Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usafiri wa treni kuboresha uchumi TZ?

Je uboreshwaji wa usafiri wa treni unawezaje kuboresha uchumi na maisha ya mtanzania?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Usafiri treni Bara wasitishwa

KAMPUNI ya Reli Tanzania (TRL), imesitisha kwa muda huduma ya usafiri wa treni kwenda mikoani. Kusitishwa kwa usafiri huo unaotegemewa na Watanzania wengi nchini, kumetokana na kujaa maji katika stesheni...

 

11 years ago

Habarileo

Usafiri wa treni Dar es Salaam kuongezwa

HUDUMA ya usafiri wa treni ya abiria jijini Dar es Salaam inatarajiwa kuongezwa mwaka huu watu wengi zaidi wanufaike. Aidha mchakato wa ujenzi wa barabara za juu ya nyingine katika njia panda za Tazara na Ubungo umeshaanza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yatafuta mwekezaji usafiri wa treni

SERIKALI imeruhusu mtu yeyote mwenye uwezo wa kuwekeza katika usafiri wa treni ajitokeze, ili kuuboresha. Naibu Waziri wa Uchukuzi, Charles Tizeba, alieleza hayo mjini hapa jana katika kongamano la uwekezaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, Canada kuboresha usafiri wa reli

WIZARA ya Uchukuzi  imefikia makubaliano ya ushirikiano na Canada kwa lengo la kuiboresha sekta ya reli hiyo nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Katibu Mkuu, Monica Mwamnyange, alisema...

 

10 years ago

Mwananchi

Watalii waiomba Serikali kuboresha usafiri wa anga

Wafanyabiashara wa utalii kutoka nchi za Ulaya, Marekani na Asia wameitaka Serikali kuboresha usafiri wa anga ili kuongeza idadi ya watalii.

 

11 years ago

Dewji Blog

UDA yasisitiza nia yake ya kuboresha usafiri Dar Es Salaam

419019_10150720985913420_2033299647_n

Na Mwandishi Wetu,

KAMPUNI ya Simon Group Limited imesisitiza dhamira yake ya kuboresha sekta ya usafiri katika Jiji la Dar es Salaam licha ya kampeni zinazoendelea kutoka kwa washindani binafsi ikiwa na lengo la kuvuruga mpango unaoendelea wa uwezekezaji katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ili waweze kuitawala biashara ya usafiri.

Kwa mujibu wa taarifa ya UDA, mpango unaendelea wa kuifanya Dar es Salaam liwe jiji lenye urahisi katika usafiri kwa kufanya kazi kwa karibu na...

 

11 years ago

Mwananchi

Uchumi wa Rukwa utakua tukiimarisha sekta ya usafiri

Miaka nenda rudi kilio cha wakazi wa mkoa wa Rukwa ni kutaka kuboreshewa miundombinu ya usafiri, hususan barabara na viwanja vya ndege, ili mkoa huo uweze kufunguka kiuchumi sambamba na mikoa mingine hapa nchini.

 

11 years ago

Habarileo

TPSF yataka kauli sera kuboresha uchumi

IMEELEZWA kuwa mchango mkubwa wa kisera katika uchumi unaofanywa na sekta binafsi unastahili kukuzwa kwa manufaa ya sekta na taifa kwa ujumla.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkapa: Kuboresha mazingira ya biashara kutachochea ukuaji uchumi

Rais mstaafu, Benjamin Mkapa anaamini Bara la Afrika linahitaji kuongeza juhudi katika kuboresha mazingira ya biashara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani