Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wingu lazidi kutanda Z’bar

Wingu zito linaendelea kutanda kwenye anga za siasa visiwani hapa baada ya Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi kusema mchakato wa kupanga bajeti kwa ajili ya marudio ya uchaguzi umekamilika, huku CUF ikishangazwa na kupinga tamko hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hofu yaendelea kutanda A.Magharibi

Kuna hofu kwamba mlipuko wa ugonjwa wa Ebola, katika kanda ya Afrika Magharibi, utaendelea kuwa mbaya sana hadi kanda hiyo itakapopata nafuu

 

10 years ago

GPL

MAFURIKO YAITIKISA DAR, HALI YA WASIWASI YAZIDI KUTANDA

Eneo la Sayansi lilivyoathiriwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha. Eneo la Tandale. Maji yakiwa yamejaa kwenye nyumba.…

 

10 years ago

StarTV

Utekaji Albino, Hofu yaendelea kutanda kwa jamii.

Na Rogers Willium,

Mwanza.

 

Wakati jeshi la polisi nchini likihangaika kumtafuta mtoto Pendo Emanuel mwenye ulemavu wa Ngozi baada ya kutekwa na watu wasiofahamika desemba 27 mwaka jana, mtoto mwingine wa mwaka mmoja Yohana Bahati ametekwa mkoani Geita.

Mtoto huyo ametekwa usiku wa kuamkia siku ya jumatatu nyumbani kwao katika kijiji cha Ilelema Wilaya ya Chato na watu wasiofahamika.

Matukio yote haya yanafanyika ndani ya siku 50 na hivyo kuleta hofu katika jamii hususan kwa watu...

 

10 years ago

Mtanzania

Wingu zito IPTL

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Na Bakari Kimwanga, Dodoma

WINGU zito limeendelea kutanda kuhusu uchunguzi wa sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL baada ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kusema hajapokea taarifa yoyote ya uchunguzi wa Sh bilioni 200 katika Akaunti ya Tegeta Escrow.

Alisema kama angekuwa ameipokea kamwe haoni sababu ya kukaa nayo kimya.

Alisema pindi akiipokea taarifa hiyo ataiwasilisha kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda kama utaratibu unavyotakiwa.

Pinda alitoa kauli hiyo bungeni...

 

10 years ago

Vijimambo

UTATA WAZIDI KUTANDA UMRI NA UHALALI WA MISS TANZANIA 2014

Baada ya kuonekana kuwa mrembo wa taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu, amedanga kuhusu umri wake halali aliotakiwa kutaja ili Kamati ya mashindano ya Miss Tanzania iweze kumruhusu kushiriki mashindano hayo au la, wadau wa tasnia ya urembo wanaomfahamu kwa karibu mrembo huyo wamekuwa wakizidi kutoa baadhi ya vidhibitisho vya mrembo huyo vinavyoonyesha umri halisi ambao ni miaka 25 badala ya ile 18 aliyoitaja.
Aidha wadau hao wamezidi kwenda mbali zaidi kwa kuweka picha ya mrembo huyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Wingu zito latanda Simba

Wingu zito limetanda ndani ya klabu ya Simba baada ya uongozi unaomaliza muda wake kudaiwa kuchota kitita cha Sh100 milioni za msimu ujao kutoka Azam Media kwa madai ya kujenga Uwanja wa Bunju kitu ambacho hakijafanyika.

 

10 years ago

Mwananchi

Wingu zito Kura ya Maoni ya Katiba

Mchakato wa Katiba Mpya, hatua ya Kura ya Maoni umegubikwa na wingu zito kutokana na kuibuka utata na ukiukwaji wa sheria.

 

10 years ago

Mtanzania

Ugaidi’ Tanga bado wingu zito

paul-chagonja1Amina Omari, TANGA na Fredy Azzah, Dar

ZIKIWA zimepita siku sita tangu tukio la polisi kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kurushiana risasi kwa takribani saa 48 na watu wanaodaiwa kuwa ni kikundi cha uporaji silaha, wingu zito limeendelea kutanda juu ya suala hilo.
Hatua hiyo imekuja baada ya Mkuu wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini, Paul Chagonja, kutoa kauli katika moja ya mikutano na waandishi wa habari na kudai tukio hilo limehusisha vijana aliowaita...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wingu lisilo la kawaida linalosafiri kilomita 10,000 kutoka Afrika hadi Amerika

Wingu jeusi lililojaa vumbi limekuwa likitanda katika eneo la Atlantic kwa siku kadhaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani