JB Asema Haya Kuhusu Kaburi la Kuambiana
Kufuatia wadau mbalimbali kuhoji kwa nini staa wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ ameliacha kaburi la aliyekuwa mwongozaji wa filamu katika kampuni yake, marehemu Adam Kuambiana mwenyewe amefunguka kwamba hali ya kifedha ni ngumu kwa sasa.
Akiongea na gazeti la Amani, JB alisema anatamani kulikarabati kaburi la Kuambiana ambalo limetoboka na mpango huo upo kwenye ratiba yake ila kwa sasa hali ya kifedha ni ngumu ikiwa nzuri ataanza ujenzi wake mara moja.
“Unajua ni muda mrefu nilikuwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies10 Sep
JB Afunguka Haya Kuhusu Marehemu Adam Kuambiana na Ujio wa Filamu Mpya
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram staa wa Bongo Movies , Jacob Stephen ‘JB’ ameendelea kusifia kipaji cha sanaa alichokuwanacho marehenu Adam Kuambiana ambaye atakuwepo kwenye filamu mpya itakayotoka wiki ijayo inayokwenda kwa jina la mahabusi aliyoicheza kabla ya kufariki dunia.
“Moja kati ya waigizaji ambao sitaacha kuwasifia ingawa tayari ametangulia mbele za haki....Adam Kuambiana....ana sauti, ana hisia na anajua....Yeye pamoja na dada mmoja anayeitwa Bridgete. aliyewahi...
10 years ago
Bongo Movies28 Apr
Aunt Ezekiel Asema Haya Kuhusu Mastaa Kujiremba Misibani
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amewaponda wasanii wanaokwenda misibani wakiwa wamejipara kupita kiasi.
Staa huyo aliwaponda mastaa wenzake wenye tabia ya kutumia sehemu za misiba kugeuza uwanja wa kuonyesha mavazi na vito vya thamani katika miili yao.
“Wenye tabia hizo acheni kujipodoa katika msiba, tunakera wenzetu ndiyo maana linaongelewa kila siku tuishi kulingana na utamaduni wetu tusiige,’’ alisema huku akifafanua zaidi.
“Wenzetu wakiwa katika majonzi nasi tufanane nao tusiende...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG-phqV3RMMROQDz7LYXXWfLkf6FWueW4CwMbOFFVrsNwlrd7XEOlqjT5NRPJChDLte73btAwiZIfYJE126zJX83/JB.jpg?width=650)
JB AFUNGUKIA KABURI LA KUAMBIANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6vps1xRgmbf2C-PK7fVgkiRUNhNtbH*E31oFI9n39Pwq6sJ81T4V2AGL1V3ItQPluZTw-Zw0ueqVygvn2pLn0L/BACK.jpg?width=650)
KABURI LA KUAMBIANA LATOBOKA KIMAAJABU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0EnpUkUMSWoYBm3pBv4851YwZShzCotcjTaTAbCcnMMpH2C8zKiOf03yKtWSz2D-aB2ZQEZ8*wVYUfbW3kVub5NvU6ywxe8/kuambiana.gif)
KABURI LA KUAMBIANA LAZIDI KUBOMOKA
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Nahreel kasema ‘nisieleweke vibaya kuhusu haya niliyosema kuhusu Diamond’
Nahreel ni msanii wa kundi la Navy Kenzo lakini pia ni Producer ambaye mikono yake imehusika kuzisuka hits nyingi tu ikiwemo za WEUSI, Vanessa Mdee, Navy Kenzo, Shilole na hivi karibuni Nahreel ameingia kwenye headlines za Tanzania baada ya kusema hakupendezwa na maneno ya utambulisho wake kufutwa kwenye beat aliyoitengeneza ya wimbo wa ‘Nana‘ wa Diamond […]
The post Nahreel kasema ‘nisieleweke vibaya kuhusu haya niliyosema kuhusu Diamond’ appeared first on...
9 years ago
VijimamboMakamba Ashangazwa Na HAYA MAGAZETI MATATU KUHUSU Vichwa Vya Habari Kuhusu Lowassa
![](http://i0.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/09/makamba.jpg?resize=702%2C336)
Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameonesha kushangazwa na mfanano wa vichwa vya habari vya magazeti ya leo kuhusu mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.Makamba ambaye ni mjumbe wa kamati ya kampeni ya CCM, ameonesha kurasa za mbele za magazeti ya Mtanzania, Mwananchi na Tanzania Daima zilizokuwa na vichwa vya habari vinavyomnukuu Lowassa akitaka watanzania wasiogope.Amepost picha za magazeti hayo kwenye twitter na kuhoji kama mfanano huo ni bahati mbaya...
9 years ago
Bongo Movies25 Aug
Baada ya Baadhi ya Mashabiki Kumshambulia kwa Maneno, JB Asema Haya
Kufuatia kitendo baadhi ya mashabiki kumshabulia kwa maneno makali staa wa Bongo Movies, JB kwa kuonyesha mapenzi yake kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa mwaka huu, JB amefunguka haya kwenye ukurasa wake mtandaoni kuwataka wabadilike kimtazamo.
Hakuna kitu muhimu kwenye maisha kama furaha....lakini furaha ina ambatana na kufanya mambo ambayo moyo wako unapenda bila kuvunja sheria.
Kuishi maisha ya kuogopa kitu unachopenda kwa sababu ya watu ni kuinyima furaha roho...
10 years ago
Bongo Movies02 Apr
Kutokana na Ushiriki Hafifu wa Wasanii Kwenye Msiba Wa Diffender, Sumaku Asema Haya
Mwenyekiti wa Chama cha Wachekeshaji (Tanzanian Comedian Association) Habib Mkamba ‘Sumaku’ amewapongeza wasanii hao kwa kujitolea katika kumuuguza msanii mwenzao hadi kifo chake Fadhil Said almaarufu kama Diffender, amedai kuwa pamoja na kutengwa na wasanii wengine lakini walijitoa.
Nawashukru na kuwapongeza kwa wale wasanii wa Komedi ambao tumejitoa kupigania afya ya marehemu Difenda, niliwahi kusema kila anapofariki mwenzetu kuna mwingine yupo njiani tusiposhirikiana ni...