Ebola:Meli ya Marekani yazuiwa Mexico
Meli moja ya Marekani imenyinwa ruhusu ya kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel kutokana na hofu ya ebola.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NfZBQ8g66NRJ6bsuC3jR3duvlggg*oMC7x8q-BsF**dVqz8iLuCQosQX*JPgaOj-1k1TIhvitMc53zlD4YoRu5hkg13hJoZX/MELI1.jpg?width=650)
MELI YA MAREKANI YAZUIWA MEXICO
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Raia wa Mexico wanaihama Marekani
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Marekani yakamata meli ya Libya
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Marekani yatuma meli ya kivita Indonesia
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Coronavirus: Marekani kuwaondoa raia wake katika meli ya Diamond Princess
5 years ago
BBCSwahili24 May
Jinsi meli tano za mafuta zilizokuwa zikielekea Venezuela zilivyozua hofu kati ya Marekani na Iran
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Ebola yatua Marekani
10 years ago
Habarileo02 Oct
Ebola waingia Marekani
MGONJWA wa kwanza wa virusi hatari vya ebola ambaye pia ni wa kwanza nje ya bara la Afrika, amegundulika nchini Marekani katika mji wa Dallas, Texas. Maofisa katika Kituo cha Afya cha Texas katika Hospitali ya Presbyterian wamesema mgonjwa huyo mwanamume ambaye hakutajwa jina lake, ametengwa katika hospitali hiyo.
10 years ago
StarTV13 Oct
Mwingine apatikana na Ebola Marekani.
Mfanyikazi mwengine wa kituo cha afya aliyemtibu Thomas Dancun kabla ya kifo chake katika jimbo la Texas nchini Marekani amepatikana na virusi vya ugonjwa wa Ebola.
”Tulijua kuna uwezekano wa kisa cha pili kuripotiwa ,na tumejitayarisha kwa uwezekano huo”alisema Daktari David Lakey ambaye ni kamishna wa idara ya afya katika jimbo la Texas.
Marehemu Dancun ambaye aliambukizwa ugonjwa huo nchini Liberia ,alifariki katika hospitali ya Dallas siku ya jumatano.
Hatahivyo jina la muhudumu...