Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ONESHO LA SITE LAZIDI KUVUTIA WADHAMINI

Na: Geofrey Tengeneza
Taasisi na makampuni kadhaa yameendelea kujitokea kudhamini onesho la kimataifa la utalii la Swahili ‘Swahili International Tourism Expo’ (SITE) linaloandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na ambalo linatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City kuanzia Oktoba 1 – 4, 2014.
Aidha Bodi ya Utalii Tanzania imesema milango bado ipo wazi kwa makampuni na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kuwaunga mkono kwa kujitokeza kudhamini onesho...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ONESHO LA SITE KUFUNGULIWA KESHO JUMATANO MLIMANI CITY,JIJINI DAR

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Saddick akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uwepo wa onyesho la kimataifa la utalii ‘Swahili International Tourism Expo’ (SITE) linaloandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB),litakalofunguliwa rasmi kesho Jumatano katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City,jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB),Devota Mdachi akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu onyesho hilo la kimataifa la utalii ‘Swahili...

 

10 years ago

GPL

KABURI LA KUAMBIANA LAZIDI KUBOMOKA

Stori: Waandishi Wetu INASIKITISHA! Tofauti na makaburi mengine ya wasanii mbalimbali wa filamu yaliyopo Kinondoni jijini Dar, la marehemu Adam Kuambiana limeendelea kubomoka na kuwa na mashimo huku likionekana kutelekezwa. Kaburi la marehemu Adam Phillip Kuambiana. Gazeti hili lilitembelea makaburini hapo na kushuhudia kaburi hilo likiwa na mashimo mengi pembeni tofauti na yale yaliyowahi kuripotiwa awali na magazeti Pendwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wingu lazidi kutanda Z’bar

Wingu zito linaendelea kutanda kwenye anga za siasa visiwani hapa baada ya Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi kusema mchakato wa kupanga bajeti kwa ajili ya marudio ya uchaguzi umekamilika, huku CUF ikishangazwa na kupinga tamko hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Deni la taifa lazidi kupaa

Mtandao wa Madeni na Maendeleo Tanzania (TCDD), umebaini ongezeko la madeni ya ndani, ambayo sasa yamefikia Sh6.8 trilioni na kusababisha athari kubwa kwa jamii.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Spray’ za waamuzi zatarajiwa kuvutia

Kila mara fainali za Kombe la Dunia 2014 zinapofanyika huwa kuna kitu kipya, iwe kwenye kanuni, taratibu za uendeshaji, aina za ushangiliaji na kwa wachezaji huwa ni mitindo mbalimbali ya kuanzia uvaaji, staili za nywele na staili za uchezaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Sakata IPTL lazidi kuwavuruga wabunge

>Sakata la fedha za IPTL limechukua sura mpya baada ya baadhi ya wabunge kudai kurubuniwa na wenzao kwa fedha ili wakwamishe Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, wakidai balozi mmoja yuko nyuma ya mpango huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ongezeko la joto lazidi kuwa tishio

Ongezeko la joto duniani huenda likaleta madhara makubwa zaidi na ambayo hayawezi kurekebishika

 

11 years ago

Mwananchi

Tatizo la maji Dar lazidi kukua

Kilio cha wakazi wa Dar es Salaam kupatiwa maji safi na salama, bado ni ndoto pamoja na Serikali kutoa ahadi za kumaliza tatizo hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tamasha la J LO lazidi kuzua zogo Rabat

Waziri mkuu nchini Morocco ameamrisha kufanywa uchunguzi kuhusu matangazo ya runinga ya tamasha ya mwanamuziki Jennifer Lopez

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani