UMOJA WA MATAIFA KUJADILI MLIPUKO WA EBOLA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QFmd-oIpTFU/VCAj0Ze7TnI/AAAAAAADFFY/yT23koEeeUY/s72-c/600230.jpg)
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon akizungumza na waandishi wa habari ( hawapo pichani) siku ya jumanne ambapo alitumia fursa hiyo kuainisha masuala mbalimbali yatakayopewa kipaumbele wakati wa Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaoanza wiki ijayo hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, jijini New York, Marekani. Mlipuko wa Ugonjwa wa Ebola ni moja ya suala litakalopewa kipaumbele cha pekee wakati wa mkutano huo utakaohudhuriwa na wa viongozi zaidi ya 140...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bVzV-f0PzxE/VBlTwKyksEI/AAAAAAAGkCk/Wl6GWiZOHNM/s72-c/600230%2B(2).jpg)
UMOJA WA MATAIFA KUJADILI UGONJWA WA EBOLA-BAN KI MOON
![](http://3.bp.blogspot.com/-bVzV-f0PzxE/VBlTwKyksEI/AAAAAAAGkCk/Wl6GWiZOHNM/s1600/600230%2B(2).jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
Umoja wa Mataifa kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula, lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Umoja wa Mataifa waonya hatari ya Ebola
10 years ago
Habarileo27 Sep
Kikwete anguruma Umoja wa Mataifa
RAIS Jakaya Kikwete amesema kwamba Tanzania iko tayari kushirikiana na wanachama wote wa Umoja wa Mataifa (UN) kufikia makubaliano ya malengo mapya ya maendeleo baada ya malengo ya awali (Malengo ya Milenia- MDG) kufikia hatima yake mwaka wa kesho.
10 years ago
Habarileo17 Oct
Kikwete apongezwa Umoja wa Mataifa
UMOJA wa Mataifa (UN) umempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutoa uraia wa Tanzania kwa waliokuwa wakimbizi 162,156 wa Burundi.
10 years ago
VijimamboTASWIRA KUTOKA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Chadema yamshtaki JK Umoja wa Mataifa
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mallya, amesema wamemshtaki Rais Jakaya Kikwete kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-Moon, kutokana na kauli ya kuwatisha wanaotaka kulinda kura kwamba wataona.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu sheria inavyoruhusu wananchi wenye shughuli za aina gani wakae ndani ya mita 200 na wale wanaoruhusiwa kukaa nje ya mita 200.
“Kifungu cha sheria...
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
Wanajeshi 9 wa Umoja wa Mataifa wauawa
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Umoja wa Mataifa kuchunguza kashfa