SIMU ZA KISASA NI HATARI KWENYE MAPENZI!-2

Sikukuu ya Krismasi ndiyo imekwisha, ni matumaini yangu kwamba kila mmoja wetu ameinjoi sikukuu hiyo. Kwa wale ambao imewakuta vibaya kwa namna moja au nyingine, niwape pole. Wasijisikie wanyonge, Mungu atawafanyia wepesi katika matatizo yao na watarudi katika hali ya kawaida. Kwa wale ambao wana tamaduni za kutoka na wapenzi wao, najua mtakuwa meitumia vyema nafasi hiyo kupanga mikakati mizuri ya penzi lenu kwa mwaka...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
SIMU ZA KISASA NI HATARI KWENYE MAPENZI!
9 years ago
Michuzi
11 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Vietnam kuleta simu za kisasa
KAMPUNI ya Viettel ya Vietnam, inakusudia kuingia katika soko la simu la Tanzania kwa kuleta simu za kisasa zenye uwezo mkubwa (smart phone) kwa bei ya chini katika miaka mitano...
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
Habarileo29 Oct
Kila Mtanzania kuweza kupata simu ya kisasa
KILA Mtanzania nchini atakuwa na uwezo wa kupata simu ya kisasa na yenye uwezo mkubwa (smart phone) kwa bei ya chini kabisa katika miaka mitano ijayo kuanzia mwaka 2020 kwa mujibu wa mipango ya kampuni mpya ya simu inayojiandaa kuingia katika soko la simu la Tanzania.
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Simu zinavyoshawishi mapenzi kwa wanafunzi
11 years ago
GPL
MAPENZI YA SIMU, USANII MTUPU, ZUBAA UCHEKWE!
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Simu za kisasa Zinawaathiri wengi kisaikolojia hata kusahau majukumu