Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kusitishwa vita kwaleta nafuu Ukraine

Mpango wa kusitisha mapigano kati ya waasi na majeshi ya serikali ya Ukraine kumeleta nafuu mashariki mwa nchi hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano kusitishwa Jumamosi Ukraine?

Viongozi wa mataifa ya Ulaya wamekubaliana kuiwekea vikwazo zaidi Urusi iwapo itashindwa kusimamia makubaliano mapya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni vigumu kusitishwa vita Sudan K.

Msemaji wa Jeshi amesema kuna matumaini madogo ya kusitishwa kwa mapigano nchini Sudan Kusini kwa sasa.

 

10 years ago

StarTV

Iran yataka vita dhidi ya Houthi kusitishwa.

Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen, akiyataja kama makosa makubwa.

Iran pia imepinga madai ya Saudi Arabia kuwa utawala wa Tehran unawapa wapiganaji hao wa Kihouthi ambao ni wa shia mafunzo ya Kijeshi.

Balozi wa Saudi Arabi mjini Tehran, alishutishwa kufika mbele ya wizara ya mambo ya nje ya Iran, kupokea rasmi malalamishi ya Iran.

Nchini Yemen, Ndege za kivita za muungano unaongozwa na Saudi Arabia, zimefanya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi:hatutaki vita na Ukraine

Urusi imesema haina mpango wa kuingia vitani na Ukraine,hata hivyo inaunga mkono mpango wa upigaji kura ya maoni mjini Crimea

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama na Putni washauriana vita Ukraine

Rais Obama amefanya mashauriano na Rais Putin, juu ya hali ilivyo Ukraine baada ya kusitishwa mapigano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Ukraine laondoka mji wa vita

Rais wa Ukraine Petro Poroshenko amesema kuwa majeshi ya Ukraine yanakaribia kumaliza mipango yake ya kuondoka mji wa Debaltseve

 

10 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Mataifa wapinga vita Ukraine

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limezitaka pande zinazohusika na vita nchini Ukraine kuacha mara moja

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi yaingilia kati vita ya Ukraine.

Balozi wa Marekani nchini Ukraine,Geoffrey Pyatt, amesema wanajeshi wa Urusi wanaingilia mapigano kusini mashariki mwa Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkataba wafikiwa kusitisha vita Ukraine

Serikali ya Ukraine na wapiganaji wa nchi hiyo wanaounga mkono Urusi wamekubaliana kusitisha mapigano Mashariki ya nchi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani