Ukraine:Umoja wa Mataifa kutoa ripoti
Umoja wa Mataifa unatarajiwa kutoa ripoti ya haki za binadamu nchini Ukraine
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Umoja wa Mataifa wapinga vita Ukraine
10 years ago
Dewji Blog31 Oct
UNIC washiriki Alhamisi ya burudani na TEYODEN kwa madhumuni ya kutoa elimu ya kazi mbalimbali za Umoja wa Mataifa
Afisa habari wa Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi Stella Vuzo akitoa mada kuu iliyokuwa inahusu malengo ya maendeleo ya milenia na kuangalia yamefikia wapi kwenye malengo hayo pamoja na kuwaelimisha kuhusu maendeleo endelevu baada ya mwaka 2015(Post 2015 Sustainable Development) iliyotolewa kwa Mtandao wa vijana wa Temeke(TEYODEN).
Kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) jana Alhamisi kiliandaa burudani kwa ajili ya kujifunza kazi mbalimbali za Umoja wa Mataifa ambapo kila Alhamis ya...
10 years ago
VijimamboTASWIRA KUTOKA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
Wanajeshi 9 wa Umoja wa Mataifa wauawa
10 years ago
Habarileo27 Sep
Kikwete anguruma Umoja wa Mataifa
RAIS Jakaya Kikwete amesema kwamba Tanzania iko tayari kushirikiana na wanachama wote wa Umoja wa Mataifa (UN) kufikia makubaliano ya malengo mapya ya maendeleo baada ya malengo ya awali (Malengo ya Milenia- MDG) kufikia hatima yake mwaka wa kesho.
10 years ago
Habarileo17 Oct
Kikwete apongezwa Umoja wa Mataifa
UMOJA wa Mataifa (UN) umempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutoa uraia wa Tanzania kwa waliokuwa wakimbizi 162,156 wa Burundi.
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Umoja wa Mataifa kuchunguza kashfa
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Chadema yamshtaki JK Umoja wa Mataifa
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mallya, amesema wamemshtaki Rais Jakaya Kikwete kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-Moon, kutokana na kauli ya kuwatisha wanaotaka kulinda kura kwamba wataona.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu sheria inavyoruhusu wananchi wenye shughuli za aina gani wakae ndani ya mita 200 na wale wanaoruhusiwa kukaa nje ya mita 200.
“Kifungu cha sheria...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QFmd-oIpTFU/VCAj0Ze7TnI/AAAAAAADFFY/yT23koEeeUY/s72-c/600230.jpg)
UMOJA WA MATAIFA KUJADILI MLIPUKO WA EBOLA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QFmd-oIpTFU/VCAj0Ze7TnI/AAAAAAADFFY/yT23koEeeUY/s1600/600230.jpg)