Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simu zinavyoshawishi mapenzi kwa wanafunzi

Tangu teknolojia ya mawasiliano ya simu za mkononi ilipoingia nchini, mambo mengi katika jamii, ukiwamo mfumo mzima wa maendeleo na namna ya kuishi, yamebadilika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Walimu 4 wafukuzwa kazi kwa mapenzi na wanafunzi

WALIMU wanne wa kiume wa Shule ya Sekondari Mwembetogwa ya mjini Iringa, wamefukuzwa kazi baada ya kubainika wakijihusisha na uhusiano wa kimapenzi na wanafunzi.

 

10 years ago

Habarileo

Waziri- Simu marufuku kwa wanafunzi sekondari

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imepigilia msumari kwa kuendelea kuwazuia wanafunzi wa shule za sekondari za serikali za bweni na kutwa kumiliki simu za mkononi wakiwa shuleni na yule atakayekamatwa hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

MATUMIZI ya simu kwa wanafunzi shuleni ambayo yamekuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwao, yanaweza kudhibitiwa endapo wamiliki wa shule, walimu na wazazi watasimamia sheria zitakazosaidia kuwabana wanafunzi kumiliki simu....

 

10 years ago

GPL

SIMU ZA KISASA NI HATARI KWENYE MAPENZI!-2

Sikukuu ya Krismasi ndiyo imekwisha, ni matumaini yangu kwamba kila mmoja wetu ameinjoi sikukuu hiyo. Kwa wale ambao imewakuta vibaya kwa namna moja au nyingine, niwape pole. Wasijisikie wanyonge, Mungu atawafanyia wepesi katika matatizo yao na watarudi katika hali ya kawaida. Kwa wale ambao wana tamaduni za kutoka na wapenzi wao, najua mtakuwa meitumia vyema nafasi hiyo kupanga mikakati mizuri ya penzi lenu kwa mwaka...

 

10 years ago

GPL

SIMU ZA KISASA NI HATARI KWENYE MAPENZI!

NAFURAHI tena kukutana na nyinyi marafiki katika uwanja wetu huu wa kujidai. Kupitia safu hii tunapata wasaa wa kushauriana masuala mbalimbali yahusuyo maisha ya uhusiano.Marafiki, leo nataka kuzungumza na nyinyi juu ya maendeleo ya teknolojia ya simu za ‘kutachi’. Simu hizi zimegeuka kuwa tatizo kubwa kutokana na wengi kuzitumia ndivyo sivyo. Imefika wakati simu inamteka mtu akili kiasi cha kusababisha maafa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi msijihusishe na mapenzi — RC

MKUU wa Mkoa (RC) wa Tanga, Luteni mstaafu Chiku Gallawa, amewataka wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani hapa kuacha kujiingiza kwenye mapenzi, kwani hali hiyo itawafanya kushindwa kufikia...

 

11 years ago

GPL

MAPENZI YA SIMU, USANII MTUPU, ZUBAA UCHEKWE!

MAPENZI yanachukua nafasi kubwa sana katika maisha yetu lakini mapenzi hayahaya yanafikia hatua tya kuwadatisha baadhi ya watu. Wengi wasiojua sarakasi zilizomo kwenye uwanja wa mapenzi wanashindwa kujua mchezo unakwendaje na kujikuta wakilizwa wasipate ile furaha waliyoitarajia. Naamini tunajua usanii uliopo katika ulimwengu wa sasa wa mapenzi. Wengi wapo kwenye mapenzi ya kitapeli kwa kuingia kwenye uhusiano na watu ambao...

 

10 years ago

GPL

DUNIA IMEKWISHA! WANAFUNZI DAR WAFANYA MAPENZI NA MBWA

RICHARD BUKOS NI kweli kabisa dunia imekwisha! Kanisa la Maombezi la Ebenezer Deliverance la Mbezi ya Salasala jijini Dar lililo chini ya Mchungaji Benson Shirima limegeuzwa danguro la kufanyia ‘usodoma’ kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Benaco waliotoroka majumbani mwao na kukacha masomo. Wanafunzi wa Shule ya Msingi Benaco waliotoroka majumbani mwao na kukacha masomo wakiwa ndani ya Kanisa la Maombezi la Ebenezer...

 

5 years ago

BBCSwahili

Marufuku yawekwa ya uhusiano wa mapenzi kati ya wafanyakazi na wanafunzi, Uingereza

Wachambuzi wamefurahishwa na marufuku ya uhusiano wa mapenzi kati ya wafanyakazi na wanafunzi katika chuo kimoja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani