Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yatuma wanajeshi wake Chad

Wanajeshi 80 wametumwa Chad kusaidia kuwatafuta na kuwaokoa takriban wasichana 200 waliotekwa nyara nchini Nigeria na Boko Haram.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yawaondoa wanajeshi wake Yemen

Wizara ya mashauri ya kigeni Marekani imethibitisha kuwa wanajeshi wote wa Marekani waliokuwa wamebaki nchini Yemen wamondolewa

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Chad waondoka CAR

Chad imeamua kuondoa wanajeshi wake kutoka katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati ikisema kuwa wanatuhumiwa kwa kuchochea hali nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Chad waingia Nigeria

Wanajeshi wa Chad wameingia nchini Nigeria kwa ajili ya kupambana na Wanamgambo wa Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Chad, Boko Haram,wapambana

Wanajeshi wa Chad wapambana na Boko Haram Kaskazini Mashariki mwa Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yatuma washauri wa kijeshi Iraq

Marekani imetuma washauri wa kijeshi kwenda eneo la wa-Kurdi, kaskazini mwa Iraq, waziri wa ulinzi Chuck Hagel amesema.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yatuma meli ya kivita Indonesia

Wanamaji kutoka Marekani wamesema kuwa wanapeleka moja ya Manowari ya kivita kutafuta ndege ya AirAsia iliyopotea.

 

10 years ago

Michuzi

TFF YATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI SIMBA SC KUFUATIA AJALI WALIYOPATA WASHABIKI WAKE

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF Jamal Malinzi, ametuma salamu za rambi rambi kwa Rais wa klabu ya Simba SC Bw. Evans Aveva kufuatia vifo vya mashabiki wa klabu hiyo, viliyotokea jana katika ajali ya barabarani eneo la Makunganya mkoani Morogoro.
Katika salamu zake Rais Malinzi amesema, TFF imezipokea kwa masikitiko taarifa hizo za ajali na kwa niaba ya familia ya mpira wa miguu nchini, wanawapa pole wafiwa wote na mwenyezi Mungu awape nguvu majeruhi waweze kupata nafuu na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wauawa Marekani

Mtu mwenye silaha amewaua askari 4 wa jeshi la wanamaji wa Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo ya jeshi hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani