Marekani yakamata meli ya Libya
Meli kubwa ya mafuta mali ya serikali ya Libya inashikiliwa na kikosi cha maalum cha wanamaji wa Marekani baada ya kukamatwa katika bahari ya kimataifa kusini mwa Cyrus.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Meli ya Korea Kaskazini yanaswa Libya
Serikali ya Libya imesema imeikamata meli iliyokuwa na bendera ya Korea Kaskazini ikiwa na shehena haramu ya mafuta ghafi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NfZBQ8g66NRJ6bsuC3jR3duvlggg*oMC7x8q-BsF**dVqz8iLuCQosQX*JPgaOj-1k1TIhvitMc53zlD4YoRu5hkg13hJoZX/MELI1.jpg?width=650)
MELI YA MAREKANI YAZUIWA MEXICO
Meli ya Carnival Magic ya Marekani (Picha na Maktaba). Meli ya Carnival Magic ya Marekani imezuiwa kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel ikihofiwa kuwa na mgonjwa wa Ebola. Meli hiyo iliondoka katika jimbo la Texas ikiwa na mhudumu mmoja wa afya ambaye alikuwa amehudumia sampuli za mgonjwa wa ebola marehemu Thomas Duncan aliyeaga dunia kutokana na ugonjwa huo. Afisa mmoja katika bandari ya Mexico alisema kuwa hatua...
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Marekani yatuma meli ya kivita Indonesia
Wanamaji kutoka Marekani wamesema kuwa wanapeleka moja ya Manowari ya kivita kutafuta ndege ya AirAsia iliyopotea.
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Ebola:Meli ya Marekani yazuiwa Mexico
Meli moja ya Marekani imenyinwa ruhusu ya kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel kutokana na hofu ya ebola.
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Coronavirus: Marekani kuwaondoa raia wake katika meli ya Diamond Princess
Hatua hiyo inajiri huku idadi ya waliofariki kwa virusi vya corona ikizidi 1,500.
5 years ago
BBCSwahili24 May
Jinsi meli tano za mafuta zilizokuwa zikielekea Venezuela zilivyozua hofu kati ya Marekani na Iran
Hali ya wasiwasi kati ya Marekani na Iran imechukua sura mpya nchini Venezuela.
11 years ago
BBCSwahili28 Dec
Libya yawaachia wanajeshi wa Marekani
Makao Makuu ya Ulinzi nchini Marekani, Pentagon imesema wanajeshi wake wanne waliokuwa wakishikiliwa waameachiwa Libya.
11 years ago
BBCSwahili26 Jul
Marekani yafunga ubalozi Libya
Marekani imeamua kufunga ubalozi wake mjini Tripoli ulio karibu na uwanja wa ndege ambako mapigano ni makali
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Waasi wafukuza jeshi la Marekani Libya
Wanajeshi 20 wa Marekani waliondoka kuzuia vurugu baada ya kukabiliwa na wapiganaji wanaodhibiti eneo walilotua huko Libya
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania