TAKWIMU ZA MTANDAO WA UMEME NCHINI TOKA 2005 HADI MACHI 2014
Takwimu zinaonyesha kwamba kwa sasa asilimia 36% (kutoka asilimia 10% ya mwaka 2005) Tanzania Bara wana pata umeme asilimia 36% wanatumia umeme na asilimia 21% ya wanavijiji wa Bara wanatumia umeme kutoka asilimia 2% mwaka 2005.Tayari imevuka malengo ya CCM na ya Serikali ya asilimia 24% wameunganishwa.Tuendelee kuchapa kazi kwa kasi na ubunifu mkubwa.
Waziri wa Nishati na Madini
Sospeter Muhongo
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9IugMyewovQ/UyXDanumXbI/AAAAAAAFUAg/koL5qSAlu_I/s72-c/IMG_0088.jpg)
RATIBA YA MKUTANO WA BUNGE MAALUM TAREHE 17 HADI 21 MACHI, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-9IugMyewovQ/UyXDanumXbI/AAAAAAAFUAg/koL5qSAlu_I/s1600/IMG_0088.jpg)
Tarehe 17/3/201 kuanzia saa 3:00 asubuhi kutakuwa na kiapo kwa Wajumbe wa Bunge Maalum ambao bado hawajaapishwa. Hivyo Wajumbe wote ambao hawajaapa kiapo cha ujumbe wa Bunge Maalum wanatangaziwa kufika Idara ya Shughuli za Bunge Maalum kesho saa 2:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya kutambuliwa.
Saa 11:00 jioni...
11 years ago
Michuzi27 Feb
10 years ago
MichuziOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATOA TAARIFA YA PATO LA TAIFA KWA ROBO YA KWANZA YA MWAKA,JANUARY-MACHI 2014
11 years ago
GPLMAMLAKA YA HALI YA HEWA YATOA TATHMINI YA MWELEKEO WA MVUA KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI, 2014
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Dkt. Agness Kijazi (kulia) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya tathmini ya mvua kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2014. Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa.…
9 years ago
GPLTFDA YAZUNGUMZIA MAFANIKO YAKE TANGU 2005 HADI 2015
Kutoka kushoto ni Ofisa Uelimishaji na Huduma wa TFDA, Rutta Kahamba, akifuatiwa na Meneja Mahusiano na Uhusiano wa Umma, Gaudensia Simwanza, na Msaidizi Kitengo cha Elimu kwa Umma na Huduma kwa Wateja, Evice Audax. Meneja Mahusiano na Uhusiano wa Umma kutoka TFDA, Gaudensia Simwanza, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).…
11 years ago
Michuzi23 Jun
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vlz-VcMBEuln4wao8Lt6Rqw7xaoOouCYOrN9WQanO0QpYvPe6NLF6z1MjRIQKpaSYkVXnCKs7zE0buEjRedwnEFsYBS3wtzB/sheriayaTakwimu1.jpg?width=650)
SHERIA MPYA YA TAKWIMU KUONGEZA UFANISI WA SHUGHULI ZA KITAFITI NA UPATIKANAJI WA TAKWIMU SAHIHI NCHINI
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu ujio wa sheria mpya ya Takwimu ya mwaka 2015 iliyopitishwa na Bunge Mwezi Machi mwaka huu leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi hiyo Bw. Morrice Oyuke.…
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6aWqsbW3A8U/default.jpg)
Kutoka Maktaba: Magufuli - (2005) tutasafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami
WANANCHI wataweza kusafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami,hayo yalisemwa Bungeni Mjini Dodoma wakati Waziri wa Ujenzi John Magufuli alipokua akijibu swali la Martha Mlata (Viti Maalum-CCM), swali lililohoji juu ya ahadi ya Serikali katika kipindi cha awamu ya nne na ahadi hiyo iliyosema wananchi wataweza kusafiri kwa taxi toka Mtwara hadi Bukoba.
Waziri Magufuli alisema kuwa nia ya msemo huo ni kuonesha kwamba wananchi wataweza kusafiri toka Mtwara hadi Bukoba kwa lami...
Waziri Magufuli alisema kuwa nia ya msemo huo ni kuonesha kwamba wananchi wataweza kusafiri toka Mtwara hadi Bukoba kwa lami...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania