Mtoto Maimuna Yahaya anahitaji msaada wako
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMy2L4jbYz4/U5YZdymwLtI/AAAAAAAFpW8/ivtuCN6WlMw/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Mtoto Maimuna Yahaya akiwa
na Mama yake Mzazi Tunu Juma.
Msaada unahitajika kwa ajili ya matibabu ya mtoto Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum ya Irente Rainbow (Lushoto- Tanga) Darasa la pili. Yeye anasumbuliwa na tatizo la mifupa na ukubwa wa kichwa tangu kuzaliwa kwake, tatizo lililompelekea kuwa na ulemavu wa viungo na mtindio wa Ubongo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iurvYMsRfrY/U5VWqwez2VI/AAAAAAAAV70/wEG6reC9-xM/s72-c/IMG-20140609-WA0003.jpg)
Msaada wa Matibabu kwa Mtoto Maimuna Yahaya (11)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iurvYMsRfrY/U5VWqwez2VI/AAAAAAAAV70/wEG6reC9-xM/s1600/IMG-20140609-WA0003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RxKspd_dV0A/U5VWqrNFWkI/AAAAAAAAV7w/aL8RXx_2ZVc/s1600/IMG-20140609-WA0002.jpg)
Msaada wa Matibabu kwa mtoto Maimuna Yahaya Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum (wenye ulemavu) ya Irente Rainbow (Lushoto- Tanga) Darasa la pili, anasumbuliwa na tatizo la mifupa na ukubwa wa kichwa tangu kuzaliwa kwake, tatizo lililompelekea kuwa na ulemavu wa viungo na mtindio wa Ubongo. Mama wa mtoto huyo, Bi. Tunu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LvAtrVYA-bu*RsxL*WspWUQCDfTDOHRnZK1nFdUru6eCEwr3*0VsHACsEfMHszrndQoG7MloMOVDJ9tFQ0tb53y/BiCheka.jpg)
BI. CHEKA ANAHITAJI MSAADA WAKO
9 years ago
Vijimambo05 Sep
TUMSAIDIE NATALIA ANAHITAJI MSAADA WAKO
![](https://2dbdd5116ffa30a49aa8-c03f075f8191fb4e60e74b907071aee8.ssl.cf1.rackcdn.com/5347662_1440352291.0817.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Anahitaji msaada wako: Aron Sondi aunguliwa na nyumba Kigamboni
BWANA Aron Sondi anayeishi Kigamboni jijini Dar es Salaam, ameunguliwa na nyumba na kupoteza mali na vitu vyote jana jioni.
Tunaomba michango ya hali na mali iwasilishwe kupitia namba ya Aron Sondi: 0763210530 au kupitia Tigo pesa ya mke wake Sara Obel: 0713560844.
Asante sana na mbarikiwe. Zifuatazo ni picha mbalimbali za tukio la ajali hiyo ambapo moto unaosadikiwa kutokea jikoni umetekeza nyumba yote na mali za familia hiyo.
Sehemu ya nyuma ya nyumba wakati moto ukiwa umetanda...
11 years ago
KwanzaJamii30 Jul
Mtoto mwenye kipaji cha kukariri Bibili anahitaji msaada
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
TANGAZAO KWA WASAMALIA WEMA: MTOTO CAREEN ANAHITAJI MSAADA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba zimebana kiasi hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa tunaomba...
10 years ago
MichuziMSAADA WAKO UNAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA MTOTO HUYU
---------------------- Paulina nyoni mkazi wa kijiji cha Hanga wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma anaomba msaada kwa yeyote atakaye guswa na tatizo la mwanaye aitwaye Fatuma Msuya ili aweze kupata matibabu katika hospitali ya KCMC moshi.
Paulina ni mama mwenye watoto wa tano anayejishugulisha na kilimo , Mume wake aitwaye Jafari Msuya amemtelekeza baada ya kujifungua mtoto mwenye tatizo hili...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Aax03I0kAOY/VZT_e8x6zQI/AAAAAAAC8F8/jCqsa47q8Gw/s72-c/New%2BPicture.png)
OMBI LA MSAADA WA HALI NA MALI ; KIJANA ABEL MACHANGA ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Aax03I0kAOY/VZT_e8x6zQI/AAAAAAAC8F8/jCqsa47q8Gw/s640/New%2BPicture.png)
Familia inaomba msaada wa wasamaria wema ili kugharamia matibabu ya Abel kutokana kuwa gharama za matibabu ni kubwa kuliko uwezo wa familia.
Kwa yeyote atakayetakayeguswa na taarifa hii, anakaribishwa kumtembelea Abel Hospitalini ili kukutana naye na kusikia kilio chake Kwa mlio mbali,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uDECdtWnIpc/VOQpHZ3OPzI/AAAAAAAAHlE/lheEguAGsxo/s72-c/MTOTO%2BSOPHIA%2BABDUL.jpg)
MTOTO SOPHIA ABDUL ANAOMBA MSAADA WAKO ILI AWEZE KUPATA MATIBABU
MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye jicho lake la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamalia wema.
![](http://3.bp.blogspot.com/-uDECdtWnIpc/VOQpHZ3OPzI/AAAAAAAAHlE/lheEguAGsxo/s1600/MTOTO%2BSOPHIA%2BABDUL.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni alisema kuwa mwanae...