Wenger: Huenda tukamkosa Carzola hadi Machi
Arsenal huenda ikamkosa kiungo wake wa kati Santi Cazorla hadi Machi mwaka ujao, meneja wao Arsene Wenger amefichua.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FNBkuUtHweY/XmlRZ0DOb_I/AAAAAAALisw/uTLAFX2eZucBwyf6rbkP1LP0jtpwG8SWQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv72d8bd738f41m614_800C450.jpg)
Merkel: 60% hadi 70% ya Wajerumani huenda wakakumbwa na Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-FNBkuUtHweY/XmlRZ0DOb_I/AAAAAAALisw/uTLAFX2eZucBwyf6rbkP1LP0jtpwG8SWQCLcBGAsYHQ/s640/4bv72d8bd738f41m614_800C450.jpg)
Merkel alisema hayo jana Jumanne mbele ya Bunge la nchi hiyo ambalo lilipokea kwa mshtuko mkubwa takwimu hizo za kuogofya za Kansela wa nchi hiyo.
Amesema ikilazimu, vikao vya Bunge la nchi hiyo ya Ulaya vitasimamishwa, sambamba na kufutwa kwa mikutano na shughuli zenye mijumuiko ya watu wengi. Hata hivyo hajaeleza serikali yake imejiandaa vipi kukabiliana na...
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Wachina kusubiri hadi Machi kupata watoto wawili
Serikali Uchina imeonya kuwa sharti raia waendelee kutii agizo la kuwa na mtoto mmoja kwenye familia hadi sheria ifanyiwe marekebisho mwezi Machi.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9IugMyewovQ/UyXDanumXbI/AAAAAAAFUAg/koL5qSAlu_I/s72-c/IMG_0088.jpg)
RATIBA YA MKUTANO WA BUNGE MAALUM TAREHE 17 HADI 21 MACHI, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-9IugMyewovQ/UyXDanumXbI/AAAAAAAFUAg/koL5qSAlu_I/s1600/IMG_0088.jpg)
Tarehe 17/3/201 kuanzia saa 3:00 asubuhi kutakuwa na kiapo kwa Wajumbe wa Bunge Maalum ambao bado hawajaapishwa. Hivyo Wajumbe wote ambao hawajaapa kiapo cha ujumbe wa Bunge Maalum wanatangaziwa kufika Idara ya Shughuli za Bunge Maalum kesho saa 2:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya kutambuliwa.
Saa 11:00 jioni...
11 years ago
Michuzi27 Feb
11 years ago
MichuziTAKWIMU ZA MTANDAO WA UMEME NCHINI TOKA 2005 HADI MACHI 2014
11 years ago
GPLMAMLAKA YA HALI YA HEWA YATOA TATHMINI YA MWELEKEO WA MVUA KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI, 2014
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Dkt. Agness Kijazi (kulia) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya tathmini ya mvua kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2014. Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa.…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_J_NgJ258yY/VO4pYlWbh2I/AAAAAAAHF2w/wzD8sewVLIE/s72-c/download%2B(1).jpg)
KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA JIJI KUANZIA JUMATANO FEBRUARI 25, 2015 HADI JUMATATU MACHI 02, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-_J_NgJ258yY/VO4pYlWbh2I/AAAAAAAHF2w/wzD8sewVLIE/s1600/download%2B(1).jpg)
Kwa mujibu wa taarifa ya Uongozi wa TRL iliotolewa jioni leo Februari 25, 2015 uamuzi wa kusitisha huduma hiyo umesababishwa na vichwa viwili vya treni hiyo kuharibika na kuhitaji matengenezo makubwa katika Karakana Kuu ya Morogoro .Taarifa imefafanua kuwa kwa vile kimebaki kichwa kimoja...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania