Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brazil inahitaji mwanasaikolojia

Kocha aagiza mwanasaikolojia kuwashauri wachezaji kufuatia ushindi mgumu dhidi ya Chile.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza kumwajiri Mwanasaikolojia

Roy Hodgson kusajili huduma za daktari wa akili kuimarisha uwezo wao .

 

11 years ago

Mwananchi

‘Rasimu inahitaji marekebisho makubwa’

Siku moja kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba mjini Dodoma, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Zanzibar, Hamid Mbwezeleni amesema rasimu hiyo inahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa kutokana na baadhi ya vifungu kugongana na vingine utekelezaji wake kuwa mgumu.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Nchi inahitaji mabadiliko

pombeNa Bakari Kimwanga, Mbeya

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema taifa linahitaji mabadiliko ya kiuongozi chini yake na siyo kwa kubadili chama kilichopo madarakani.

Amesema pamoja na kuwa kuna wimbi la watu wanaotaka mabadiliko, ni vema wakatambua kwamba yatapatikana kupitia CCM na si nje ya chama hicho.

Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mbalizi, Mbeya Vijijini na Wilaya ya Chunya mkoani hapa kwa nyakati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Tanzania inahitaji mabadiliko ya kiuchumi’

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa katika sekta ya uchumi yatakayosaidia kuharakisha maendeleo ya viwanda hali ambayo itasaidia kutatua tatizo la ajira kwa wananchi wake...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Yemen inahitaji msaada wa dharura

Jumuiya ya Umoja wa mataifa imetoa ombi maalum kwa msaada wa dharura wa kibinadamu kwa ajili ya kuisaidia Yemen

 

9 years ago

Raia Mwema

Z’bar inahitaji umakini zaidi

UAMUZI wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salim Jecha, kufuta Uchaguzi Mkuu wa vis

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Raia Mwema

CECAFA inahitaji mipango mipya

PAMOJA na kuwa ni miongoni mwa mashirikisho makongwe barani Afrika, Kusini mwa Sahara, Baraza la

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Habarileo

‘Tanzania inahitaji rais mwanamke’

Balozi Amina Salum AllyMGOMBEA Urais wa Tanzania ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Amina Salum Ali amesema wanawake hawana sifa ya ufisadi na ufujaji wa mali za umma na kwamba Tanzania inahitaji Rais Mwanamke.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva

>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani