Treni iendayo kasi kwenda Bara kuanza Aprili
SHIRIKA la Reli Tanzania (TRL) limetangaza nauli ya treni mpya ya Deluxe, zilizoidhinishwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), zitakazoanza kutumika mapema Aprili, mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Jan
Arusha kuanzisha treni iendayo kasi
MKOA wa Arusha unatarajia kuanzisha usafiri wa treni iendayo kasi kati ya jiji la Arusha na Moshi, ikiwa ni jitihada za kuboresha huduma ya usafiri katika Kanda ya Kaskazini.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SPGCZr2DBbY/VQxpHa7gh3I/AAAAAAAHLus/PdaCDPSakj0/s72-c/PHO-10Sep21-253577.jpg)
TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA KUANZA TENA SAFARI ZAKE MACHI 24, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-SPGCZr2DBbY/VQxpHa7gh3I/AAAAAAAHLus/PdaCDPSakj0/s1600/PHO-10Sep21-253577.jpg)
Wananchi wanaotaka kusafiri wafike stesheni zilizo karibu yao kwa ajili ya kukata tiketi ya safari hiyo.
Huduma ya usafiri wa reli ilisitishwa wiki mbili zilizopita Machi 6, 2015 baada ya eneo la tuta la reli kati ya Stesheni za Kilosa na Kidete kukuharibiwa vibaya...
11 years ago
Habarileo07 Jan
Treni kwenda Bara yaahirishwa
TRENI ya abiria ya kutoka Dar es Salaam kwenda mikoa ya Bara, iliyokuwa iondoke leo imeahirishwa, kutokana na ajali ya treni ya mizito iliyotokea juzi usiku katika stesheni za Luiche na Kigoma.
11 years ago
Habarileo03 Jun
Treni ya abiria bara kuanza leo
HUDUMA ya usafiri wa treni ya abiria kuelekea bara zinaanza rasmi leo, huku, Kampuni ya Reli ya Tanzania (TRL) ikiwahakikishia wananchi kutokuwa na hofu juu ya usafiri huo.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-34W8X8sIodE/U5dB_vWDqWI/AAAAAAAFpmM/tiyO0bRBvps/s72-c/TanzaniaTRCDar.jpg)
KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-34W8X8sIodE/U5dB_vWDqWI/AAAAAAAFpmM/tiyO0bRBvps/s1600/TanzaniaTRCDar.jpg)
Tokea asubuhi ya leo Mkurugenzi Mtendaji wa TRL Mhandisi Kipallo Aman Kisamfu na Wahandisi waandamizi na Mafundi ujenzi walifika katika daraja hilo lililopo km 82/5 na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KUjOL8Qy3DU/VPnCAKiTivI/AAAAAAAHIC0/fLHMio3x0YE/s72-c/mot_03.jpg)
TRL YASITISHA SAFARI ZA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA KUANZIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-KUjOL8Qy3DU/VPnCAKiTivI/AAAAAAAHIC0/fLHMio3x0YE/s1600/mot_03.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo Wahandisi na Mafundi wa TRL wako katika eneo la tukio wakifanya tathmini ya jinsi zoezi la ukarabati utakavyofanyika na kwa muda gani.
Ikifafanua zaidi taarifa imeeleza kuwa tathmini ya mafundi hao...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kHdFXIM5URA/U5gpKwRbVoI/AAAAAAAFpv4/9q7VMeEqLvE/s72-c/TanzaniaTRCDar.jpg)
UPDATES: KUHUSU KUAHIRISHWA KWA SAFARI YA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kHdFXIM5URA/U5gpKwRbVoI/AAAAAAAFpv4/9q7VMeEqLvE/s1600/TanzaniaTRCDar.jpg)
Hapo jana Mkurugenzi Mtendaji wa TRL Mhandisi Kipallo Aman Kisamfu na Wahandisi waandamizi na Mafundi Mchundo Ujenzi walifika katika daraja hilo lililopo km 82/5 na kulifanyia tathmini ili kuona...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yLU2uquS8Mw/VXbFOu4EqAI/AAAAAAAHdUs/FNyfyj6lEMY/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
Treni ya kwenda Bara yaahirishwa hadi kesho Jumatano Juni 10, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-yLU2uquS8Mw/VXbFOu4EqAI/AAAAAAAHdUs/FNyfyj6lEMY/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa safari hiyo ni ajali ya treni ya mizigo iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumanne Juni 09, 2015 maeneo ya Stesheni za Ngeta na Ruvu mkoani Pwani ambapo mabehewa matano yenye shehena ya sukari yameanguka...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rAEb8F9Np1Y/U6K4o0Q3ooI/AAAAAAAFrrg/Kvk9M-WiEjc/s72-c/ABIRIA+WAKIDANDIA+TRENI.jpg)
JUST IN: HUDUMA YA TRENI YA ABIRIA YA BARA KUANZA TENA JUMANNE JUNI 24, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-rAEb8F9Np1Y/U6K4o0Q3ooI/AAAAAAAFrrg/Kvk9M-WiEjc/s1600/ABIRIA+WAKIDANDIA+TRENI.jpg)
Halikadhalika muda wa kuondoka treni kwa siku za Jumanne na Ijumaa...