Raia wa Mexico wanaihama Marekani
Utafiti ulioendeshwa nchini Marekani unaonyesha raia wengi wa Mexico wanaondoka kwenye taifa hilo kubwa zaidi ulimwenguni ukilinganisha na idadi ya wanaoingia nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NfZBQ8g66NRJ6bsuC3jR3duvlggg*oMC7x8q-BsF**dVqz8iLuCQosQX*JPgaOj-1k1TIhvitMc53zlD4YoRu5hkg13hJoZX/MELI1.jpg?width=650)
MELI YA MAREKANI YAZUIWA MEXICO
Meli ya Carnival Magic ya Marekani (Picha na Maktaba). Meli ya Carnival Magic ya Marekani imezuiwa kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel ikihofiwa kuwa na mgonjwa wa Ebola. Meli hiyo iliondoka katika jimbo la Texas ikiwa na mhudumu mmoja wa afya ambaye alikuwa amehudumia sampuli za mgonjwa wa ebola marehemu Thomas Duncan aliyeaga dunia kutokana na ugonjwa huo. Afisa mmoja katika bandari ya Mexico alisema kuwa hatua...
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Ebola:Meli ya Marekani yazuiwa Mexico
Meli moja ya Marekani imenyinwa ruhusu ya kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel kutokana na hofu ya ebola.
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Raia wa Marekani kuondoka Burundi
Marekani imetaka Raia wake walio nchini Burundi kuondoka nchini humo
10 years ago
GPL![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/06/141206181427__79555812_soomerskorkie3.jpg)
RAIA WA MAREKANI NA A.KUSINI WAUAWA
Raia wa marekani Luke Somers na mwenzak wa Afrika kusini Pierre Korkie wameuawa na wapiganaji wa kundi la Alqaeda nchini Yemen. Mwaandishi wa Mmarekani, Luke Somers na mwalimu raia wa Afrika Kusini, Pierre Korkie wameuwawa na wapiganaji wa Al-Qaeda nchini Yemen katika juhudi za kuwaokoa. Oparesheni hiyo ya kuwaokoa iliongozwa na vikosi maaulum vya Marekani na Yemen katika jimbo la kusini la Shabwa. Mwalimu raia wa Afrika...
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Hatukushambulia raia Somalia:Marekani
Marekani imesema kuwa bado inatafakari matokeo ya shambulio la anga lililofanyika Kusini mwa Somali.
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Raia wa Marekani akatwa shingo na IS
Kand ya video inaonyesha mauaji ya mtu kwa utoa huduma za misaada raia wa Marekani Abdul Rahman Kassig
10 years ago
BBCSwahili22 May
Marekani yakiri kuua raia
Marekani imekiri, kwa mara ya kwanza kuhusika na mapigano ya anga dhidi ya kikosi cha kiislamu yaliyopelekea baadhi ya raia kuuawa.
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Marekani:'Sudan inashambulia raia wake'
Marekani imeadai kuwa Sudan inaendeleza mashambulio dhidi ya raia katika majimbo ya Kordofan kusini na Blue Nile .
5 years ago
CCM Blog08 May
RAIA WA CHINA MTAFITI WA CORONA AUAWA MAREKANI
![Bing Liu](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/183AF/production/_112174299_bingliu2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania