Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yatuma meli ya kivita Indonesia

Wanamaji kutoka Marekani wamesema kuwa wanapeleka moja ya Manowari ya kivita kutafuta ndege ya AirAsia iliyopotea.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Meli nne za kivita za India zazuru Tanzania

MELI nne za kivita za India, zimezuru Tanzania kwa lengo la kuendeleza urafiki na ushirikiano kati ya Jeshi la Wanamaji la Tanzania na India ili kuimarisha ulinzi na usalama katika ukanda wa bahari ya Hindi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete apokea meli mbili za kivita kutoka China

 Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amepokea meli mbili za kivita kutoka China kwa ajili ya Jeshi la Wanamaji (Navy), huku akiahidi kuongeza nyingine kabla ya kumaliza muda wake wa uongozi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yatuma washauri wa kijeshi Iraq

Marekani imetuma washauri wa kijeshi kwenda eneo la wa-Kurdi, kaskazini mwa Iraq, waziri wa ulinzi Chuck Hagel amesema.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yatuma wanajeshi wake Chad

Wanajeshi 80 wametumwa Chad kusaidia kuwatafuta na kuwaokoa takriban wasichana 200 waliotekwa nyara nchini Nigeria na Boko Haram.

 

10 years ago

GPL

MELI YA MAREKANI YAZUIWA MEXICO

Meli ya Carnival Magic ya Marekani (Picha na Maktaba). Meli ya Carnival Magic ya Marekani imezuiwa kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel ikihofiwa kuwa na mgonjwa wa Ebola. Meli hiyo iliondoka katika jimbo la Texas ikiwa na mhudumu mmoja wa afya ambaye alikuwa amehudumia sampuli za mgonjwa wa ebola marehemu Thomas Duncan aliyeaga dunia kutokana na ugonjwa huo. Afisa mmoja katika bandari ya Mexico alisema kuwa hatua...

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yakamata meli ya Libya

Meli kubwa ya mafuta mali ya serikali ya Libya inashikiliwa na kikosi cha maalum cha wanamaji wa Marekani baada ya kukamatwa katika bahari ya kimataifa kusini mwa Cyrus.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Meli ya Marekani yazuiwa Mexico

Meli moja ya Marekani imenyinwa ruhusu ya kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel kutokana na hofu ya ebola.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Marekani kuwaondoa raia wake katika meli ya Diamond Princess

Hatua hiyo inajiri huku idadi ya waliofariki kwa virusi vya corona ikizidi 1,500.

 

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi meli tano za mafuta zilizokuwa zikielekea Venezuela zilivyozua hofu kati ya Marekani na Iran

Hali ya wasiwasi kati ya Marekani na Iran imechukua sura mpya nchini Venezuela.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani