DAKTARI: KUAMBIANA AMEJIUA
![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFWj6E38HeRYK2ox-XSH*JcVbhV5ixt*ctYo*xSuc4e9TqqYmeOJNSrIrQQnrzO1*-JgqXvSlN51KxGzY*8oVZqj/daktari.jpg?width=650)
WAANDISHI WETU IMEVUJA! Siku chache baada ya kifo cha mwongozaji na mwigizaji wa filamu Bongo, Adam Philip Kuambiana, daktari mkubwa wa mastaa ameibuka na kudai marehemu alijiua mwenyewe. Waombolezaji wakiaga mwili wa marehemu Adam Kuambiana. Kwa mujibu wa daktari huyo ambaye hakupenda jina lake lichorwe gazetini kutokana na maadili ya taaluma yao kuficha siri ya mgonjwa, siku moja kabla ya kifo (Ijumaa ya Mei 16, mwaka...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies16 Aug
Kuambiana Amliza Niva
Zuberi Mohamed ‘Niva’ amesema filamu ya ‘Kipaji Changu’ aliyoigiza na marehemu Adam Kuambiana (Pichani),humtoa machozi kila anapoitazama.
“Kipaji Changu” imetoka wiki iliyopita lakini filamu hiyo ilichezwa muda mfdupi kabla ya kufariki kwa Kuambiana Mei Mwaka jana.
Akizungumza swala hilo, Niva alisema “Filamu hii imenipa mawazo ambayo nahisi kama bado kuambiana yupo.”
Chanzo: Nipashe
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YmKwyVodFwtfArPFQKa*Zn99NY4MHn5V-82XnCG4bS8ahY7zenH2F2BSDniHhX95Wztm*L6y77wlRs6ut9pDXkt/JB.jpg?width=650)
JB AWAZUNGUMZIA KANUMBA, KUAMBIANA
11 years ago
MichuziBURIANI ADAM KUAMBIANA
Adam Kuambiana enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI na Muongozaji filamu maarufu Bongo, Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu alfajiri ya leo.
Habari zinasema Marehemu alianguka chooni akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remmy, Dar es salaam . Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbo. Globu ya Jamii inaungana na familia ya marehemu, ndugu,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG-phqV3RMMROQDz7LYXXWfLkf6FWueW4CwMbOFFVrsNwlrd7XEOlqjT5NRPJChDLte73btAwiZIfYJE126zJX83/JB.jpg?width=650)
JB AFUNGUKIA KABURI LA KUAMBIANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
ADAM KUAMBIANA AZIKWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT4JcAqmnM2sO00p5pCpLeCOivHGXerm8P4jwXyuqjjRwalnzDkMIbxJ6KVUf457a*oVFT0VieH0J64jg5nCBcSY/adam.jpg)
MCHUMBA WA KUAMBIANA AIBUKA!
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Wadau wa filamu walivyomlilia Kuambiana
WIKI hii ilikuwa siku ya huzuni kwa tasnia ya filamu baada ya msanii Adam Philip Kuambiana kufariki, kifo kilichotokana na maradhi ya vidonda vya tumbo. Umauti ulimkuta Kuambiana usiku wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
ADAM KUAMBIANA AFARIKI DUNIA
11 years ago
Mwananchi18 May
Kuambiana afariki akiwa kazini