Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN:Yemen inahitaji msaada wa dharura

Jumuiya ya Umoja wa mataifa imetoa ombi maalum kwa msaada wa dharura wa kibinadamu kwa ajili ya kuisaidia Yemen

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ndege za dharura kusambaza dawa Yemen

Shirika la Kimataifa la Msalaba mwekundu limesema linamatumaini ya kupeleka ndege mbili za dharura katika mji mkuu wa Yemen Sanaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama aomba msaada wa dharura

Anahitaji dola bilioni 3.7 za dharura kusaidia kukabiliana na ongezeko la watoto waliohama peke yao kutoka Amerika ya kati

 

11 years ago

BBCSwahili

Msaada wa dharura unahitajika Syria

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon anasema kuwa nusu ya wananchi wa Syria wanahitaji msaada wa dharura wa kibinadamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudia kutoa msaada unaohitajika Yemen

Saudi Arabia, imeahidi kutoa fedha ambazo Umoja wa Mataifa umesema zinahitajika nchini Yemen.

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil inahitaji mwanasaikolojia

Kocha aagiza mwanasaikolojia kuwashauri wachezaji kufuatia ushindi mgumu dhidi ya Chile.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Rasimu inahitaji marekebisho makubwa’

Siku moja kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba mjini Dodoma, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Zanzibar, Hamid Mbwezeleni amesema rasimu hiyo inahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa kutokana na baadhi ya vifungu kugongana na vingine utekelezaji wake kuwa mgumu.

 

9 years ago

Raia Mwema

Z’bar inahitaji umakini zaidi

UAMUZI wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salim Jecha, kufuta Uchaguzi Mkuu wa vis

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Raia Mwema

CECAFA inahitaji mipango mipya

PAMOJA na kuwa ni miongoni mwa mashirikisho makongwe barani Afrika, Kusini mwa Sahara, Baraza la

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Nchi inahitaji mabadiliko

pombeNa Bakari Kimwanga, Mbeya

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema taifa linahitaji mabadiliko ya kiuongozi chini yake na siyo kwa kubadili chama kilichopo madarakani.

Amesema pamoja na kuwa kuna wimbi la watu wanaotaka mabadiliko, ni vema wakatambua kwamba yatapatikana kupitia CCM na si nje ya chama hicho.

Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mbalizi, Mbeya Vijijini na Wilaya ya Chunya mkoani hapa kwa nyakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani