MAMA: KANUMBA ALIKUWA WA KIPEKEE
Mama Kanumba akitoa shukrani kwa waliohudhuria Kanumba Day, Dar Live. Stori: Shani Ramadhani MAMA mzazi wa staa wa filamu za Kibongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoha amesema anamkumbuka mwanaye kwa mengi kwa sababu alikuwa wa kipekee kwake.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies25 Jan
Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"
Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.
Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.
Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...
10 years ago
Bongo Movies18 Feb
Mama Kanumba Awa Mbogo, Kisa Ofisi ya Kanumba…!
KUFUATIA kufungwa kwa ofisi ya aliyekuwa msanii nyota wa filamu marehemu Steven Kanumba ya Kanumba The Great, mama mzazi Flora Mtegoa amegeuka mbogo baada ya kuulizwa kuhusu hatima ya kikazi ya taasisi hiyo.
Watu wamezidi kunifuatilia mambo yangu, sitaki kabisa nimechoka, hii kampuni haimhusu mtu yeyote, hili ni jambo langu siyo lazima niliweke wazi, kama kampuni imekufa au itaendelea haiwahusu, wanaoamini imekufa waamini hivyo, maana hata Yesu walisema atarudi hadi leo mbona hajarudi?...
10 years ago
Bongo Movies07 Dec
MAMA KANUMBA: Skendo ya Kanumba iliyonitesa ni ya Ung'eng'e
Mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa ambaye kwasasa ameingia kwenye tasnia ya filamu hapa nchini amefunguka kuwa hakuna skendo ambayo ilimsononesha kama ile ya mwanaye huyo kuambiwa hajui Kiingereza .
Mama Kanumba alifunguka hayo juzikati katika mahojiano maalum na Mwandishi Wetu : “Eti Kanumba hajui Kiingereza , hili lilinishtua sana nikalipinga kwa nguvu zote sababu najua mwanangu hata shule alikuwa kichwa, ” alisema mama Kanumba .
Skendo ya kudaiwa kutozungumza Kiingereza...
10 years ago
Bongo514 Jan
Mama Kanumba asikitishwa na wasanii pamoja na wadau wa filamu kususia uzinduzi wa kitabu cha Kanumba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0Yk5nXCP3opYZUlFLA9uhGns2oOx7qGF9YZ4Ulsi6*O6kCXBz9962E6hvQRaQIbuwhnrBfZpeLPzZWc-MmaavlGA/babakanumba.jpg?width=650)
BABA KANUMBA: NITAMPELEKA MAMA KANUMBA SEGEREA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtr1cdVx9tk-ZbNWOxYi05WgkjzV9wU-RTMz9vEPaeNenlkACwbpi2FPah6SXq4YWp5k3WyzAJm0g-u-XDb1wOou/MAMAKANUMBA.jpg?width=650)
MAMA LULU, MAMA KANUMBA WAENDA KULA KIAPO
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nkLEPVQ6s9cKVne0M9OiZ-5-XOtkPZUeDU-x3e5fQ5HZFCXI52MZmjiTOAjF6nrOkAbZvZnHNM0wGBzvePTa-s1-cpP0w8qI/FrolaMtegoa.jpg)
MAMA KANUMBA: MAMA LULU ANGENIPELEKA JELA
9 years ago
Bongo Movies01 Nov
Mama Kanumba Adai Kutukanwa na Mama Lulu
MAMA wa aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa amedai kwamba mama wa msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresa Kalugira amemtukana matusi mazito yaliyomsababishia presha na vidonda vya tumbo.
Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, mama Kanumba alisema wiki mbili zilizopita mama Lulu alimpigia simu usiku wa manane na kuanza kumporomoshea matusi na kumtaka aache kumfuatilia na mwanaye.
“Kweli hayo matusi yameniumiza, mpaka sasa ninaumwa kwani presha inapanda kila...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Mjasiriamali, Mama jasiri, mwenye uthubutu wa kipekee