MSAADA WAKO UNAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA MTOTO HUYU
Paulina Nyoni (Mama wa mtoto Fatuma Msuya) akiwa amembeba mwanaye ambaye anahitaji msaada wa matimabu .
---------------------- Paulina nyoni mkazi wa kijiji cha Hanga wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma anaomba msaada kwa yeyote atakaye guswa na tatizo la mwanaye aitwaye Fatuma Msuya ili aweze kupata matibabu katika hospitali ya KCMC moshi.
Paulina ni mama mwenye watoto wa tano anayejishugulisha na kilimo , Mume wake aitwaye Jafari Msuya amemtelekeza baada ya kujifungua mtoto mwenye tatizo hili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMSAADA WA HARAKA UNAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA MTOTO ADOLOTEA NJAVIGE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XJnjoUoHh_c/VcYMSZf7FtI/AAAAAAAAAg0/nKspio31qNw/s72-c/IMG-20150808-WA0020.jpg)
MSAADA TUTANI: Shilingi MILIONI 50 zinahitajika Kuokoa Maisha ya Kijana Huyu
![](http://1.bp.blogspot.com/-XJnjoUoHh_c/VcYMSZf7FtI/AAAAAAAAAg0/nKspio31qNw/s1600/IMG-20150808-WA0020.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eLenu5ZdBXY/VcYMTtfXheI/AAAAAAAAAhE/-vz2XjbXJnk/s1600/IMG-20150808-WA0024.jpg)
10 years ago
MichuziMSAADA TUTANI ILI KUOKOA UHAI WA MTOTO HUYU
Mama mzazi wa Mtoto Bi. Zainabu Mustafa Rajab,alisema kuwa Binti yake huyo alizaliwa April 24 mwaka huu katika hospitali ya Serikali ya Wilaya ya Tunduru,na kwambatatizo hilo la kuanza kukua kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-eLenu5ZdBXY/VcYMTtfXheI/AAAAAAAAAhE/-vz2XjbXJnk/s72-c/IMG-20150808-WA0024.jpg)
MSAADA KWA HILI: SHILINGI MILIONI 50 ZINAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA KIJANA HUYU
![](http://4.bp.blogspot.com/-eLenu5ZdBXY/VcYMTtfXheI/AAAAAAAAAhE/-vz2XjbXJnk/s1600/IMG-20150808-WA0024.jpg)
Na Mwandishi Wetu
Kijana Abel mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Ukonga Mombasa jijini Dar es Salaam anakabiliwa na maradhi ya macho na mishipa ya fahamu hali iliyosababisha apoteze uwezo wa kuona, na hivyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3K9uvZxk6oU/XqvwY25P-TI/AAAAAAALowA/DlARQbJem8sPwUG94jGZj_yedwgSDz2aQCLcBGAsYHQ/s72-c/e596a04f-eb62-4068-b38c-ee46abdf4d15.jpg)
GEOFREY JULIUS MCHANGA ANAOMBA MSAADA WAKO WA MATIBABU YA MOYO, MAPAFU NA TEZI YA SHINGO KUOKOA MAISHA YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-3K9uvZxk6oU/XqvwY25P-TI/AAAAAAALowA/DlARQbJem8sPwUG94jGZj_yedwgSDz2aQCLcBGAsYHQ/s400/e596a04f-eb62-4068-b38c-ee46abdf4d15.jpg)
KILA Binadamu anapitia mapito aliyoandikiwa na muumba wa Dunia. Kila pito lina njia yake ya kuingia na kutokea.
Tunaamini mpendwa wetu Bwana. GEOFREY JULIUS MCHANGA (Pichani) yupo katika mapito, hakika kwa pamoja tukiungana tutaweza kumsaidia kuwa katika hali yake kama awali.
Kwa sasa msaada wa haraka unahitaji zaidi kuokoa maisha yake akitakiwa kwenda Dar es Salaam (Muhimbili).
Anatakiwa kufanyiwa vipimo zaidi na upasuaji wa matatizo yake yanayomkabili ya maradhi ya...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
TANGAZO: Milioni 30 zinahitajika kuokoa maisha ya Mtoto Careen kupata msaada wa kutibiwa India
![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba zimebana kiasi hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.
Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa...
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Msaada wa wasamaria wema wa matibabu unahitajika kwa dada huyu
![](http://2.bp.blogspot.com/-aIxK9GFfgIY/VkosddaDbYI/AAAAAAAIGSI/Oa0qJzpNdRM/s640/22c86c9949965ef8a85ff0688d6eb0e0.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nmf9gazYijc/VkosiXb3-HI/AAAAAAAIGSQ/HPWbd_gLJpk/s640/af211d441b4e6718d9223f73fe6e1855.jpg)
Ndugu Wasamaria wema
Napenda kutumia fursa hii kukushirikisha habari ya kusikitisha kuhusu dada Joyce Mwambepo (pichani akiwa na mwanaye, na migu yake iliyopooza) mkaazi wa Sinde jijini Mbeya. Dada huyu mwenye umri wa miaka 27 anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.![](http://3.bp.blogspot.com/-anCSjNjqRuE/Vkoskduw2oI/AAAAAAAIGSY/BxDRsz-3UcE/s400/3388d5f0cc00b03c5a2738f8c17401c3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RV5aRuCwMDs/VlTbpGnPIZI/AAAAAAAIISc/fy8M9AN7zyg/s72-c/viewer.png)
Muhimbili yapatiwa msaada wa vifaa vya kuokoa maisha ya watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-RV5aRuCwMDs/VlTbpGnPIZI/AAAAAAAIISc/fy8M9AN7zyg/s640/viewer.png)
Vifaa hivyo vina thamani ya Dola za Kimarekani Laki moja sawa na zaidi Sh milioni 2 vimetolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF),kwa lengo la kupunguza vifo vya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa ni Ventilator, medical, adult –child ,w/access pamoja na Warmer system , newborn,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMy2L4jbYz4/U5YZdymwLtI/AAAAAAAFpW8/ivtuCN6WlMw/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Mtoto Maimuna Yahaya anahitaji msaada wako
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Ei1ebpjSODD_QN8iVoRZqs6knggIPt9-9qwHlltd6ffrdDafQhIS1v8zJbLP5sjz9pGC48t4k9H9C9Vj-DuFoOfzfvkJD-SXL7luwGBQ0UxKSlgKkpAdY-H4ZoKidLBnJ2vQWt9ELQ8_aL-x4E1G5vVrysjVq3EUWeR6wx6ElaD5VhfRZ6KDaHBJ4UEzR28cEV2zjyw6CmDhRkmnG_vXu6JO6snRexGRM7NJHTk2b_YmyBnbHbvVqwK4JYbrmZJJPKRHJcBqHJqtdEJha3zqtd8y5C0U51qnb6kbw2FbgozPKnt1G_CvfmVfZcv9EG4tjvisc5N3PrvNdvdOe4EtcVHqNK4XiuuH_9Xs=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-RxKspd_dV0A%2FU5VWqrNFWkI%2FAAAAAAAAV7w%2FaL8RXx_2ZVc%2Fs1600%2FIMG-20140609-WA0002.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)