHdUs/FNyfyj6lEMY/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
Treni ya kwenda Bara yaahirishwa hadi kesho Jumatano Juni 10, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-yLU2uquS8Mw/VXbFOu4EqAI/AAAAAAAHdUs/FNyfyj6lEMY/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa safari hiyo ni ajali ya treni ya mizigo iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumanne Juni 09, 2015 maeneo ya Stesheni za Ngeta na Ruvu mkoani Pwani ambapo mabehewa matano yenye shehena ya sukari yameanguka...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rAEb8F9Np1Y/U6K4o0Q3ooI/AAAAAAAFrrg/Kvk9M-WiEjc/s72-c/ABIRIA+WAKIDANDIA+TRENI.jpg)
JUST IN: HUDUMA YA TRENI YA ABIRIA YA BARA KUANZA TENA JUMANNE JUNI 24, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-rAEb8F9Np1Y/U6K4o0Q3ooI/AAAAAAAFrrg/Kvk9M-WiEjc/s1600/ABIRIA+WAKIDANDIA+TRENI.jpg)
Halikadhalika muda wa kuondoka treni kwa siku za Jumanne na Ijumaa...