Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘SOMETIMES’ UONGO UNAHITAJIKA KWENYE MAPENZI!-3

AFYA yangu ni njema na ninaendelea vyema na pilikapilika za kuhangaikia mkate wa kila siku. Sina shaka nawe rafiki yangu utakuwa mzima wa afya njema na unapambana na maisha. Kama ndivyo ni jambo zuri la kupendeza. Katika maisha ni vyema kuendeleza mapambano kila siku ili kuyaendea mafanikio. Somo letu leo linafikia ukingoni. Kiukweli limekuwa somo lenye changamoto nyingi sana kutoka kwa watu mbalimbali.
Baadhi wanajiuliza,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SOMETIMES UONGO UNAHITAJIKA KWENYE MAPENZI!

KILA kukicha kunaibuka mambo mapya. Katika ulimwengu wa mapenzi kila siku lazima uwe mwanafunzi ili uweze kuboresha uhusiano wako. Ukiacha ubongo wako uingize vitu vipya ni rahisi kubadilika na kuwa wa kisasa zaidi. Somo la leo linashangaza kidogo lakini ni vizuri kama tukijifunza. Tumezoea kusikia kuwa uongo ni kitu kibaya katika maisha ya mwanadamu – ni kweli. Uongo si mzuri lakini katika uhusiano na mapenzi, wakati...

 

11 years ago

GPL

‘SOMETIMES’ UONGO UNAHITAJIKA KWENYE MAPENZI!-2

FUNGUA ubongo wako sasa, maana muda wa kujifunza kuhusu uhusiano na mapenzi umewadia. Huwezi kukwepa kujifunza, ukifanya hivyo utabaki na mawazo yaleyale kila siku.
Inawezekana kwa uelewa wako kuna mambo ambayo unayafahamu kuhusu mapenzi, lakini kwa kuwa mdau wa kona hii, unaongeza kitu kingine kipya kila siku. Naam! Sasa nipo tayari kuendelea na mada yetu iliyoanza wiki iliyopita. Nazungumzia juu ya uongo wenye manufaa kwenye...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!

1005224_161118974079176_1902408761_n

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.

Tahariri ya leo Machi 10,  Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.

Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...

 

10 years ago

Vijimambo

ITV washushiwa Rungu na TCRA,Kisa Kusema Uongo Kwenye Maandano ya lowasa Juzi

EDWARD Lowassa ni kama ameanza kuipa majanga kituo cha Televisheni Cha ITV ndivyo naweza kusema baada ya Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) kukitaka kituo hicho kuomba radhi mara mbili mfululizo kwenye taariifa zake za habari pamoja na kupewa onyo kali baada ya kukiuka sheria ya utangazaji nchini ya Mwaka 2005.Anaandika KAROLI VINSENT endelea nayo.Hukumu hiyo ilitolewa leo jijini Dar es Salaam na kamati ya maudhui ya utangazaji, katika ofisi za Mamlaka ya Mawasiliano na Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

GPL

SIMU ZA KISASA NI HATARI KWENYE MAPENZI!

NAFURAHI tena kukutana na nyinyi marafiki katika uwanja wetu huu wa kujidai. Kupitia safu hii tunapata wasaa wa kushauriana masuala mbalimbali yahusuyo maisha ya uhusiano.Marafiki, leo nataka kuzungumza na nyinyi juu ya maendeleo ya teknolojia ya simu za ‘kutachi’. Simu hizi zimegeuka kuwa tatizo kubwa kutokana na wengi kuzitumia ndivyo sivyo. Imefika wakati simu inamteka mtu akili kiasi cha kusababisha maafa...

 

11 years ago

GPL

MAMBO YENYE THAMANI KWENYE MAPENZI!-2

NI siku nyingine tunakutana tena kwenye safu yetu nzuri ya Love & Life. Lengo ni lilelile, kupeana mawili matatu kuhusu maisha yetu ya kimapenzi.Kila siku tunapaswa kujifunza zaidi kuhusu uhusiano na mapenzi maana maisha yetu hatuwezi kuwakwepa wenzi wetu hivyo ni vyema kujua mbinu mpya kila wakati za kuwafanya wenzetu wafurahie uwepo wetu. Nimekuwa nikisisitiza mara kwa mara, usimwonyeshe mpenzi wako kuwa hana thamani. Mpe...

 

11 years ago

GPL

MAMBO YENYE THAMANI KWENYE MAPENZI!

KUNA watu ambao huwa wanaumiza kichwa kuhusu mambo ya kuwafanyia wenzi wao ambayo yana thamani kubwa. Kwa bahati mbaya sana ni kwamba wengi huwaza kuhusu fedha na mali. Rafiki zangu, yapo mambo ambayo yanaweza kuonekana ya kawaida tu au si ya lazima sana lakini kumbe yana uzito na thamani kubwa sana kwenye uhusiano. Wengi wakitaka kufanya jambo la kumfurahisha mpenzi wake, huwaza katika ukubwa. Hufikiri kuhusu outing, mavazi ya...

 

10 years ago

GPL

SIMU ZA KISASA NI HATARI KWENYE MAPENZI!-2

Sikukuu ya Krismasi ndiyo imekwisha, ni matumaini yangu kwamba kila mmoja wetu ameinjoi sikukuu hiyo. Kwa wale ambao imewakuta vibaya kwa namna moja au nyingine, niwape pole. Wasijisikie wanyonge, Mungu atawafanyia wepesi katika matatizo yao na watarudi katika hali ya kawaida. Kwa wale ambao wana tamaduni za kutoka na wapenzi wao, najua mtakuwa meitumia vyema nafasi hiyo kupanga mikakati mizuri ya penzi lenu kwa mwaka...

 

10 years ago

CloudsFM

AFARIKI AKIFANYA MAPENZI KWENYE GARI

Polisi mkoani Kagera inachunguza kifo cha mmiliki wa ukumbi wa klabu ya usiku ya Linas Night, Leonard Mtensa (50) ambaye inadaiwa alifariki dunia wakati akifanya mapenzi kwenye gari lake.
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe alisema Mtensa, ambaye alikuwa na mpenzi wake kwenye gari maeneo ya Buyekera, alifariki dunia kabla ya kufikishwa kituo cha afya cha ELCT Ndolage.

Alisema binti waliyekuwa naye kwenye gari anatokea mkoani Mara na kwamba tukio hilo lilitokea usiku wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani