Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia wa Mexico wanaihama Marekani

Utafiti ulioendeshwa nchini Marekani unaonyesha raia wengi wa Mexico wanaondoka kwenye taifa hilo kubwa zaidi ulimwenguni ukilinganisha na idadi ya wanaoingia nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MELI YA MAREKANI YAZUIWA MEXICO

Meli ya Carnival Magic ya Marekani (Picha na Maktaba). Meli ya Carnival Magic ya Marekani imezuiwa kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel ikihofiwa kuwa na mgonjwa wa Ebola. Meli hiyo iliondoka katika jimbo la Texas ikiwa na mhudumu mmoja wa afya ambaye alikuwa amehudumia sampuli za mgonjwa wa ebola marehemu Thomas Duncan aliyeaga dunia kutokana na ugonjwa huo. Afisa mmoja katika bandari ya Mexico alisema kuwa hatua...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Meli ya Marekani yazuiwa Mexico

Meli moja ya Marekani imenyinwa ruhusu ya kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel kutokana na hofu ya ebola.

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wa Marekani kuondoka Burundi

Marekani imetaka Raia wake walio nchini Burundi kuondoka nchini humo

 

10 years ago

GPL

RAIA WA MAREKANI NA A.KUSINI WAUAWA

Raia wa marekani Luke Somers na mwenzak wa Afrika kusini Pierre Korkie wameuawa na wapiganaji wa kundi la Alqaeda nchini Yemen. Mwaandishi wa Mmarekani, Luke Somers na mwalimu raia wa Afrika Kusini, Pierre Korkie wameuwawa na wapiganaji wa Al-Qaeda nchini Yemen katika juhudi za kuwaokoa. Oparesheni hiyo ya kuwaokoa iliongozwa na vikosi maaulum vya Marekani na Yemen katika jimbo la kusini la Shabwa. Mwalimu raia wa Afrika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatukushambulia raia Somalia:Marekani

Marekani imesema kuwa bado inatafakari matokeo ya shambulio la anga lililofanyika Kusini mwa Somali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Marekani akatwa shingo na IS

Kand ya video inaonyesha mauaji ya mtu kwa utoa huduma za misaada raia wa Marekani Abdul Rahman Kassig

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yakiri kuua raia

Marekani imekiri, kwa mara ya kwanza kuhusika na mapigano ya anga dhidi ya kikosi cha kiislamu yaliyopelekea baadhi ya raia kuuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani:'Sudan inashambulia raia wake'

Marekani imeadai kuwa Sudan inaendeleza mashambulio dhidi ya raia katika majimbo ya Kordofan kusini na Blue Nile .

 

5 years ago

CCM Blog

RAIA WA CHINA MTAFITI WA CORONA AUAWA MAREKANI

Bing LiuHaki miliki ya pichaUNIVERSITY OF PITTSBURGHMauaji ya raia wa China, mtafiti wa masuala ya virusi vya corona kwenye ardhi ya Marekani yamesababisha nadharia mbalimbali duaniani kuwa kuna sababu iliyojificha kuhusu kifo chake.Bing Liu, profesa msaidizi mwenye miaka 37 katika Chuo Kikuu cha Tiba cha Pittsburgh, Marekani alipatikana akiwa amekufa nyumbani kwake siku ya Jumamosi.Wenzake walisema alikuwa karibu kupata "matokeo muhimu" ya tafiti kuhusu Covid-19, tukio lililosababisha kuwepo kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani