Umakini unahitajika ubinafsishaji kinu cha NMC
Mchakato wa kukibinafsisha kinu cha Shirika la Usagishaji la Taifa (NMC), Tawi la Arusha ambacho ni pekee kimesalia mikononi mwa umma kati ya vinu zaidi ya 12 vilivyokuwapo katika mikoa mbalimbali nchini, unaendelea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-r-yy6DlL5IM/VP1fUfKTszI/AAAAAAAABU8/bh0kw7IZJBM/s72-c/article.jpg)
UMAKINI ZAIDI UNAHITAJIKA KWA WATUMIAJI MITANDAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-r-yy6DlL5IM/VP1fUfKTszI/AAAAAAAABU8/bh0kw7IZJBM/s1600/article.jpg)
Palipo na mafanikio...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/PkzReZzWbvY/default.jpg)
9 years ago
StarTV18 Nov
Wakazi Isunga Nzega wailalamikia Serikali Ubinafsishaji Mgodi Wa Kijiji
Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Isunga wilayani Nzega mkoani Tabora wanaojihusisha na uchimbaji mdogo wa dhahabu wameilalamikia Serikali ya kijiji kwa kutaka kuubinafsisha mgodi huo kwa kampuni ya uwekezaji ya Duva bila kutoa taarifa rasmi kwa wananchi.
Hofu hiyo inakuja baada ya kuona kampuni ya Duva ikiingia mkataba na kijiji hicho wa kuchenjua mchanga wa dhahabu bila wananchi kupewa taarifa kama sheria za Serikali za mitaa zinavyoelekeza.
Shuguli kubwa za kiuchumi katika kijiji hicho ni...
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Msaada wa dharura unahitajika Syria
10 years ago
Bongo Movies07 May
Ubunifu Unahitajika kwa Wachekeshaji!
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Baby Madaha, amesema ubunifu kwenye kazi za sanaa hasa za uchekeshaji ni jambo la msingi kuzingatiwa kwa kuwa wasanii wengi wa filamu za vichekesho wamekuwa wakilipua kazi zao na kuchosha watazamaji.
“Suala la ubunifu kwenye kazi za sanaa ni jambo la msingi, inatakiwa shabiki akiangalia filamu ya vichekesho asichoke kuiangalia maana haitakuwa na maana kama filamu ya vichekesho, lakini mtu anaitazama mwanzo hadi mwisho amekasirika badala ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC0XWcyAafi1TkWn7W4dmyjIX0ojGCPuCHQTKZqjK1AzKmnKXgRAPRTA6udIkle9la3cHFPZDTitXobQmuYtqpb7/MAHABA.jpg)
SOMETIMES UONGO UNAHITAJIKA KWENYE MAPENZI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wWS1l87lAv9jl6MUTqhFioRoVtQf3eqlSVV5fkiHJX54GiovT7ZrgsYhOze4SAnxTBJCwSzZex2j-e6T1rOsCbd/mahaba.jpg?width=650)
‘SOMETIMES’ UONGO UNAHITAJIKA KWENYE MAPENZI!-3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO5orD*eVbLbWwWqyZH6nSRRch0JRmF7otuDeQgL2tJi8u5hwAaBrc016OtdUoIw2f6hAuSauK8zmOXR0h14erLF/MAHABA.jpg)
‘SOMETIMES’ UONGO UNAHITAJIKA KWENYE MAPENZI!-2
10 years ago
Mtanzania07 May
Baby Madaha: Ubunifu unahitajika kwa wachekeshaji
NA GEORGE KAYALA
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Baby Madaha, amesema ubunifu kwenye kazi za sanaa hasa za uchekeshaji ni jambo la msingi kuzingatiwa kwa kuwa wasanii wengi wa filamu za vichekesho wamekuwa wakilipua kazi zao na kuchosha watazamaji.
“Suala la ubunifu kwenye kazi za sanaa ni jambo la msingi, inatakiwa shabiki akiangalia filamu ya vichekesho asichoke kuiangalia maana haitakuwa na maana kama filamu ya vichekesho, lakini mtu anaitazama mwanzo hadi mwisho amekasirika badala ya...