NORA: SIFIKIRII MAPENZI TENA!
Brighton Masalu Mwigizaji wa filamu za Kibongo, zao la Kundi la Kaole, Nuru Nassoro ‘Nora’ amesema kwa sasa hafikirii tena kuingia kwenye uhusiano wa mapenzi na kwamba anaamua kuelekeza nguvu na akili zote kwenye kazi. Nora ameliambia Amani kwamba, ameamua kuwa hivyo baada ya kuambulia maumivu mara nyingi katika mapenzi, jambo ambalo limechangia kumdidimiza kisanii.“Sitaki tena kusikia habari za mapenzi, kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLNORA: NILIINGIA VITANI NA JOHARI, KISA MAPENZI!
9 years ago
Bongo Movies24 Aug
Nora: Naolewa, Nikiachika Tena…!
MUIGIZAJI wa muda mrefu katika tasnia ya filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ yuko katika siku za mwisho za kuhitimisha harakati za kufunga ndoa, huku akijiapiza kuwa, endapo ataachika tena, basi atakuwa na nuksi.
Akipiga stori na paparazi wetu juzi, mmoja wa marafiki wa muda mrefu na Nora, ambaye pia ni msanii wa filamu (jina lipo kwenye droo zetu), alisema kwa sasa Nora yuko ‘bize’ kuhakikisha mambo na mipango ya harusi yake na mwanaume ambaye alitajwa kwa jina moja la Omary inakwenda...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Nora adaiwa kuwa chizi tena!
Mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’.
Na Brighton Masalu
NURU Nassoro ‘Nora’ ambaye ni mwigizaji wa kitambo Bongo,anadaiwa kuugua uchizi kwa mara nyingine tena, jambo ambalo amelipinga vikali na kwamba wabaya wake wameendelea kumtakia mabaya katika maisha yake, lakini yuko safi na anaendelea na maisha yake.
Mwanzoni mwa wiki hii, mmoja wa rafiki zake wa karibu aliliambia gazeti hili kuwa, uzushi na uvumi huo ulianza kuenezwa wiki mbili zilizopita, hali iliyosababisha watu wengi,...
9 years ago
GPLNORA: NAOLEWA, NIKIACHIKA TENA…!
9 years ago
Bongo514 Sep
Picha: Beyonce na Jay Z mapenzi tele licha ya tetesi kuwa ndoa yao ipo kwenye mawe tena
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuDc5QX4F1e0QecHqrFsqBkHrebEXi*h32zdrIRtyAYvE9PbZBezqCrsIPNAp8xMDT9PNHB2fUX-ki4A6IbzRbiy/dtyytfyty.gif)
Mwaikimba: Sifikirii kustaafu
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Hemedi: Sifikirii kurekodi video nje ya nchi
NA THERESIA GASPER
MSANII wa muziki wa kizazi kipya na filamu za kibongo nchini, Hemedi Suleiman ‘PHD’, amesema hajawahi kufikiria kufanya video za nyimbo zake nje ya nchi kama wafanyavyo baadhi ya wasanii wenye kipato cha juu.
Hemedi, ambaye kwa sasa anatamba na kibao chake cha ‘Memories’, alisema anachofikiria ni kushirikiana na wasanii kutoka nje na si kufanya video nje ya nchi wakati nchini kuna mazingira ya kutosha kunogesha video zake.
“Kitu ambacho kipo kichwani mwangu kwa sasa ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYhUw84MFOewtQ-96AfV47uajEM7Ml5b-hSgTBtoIm1LOFAejL4E*KCwdoEn6i76eFKjIi-AI8Xb90Wbz6unIGrg/tundaMAN.jpg)
TUNDA MAN: SIFIKIRII KUTOKA KIMAPENZI NA WEMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TARUKDkBK7orYFHyfVVVY4Y9Snr--RG6igTJSHlLCdGDof9xUsGofuo1lj2stEmuiweugxu09*6zTAWSFZorSMDQCwm-Hf-W/hamisa.jpg)
HAMISA MABETO: SIFIKIRII NDOA, NAKULA UJANA