Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHAMSA: KUAMBIANA ALIKUWA JINIAZ

Stori: Andrew Carlos
DIVA wa filamu nchini, Shamsa Ford amefunguka ya moyoni kuhusiana na kifo cha muigizaji na muongozaji wa filamu Bongo, Adam Phillip Kuambiana kwa kumuelezea kuwa alikuwa ni mtu mwenye kipaji kilichopitiliza (Giniaz). Shamsa akilia kwa simanzi wakati wa msiba wa Kuambiana. Akipiga stori mbili-tatu na mwandishi wetu, Shamsa alisema kuwa, Kuambiana alikuwa na kitu ambacho waandaaji wengine wa filamu hawana,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Izzo Bizness: Mangwair alikuwa ‘genius’, alikuwa na uwezo wa kuandika na kumaliza kurekodi album nzima siku moja

Albert Mangwair alikuwa ni rapper genius, kwa mujibu wa Izzo Bizness. Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky, Izzo amesema alifahamiana na Ngwair tangu yuko Mbeya kabla ya kuja kumshirikisha kwenye ngoma yake ‘Ball Player’ wakiwa na Quick Rocka. “Ngwair ni mtu ambaye nilisema angeamua, angekuja kuvunja historia ya muziki labda Tanzania,” anasema Izzo. “Alikuwa […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Penzi la Nay na Shamsa la Sababisha Vilio kwa Siwema na Mume wa Shamsa

Penzi la staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford  na Staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe.

Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, Mara baada ya wawili hao kutangazwa rasmi kuwa sasa ni mahaba niue huku picha za ushahidi zikimwagwa, aliyekuwa mwandani wa Nay, Siwema a.k.a Wemalicious na aliyekuwa mume wa Shamsa, Dickson ‘Dick’ wanadaiwa kujikuta kwenye hali mbaya kiasi cha kumwaga...

 

10 years ago

GPL

PENZI LA NAY, SHAMSA SIWEMA, MUME WA SHAMSA VILIO

Musa mateja na imelda mtema
Penzi matata linalowanyima usingizi baadhi ya watu mjini kwa sasa kati ya mwigizaji wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford na mkali wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe, Ijumaa limesheheni. Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego na Shamsa Ford wakipozi kimahaba. TATIZO MAHABA NIUE
...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Alikuwa kama mbuyu’

Familia ya marehemu Nelson Mandela imezungumza kwa mara ya kwanza tangu kiongozi huyo wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini alipofariki dunia Alhamisi iliyopita na kumfananisha na mbuyu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius alikuwa sawa kiakili

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius hakuwa na tatizo lolote la kiakili wakati alipomuua mpenzi wake.

 

11 years ago

GPL

MAMA: KANUMBA ALIKUWA WA KIPEKEE

Mama Kanumba akitoa shukrani kwa waliohudhuria Kanumba Day, Dar Live. Stori: Shani Ramadhani MAMA mzazi wa staa wa filamu za Kibongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoha amesema anamkumbuka mwanaye kwa mengi kwa sababu alikuwa wa kipekee kwake.…

 

10 years ago

Mwananchi

Alikuwa akiwafuata wasimamizi wa uchaguzi.

Nahodha wa boti ya doria ya Halmashauri ya Wilaya Geita, Timothi Samson(46) anahofiwa kufa maji baada ya kuzama ndani ya Ziwa Victoria wakati akienda kuwachukua wasimamizi wa uchaguzi wa marudio wa Serikali za Mitaa katika Kisiwa cha Izumacheli.

 

11 years ago

Mwananchi

Wapalestina wasema alikuwa mwenzao

Wapalestina wamekuwa katika maombolezo kumkumbuka Rais wa Kwanza Mwafrika wa Afrika Kusini, Nelson Mandela aliyefariki dunia Alhamisi iliyopita baada ya kuugua kwa muda mrefu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rubani alikuwa na matatizo ya kiakili

Viongozi wa mashtaka wa Ujerumani wanasema wamepata ushahidi unaosema kwamba rubani huyo alimficha mwajiri wake ugonjwa anaougua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani