Kwa nini mataifa ya kiarabu hayawachukui wakimbizi wa Syria
Picha za wakimbizi wa Syria waliokwama katika mipaka na vile vile katika vituo vya treni bila kutaja picha ya mvulana mdogo wa miaka mitatu Alan Kurdi aliyekuwa amesombwa na maji katika ufukwe wa bahari wa Uturuki zimezua hisia kwa juhudi zaidi kuchukuliw
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Kwa nini nchi za Kiarabu haziwachukui wakimbizi wa Syria
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/08/27/150827173511_syria_refugees_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Picha za wakimbizi wa Syria waliokwama katika mipaka na vile vile katika vituo vya treni bila kutaja picha ya mvulana mdogo wa miaka mitatu Alan Kurdi aliyekuwa amesombwa na maji katika ufukwe wa bahari wa Uturuki zimezua hisia kwa juhudi zaidi kuchukuliwa ili kuwasaidia wale wanaotoroka vita.
Hasira zaidi zimelenga mataifa ya uarabuni kama vile Saudi Arabia,Bahrain,Kuwait,Qatar,Oman na UAE ambao wamefunga milango yao kwa wakimbizi hao.
Kufuatia ukosoaji huo,ni muhimu...
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Wakimbizi wa Syria, mzigo kwa Lebanon
Idadi ya wakimbizi waliotoroka Syria na kukimbilia Lebanon imeongezeka na kufika watu milioni moja. Lebanon inasema huu ni mzigo mkubwa
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
Mataifa ya milki za kiarabu kukabili IS
Muungano wa milki ya nchi za kiarabu unasema kuwa unatuma ndege za kivita aina ya F-16 kwenda nchini Jordan kusaidia taifa hilo
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Mataifa ya kiarabu yataka suluhu Libya
Kundi la mataifa ya nchi za magharibi limetaka kuwepo kwa hatua za dharaua kutafuta suluhu ya kisiasa nchini Libya
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Mataifa ya kiarabu kubuni jeshi la pamoja
Rais wa Misri Abdul Fattah al-Sisi amesema kuwa viongozi wenzake wa nchi za kiarabu wamekubali kuunda jeshi la pamoja.
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
UN;yawatetea wakimbizi wa Syria.
Umoja wa mataifa umetoa wito kwa serikali ya Jordan kuwaruhusu wakimbizi wanaokadiriwa kufikia elfu kumi na mbili wa Syria ..
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Ugaidi: Wakimbizi Syria wabanwa
Kitengo cha misaada cha umoja wa mataifa kimetoa onyo juu ya suala la wakimbizi kutoka Syria kwamba hawapaswi kupewa uhuru mkubwa kufuatia shambulio la mjini Paris
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
IS yadhibiti kambi ya wakimbizi Syria
Wapiganaji wa kundi la Islamic State nchini Syria wameingia na kuchukua udhibiti wa kambi kubwa ya wakimbizi wa Palestina
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania