Msaada wa dharura unahitajika Syria
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon anasema kuwa nusu ya wananchi wa Syria wanahitaji msaada wa dharura wa kibinadamu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5wUz0Axo-yo/default.jpg)
10 years ago
MichuziMSAADA WAKO UNAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA MTOTO HUYU
---------------------- Paulina nyoni mkazi wa kijiji cha Hanga wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma anaomba msaada kwa yeyote atakaye guswa na tatizo la mwanaye aitwaye Fatuma Msuya ili aweze kupata matibabu katika hospitali ya KCMC moshi.
Paulina ni mama mwenye watoto wa tano anayejishugulisha na kilimo , Mume wake aitwaye Jafari Msuya amemtelekeza baada ya kujifungua mtoto mwenye tatizo hili...
11 years ago
MichuziMSAADA WA HARAKA UNAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA MTOTO ADOLOTEA NJAVIGE
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Msaada wa wasamaria wema wa matibabu unahitajika kwa dada huyu
![](http://2.bp.blogspot.com/-aIxK9GFfgIY/VkosddaDbYI/AAAAAAAIGSI/Oa0qJzpNdRM/s640/22c86c9949965ef8a85ff0688d6eb0e0.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nmf9gazYijc/VkosiXb3-HI/AAAAAAAIGSQ/HPWbd_gLJpk/s640/af211d441b4e6718d9223f73fe6e1855.jpg)
Ndugu Wasamaria wema
Napenda kutumia fursa hii kukushirikisha habari ya kusikitisha kuhusu dada Joyce Mwambepo (pichani akiwa na mwanaye, na migu yake iliyopooza) mkaazi wa Sinde jijini Mbeya. Dada huyu mwenye umri wa miaka 27 anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.![](http://3.bp.blogspot.com/-anCSjNjqRuE/Vkoskduw2oI/AAAAAAAIGSY/BxDRsz-3UcE/s400/3388d5f0cc00b03c5a2738f8c17401c3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z8cBGHp90ow/Vmp8l2zXY7I/AAAAAAADDfE/HDOiL1XrWS8/s72-c/Eliza%2BJuma%2Bakionyesha%2Buvimbe%2Btumboni.jpg)
MSAADA MKUBWA UNAHITAJIKA KWA DADA ELIZA ILI AWEZE KUFANYIWA UPASUAJI WA UVIMBE TUMBONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-z8cBGHp90ow/Vmp8l2zXY7I/AAAAAAADDfE/HDOiL1XrWS8/s640/Eliza%2BJuma%2Bakionyesha%2Buvimbe%2Btumboni.jpg)
Akizunguma na waandishi wa habari mjini hapa Dodoma, alisema kuwa uvimbe huo ambao umekuwa ukiongezeka kila siku umekuwa kikwazo kwake katika kutekeleza majukumu yake ya kujipatia kipato.
Alisema kuwa uvumbe huo unaotokana na yeye kufanyiwa upasuaji wa utumbo aliofanyiwa miaka miwili...
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Obama aomba msaada wa dharura
Anahitaji dola bilioni 3.7 za dharura kusaidia kukabiliana na ongezeko la watoto waliohama peke yao kutoka Amerika ya kati
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
UN:Yemen inahitaji msaada wa dharura
Jumuiya ya Umoja wa mataifa imetoa ombi maalum kwa msaada wa dharura wa kibinadamu kwa ajili ya kuisaidia Yemen
11 years ago
BBCSwahili16 Dec
UN:Ombi kubwa la msaada kwa Syria
Umoja wa Mataifa unajiandaa kutoa ombi kubwa zaidi la misaada duniani. Sehemu kubwa ya msaada huu itawaendea watu wa Syria
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania