Simu za kisasa Zinawaathiri wengi kisaikolojia hata kusahau majukumu
Matumizi ya mitandao ya kijamii kwa sasa ndiyo habari ya mjini. Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la watu wanaotumia mitandao ya kijamii sehemu mbalimbali duniani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TECNO YAZINDUA SIMU MPYA YA PHANTOM 5 WENGI WAICHANGAMKIA
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Vietnam kuleta simu za kisasa
KAMPUNI ya Viettel ya Vietnam, inakusudia kuingia katika soko la simu la Tanzania kwa kuleta simu za kisasa zenye uwezo mkubwa (smart phone) kwa bei ya chini katika miaka mitano...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfa9F4fn-rofmQg1Png3pJhYJOk*AWrhjhvlqL9dYhebB56qXvDaL4jNBCNgdfWM*GIgr0YGAJ12WVahbsKq1BaZ/MAHABA.jpg)
SIMU ZA KISASA NI HATARI KWENYE MAPENZI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLYRdHv951uwae3js5TJOjQM39c1pGZvRt6LGWpUqah95LTP8l4iaHe-l-tZ7SpeT1WZwHqe4NKVvrLZnUe0xq2K/snoop.jpg?width=650)
SIMU ZA KISASA NI HATARI KWENYE MAPENZI!-2
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Jaguar Amponda Iyanya " Hata akinipigia sasa hivi Sipokei simu yake "
![](http://api.ning.com/files/BKB8rO763wEqsQjLFvpJsQ0-GF7rcfDTJaAdY758PnLEmNG4se9Kkm8XsRn3KoonjLuhz7yju1VIO0tz7zCWqna2yVXSGb-E/IyanyaJangua.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9EEYRmgpRI8/VZZ1-bnWaLI/AAAAAAAAez8/3uB7Qp9PC6g/s72-c/Huawei-P8.jpg)
10 years ago
Habarileo29 Oct
Kila Mtanzania kuweza kupata simu ya kisasa
KILA Mtanzania nchini atakuwa na uwezo wa kupata simu ya kisasa na yenye uwezo mkubwa (smart phone) kwa bei ya chini kabisa katika miaka mitano ijayo kuanzia mwaka 2020 kwa mujibu wa mipango ya kampuni mpya ya simu inayojiandaa kuingia katika soko la simu la Tanzania.
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-P_alNUmivKk/XmS7p1Ly72I/AAAAAAACITc/BTwh7SHLJc4Nd-YrKxz_GHdbP2RaLvKYwCLcBGAsYHQ/s72-c/SIMU.jpg)
SERIKALI: NI KOSA KISHERIA KUSAJILIANA LAINI ZA SIMU, HATA AKIWA MKE AU MUME WAKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-P_alNUmivKk/XmS7p1Ly72I/AAAAAAACITc/BTwh7SHLJc4Nd-YrKxz_GHdbP2RaLvKYwCLcBGAsYHQ/s1600/SIMU.jpg)
Serikali imepiga marufuku kwa mwananchi yeyote kumsajilia laini ya simu ya mkononi kwa alama ya vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa cha NIDA mtu mwingine kwa kuwa kufanya hivyo ni kosa la kisheria.
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye mkoani Iringa wakati akiwa kwenye mikutano ya hadhara kwenye kijiji cha Idodi na Isoliwaya mkoani humo akizindua minara ya mawasiliano kwenye kata ya Idodi, Kihesa na Ihimbo...