Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umoja wa Mataifa wapinga vita Ukraine

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limezitaka pande zinazohusika na vita nchini Ukraine kuacha mara moja

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine:Umoja wa Mataifa kutoa ripoti

Umoja wa Mataifa unatarajiwa kutoa ripoti ya haki za binadamu nchini Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi:hatutaki vita na Ukraine

Urusi imesema haina mpango wa kuingia vitani na Ukraine,hata hivyo inaunga mkono mpango wa upigaji kura ya maoni mjini Crimea

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi yaingilia kati vita ya Ukraine.

Balozi wa Marekani nchini Ukraine,Geoffrey Pyatt, amesema wanajeshi wa Urusi wanaingilia mapigano kusini mashariki mwa Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kusitishwa vita kwaleta nafuu Ukraine

Mpango wa kusitisha mapigano kati ya waasi na majeshi ya serikali ya Ukraine kumeleta nafuu mashariki mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Ukraine laondoka mji wa vita

Rais wa Ukraine Petro Poroshenko amesema kuwa majeshi ya Ukraine yanakaribia kumaliza mipango yake ya kuondoka mji wa Debaltseve

 

10 years ago

Mtanzania

Vita yaathiri huduma za afya Ukraine

Residents collect water at a pumping station in SlavianskVita imesababisha vifo na ulemavu kwa maelfu ya watu mashariki mwa Ukraine.Na Joseph Hiza na Mashirika ya Habari

PANDE mbili zinazopingana katika mgogoro wa mashariki mwa Ukraine zilifikia makubaliano wiki iliyopita, hatua ambayo imeleta utulivu kufuatia kusimama kwa mapigano katika sehemu kubwa ya eneo hilo.
Kusitishwa kwa mapigano kunatarajia kuleta ahueni ya kukabiliana na changamoto kubwa ya kiafya eneo hilo ambalo lilikuwa halifikiki kwa wafanyakazi wa misaada.
Hata hivyo, katika mji wa Debaltseve uliozingirwa na waasi wanaoungwa mkono na Urusi matukio...

 

10 years ago

BBCSwahili

Machafuko Ukraine yatazusha vita:Putin

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema machafuko Mashariki mwa Ukraine yanawezakuzusha vita na machafuko ya kudumu.

 

10 years ago

StarTV

Putin: Machafuko Ukraine yatazusha vita.

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema machafuko Mashariki mwa Ukraine yanaleta wasiwasi wa kuweza kuzuka kwa vita na mwendelezo wa mzozo.

Akizungumza kupitia televisheni Putin amesisitiza kuzingatiwa kwa mpango wa Amani ya mashariki mwa Ukraine uliojadiliwa Minsk na kupitishwa na baraza la usalama la umoja wa mataifa

Hata hivyo kwa mara nyingine Rais Putin amekanusha madai ya majeshi yake kushiriki katika mzozo.

use of cialis pills

Kiongozi huyo pia ameyaraja mataifa ya Urusi,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mda wa kusitisha vita waongezwa Ukraine

Rais wa Ukraine Petro Poroshenko ameongeza makubaliano ya kusitisha vita na wapiganajai wanaotaka kujitenga mashariki mwa Ukraine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani