Marekani yatuma meli ya kivita Indonesia
Wanamaji kutoka Marekani wamesema kuwa wanapeleka moja ya Manowari ya kivita kutafuta ndege ya AirAsia iliyopotea.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Oct
Meli nne za kivita za India zazuru Tanzania
MELI nne za kivita za India, zimezuru Tanzania kwa lengo la kuendeleza urafiki na ushirikiano kati ya Jeshi la Wanamaji la Tanzania na India ili kuimarisha ulinzi na usalama katika ukanda wa bahari ya Hindi.
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Kikwete apokea meli mbili za kivita kutoka China
 Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amepokea meli mbili za kivita kutoka China kwa ajili ya Jeshi la Wanamaji (Navy), huku akiahidi kuongeza nyingine kabla ya kumaliza muda wake wa uongozi.
11 years ago
BBCSwahili13 Aug
Marekani yatuma washauri wa kijeshi Iraq
Marekani imetuma washauri wa kijeshi kwenda eneo la wa-Kurdi, kaskazini mwa Iraq, waziri wa ulinzi Chuck Hagel amesema.
11 years ago
BBCSwahili22 May
Marekani yatuma wanajeshi wake Chad
Wanajeshi 80 wametumwa Chad kusaidia kuwatafuta na kuwaokoa takriban wasichana 200 waliotekwa nyara nchini Nigeria na Boko Haram.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NfZBQ8g66NRJ6bsuC3jR3duvlggg*oMC7x8q-BsF**dVqz8iLuCQosQX*JPgaOj-1k1TIhvitMc53zlD4YoRu5hkg13hJoZX/MELI1.jpg?width=650)
MELI YA MAREKANI YAZUIWA MEXICO
Meli ya Carnival Magic ya Marekani (Picha na Maktaba). Meli ya Carnival Magic ya Marekani imezuiwa kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel ikihofiwa kuwa na mgonjwa wa Ebola. Meli hiyo iliondoka katika jimbo la Texas ikiwa na mhudumu mmoja wa afya ambaye alikuwa amehudumia sampuli za mgonjwa wa ebola marehemu Thomas Duncan aliyeaga dunia kutokana na ugonjwa huo. Afisa mmoja katika bandari ya Mexico alisema kuwa hatua...
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Marekani yakamata meli ya Libya
Meli kubwa ya mafuta mali ya serikali ya Libya inashikiliwa na kikosi cha maalum cha wanamaji wa Marekani baada ya kukamatwa katika bahari ya kimataifa kusini mwa Cyrus.
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Ebola:Meli ya Marekani yazuiwa Mexico
Meli moja ya Marekani imenyinwa ruhusu ya kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel kutokana na hofu ya ebola.
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Coronavirus: Marekani kuwaondoa raia wake katika meli ya Diamond Princess
Hatua hiyo inajiri huku idadi ya waliofariki kwa virusi vya corona ikizidi 1,500.
5 years ago
BBCSwahili24 May
Jinsi meli tano za mafuta zilizokuwa zikielekea Venezuela zilivyozua hofu kati ya Marekani na Iran
Hali ya wasiwasi kati ya Marekani na Iran imechukua sura mpya nchini Venezuela.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania