Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yakamata meli ya Libya

Meli kubwa ya mafuta mali ya serikali ya Libya inashikiliwa na kikosi cha maalum cha wanamaji wa Marekani baada ya kukamatwa katika bahari ya kimataifa kusini mwa Cyrus.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Meli ya Korea Kaskazini yanaswa Libya

Serikali ya Libya imesema imeikamata meli iliyokuwa na bendera ya Korea Kaskazini ikiwa na shehena haramu ya mafuta ghafi

 

10 years ago

GPL

MELI YA MAREKANI YAZUIWA MEXICO

Meli ya Carnival Magic ya Marekani (Picha na Maktaba). Meli ya Carnival Magic ya Marekani imezuiwa kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel ikihofiwa kuwa na mgonjwa wa Ebola. Meli hiyo iliondoka katika jimbo la Texas ikiwa na mhudumu mmoja wa afya ambaye alikuwa amehudumia sampuli za mgonjwa wa ebola marehemu Thomas Duncan aliyeaga dunia kutokana na ugonjwa huo. Afisa mmoja katika bandari ya Mexico alisema kuwa hatua...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yatuma meli ya kivita Indonesia

Wanamaji kutoka Marekani wamesema kuwa wanapeleka moja ya Manowari ya kivita kutafuta ndege ya AirAsia iliyopotea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Meli ya Marekani yazuiwa Mexico

Meli moja ya Marekani imenyinwa ruhusu ya kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel kutokana na hofu ya ebola.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Marekani kuwaondoa raia wake katika meli ya Diamond Princess

Hatua hiyo inajiri huku idadi ya waliofariki kwa virusi vya corona ikizidi 1,500.

 

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi meli tano za mafuta zilizokuwa zikielekea Venezuela zilivyozua hofu kati ya Marekani na Iran

Hali ya wasiwasi kati ya Marekani na Iran imechukua sura mpya nchini Venezuela.

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya yawaachia wanajeshi wa Marekani

Makao Makuu ya Ulinzi nchini Marekani, Pentagon imesema wanajeshi wake wanne waliokuwa wakishikiliwa waameachiwa Libya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yafunga ubalozi Libya

Marekani imeamua kufunga ubalozi wake mjini Tripoli ulio karibu na uwanja wa ndege ambako mapigano ni makali

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi wafukuza jeshi la Marekani Libya

Wanajeshi 20 wa Marekani waliondoka kuzuia vurugu baada ya kukabiliwa na wapiganaji wanaodhibiti eneo walilotua huko Libya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani