Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAMISA MABETO: SIFIKIRII NDOA, NAKULA UJANA

Stori: Mayasa Mariwata
Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amesema kwa sasa hafikirii suala la kuolewa kwani bado anakula ujana. Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu, Hamisa Hassan ‘Mabeto’. Akipiga stori na paparazi wetu, Mabeto alisema bado anajiona mtoto hivyo kuliko kukimbilia maisha ya ndoa bora ale kwanza ujana. “Suala la kuolewa hapa kwangu hata...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

HAMISA MABETO: NINA UTAALAM NA NYOKA

Stori: Musa Mateja
MREMBO aliyeng’ara kwenye Shindano la Miss Tanzania mwaka 2011, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amefunguka kuwa, licha ya baadhi ya wasichana wenzake kutokuwa na ujasiri wa kucheza na nyoka, yeye anao. Mrembo aliyeng’ara kwenye Shindano la Miss Tanzania mwaka 2011, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ Akipiga stori na Ijumaa, Mabeto alisema awali alikuwa muoga lakini taratibu alianza...

 

10 years ago

GPL

HAMISA MABETO AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Mwanamitindo kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto (kushoto) akiwa na mimba kabla ya kujifungua kulia ni mtoto wake wa kike.
Hamisa Mobeto akiwa katika pozi. MWANAMITINDO kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto amejifungua mtoto wa kike hivi karibuni na kuwashangaza wengi kwani mimba hiyo ilikuwa na usiri mkubwa tofauti  na wafanyavyo mastaa wengine. Mtandao huu tunampa hongera… ...

 

11 years ago

GPL

KOLETA: NAKULA UJANA, KUOLEWA BADO SANA

Stori: Maria Halimoja Mwanadada kutoka tasnia ya filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ amesema kwamba suala la yeye kuolewa siyo la leo wala kesho na kwamba anakula ujana kwanza. Mwanadada kutoka tasnia ya filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ Akipiga stori na paparazi wetu juzikati, Koleta alisema kwa sasa hafikirii kabisa suala la kuingia kwenye maisha ya ndoa kwa kuwa, kila jambo na muda wake na...

 

10 years ago

GPL

HAMISA MABETO KAMA KIM, AMBER ROSE

Na Hamida Hassan
Tabia ya mastaa kujipiga picha za nusu utupu wakiwa na mimba haikuwepo Bongo, wamekuwa wakifanya hivyo mastaa wa nje kama vile Kim Kardashian, Amber Rose na wengineo lakini mwanamitindo, Hamisa Mabeto amefanya hivyo kisha kuzitupia picha zake mtandaoni. Hamisa Mabeto. Hamisa alijifungua hivi karibu baada ya kufanikiwa kuificha mimba yake lakini kumbe alijipiga picha hizo za kihasara kisha kuzihifadhi. Hata...

 

10 years ago

GPL

HAMISA MOBETO: NDOA YANGU ITAZINDULIWA MITANDAONI

Imelda Mtema Mwanamitindo Hamisa Hassan ‘Mobeto’ amefunguka kuwa siku atakayofunga ndoa atafanya siri na watu wataiona kwa mara ya kwanza kupitia mitandao ya kijamii. Mwanamitindo Hamisa Hassan ‘Mobeto. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Hamisa alisema kuwa ndoa yake itakuwa ya siri kwa maana atafunga na mumewe Kiislamu bila kuita watu na picha za ndoa hiyo zitazinduliwa mtandaoni. “Watu wakishaziona picha hizo kupitia...

 

9 years ago

Bongo5

Nimekonda sababu nakula mno uroda – Huddah

12145423_1081744378505341_202051685_n

Huddah Monroe ni mwanamke anayetumia muda mwingi kusafiri katika nchi mbalimbali na kula bata.

12145423_1081744378505341_202051685_n

Lakini kingine ambacho anakifanya mara kwa mara ni kula uroda… mara tano, mara sita kwa siku? Jibu analo mwenyewe lakini amekiri kuwa mwili wake umepungua sababu anavunja amri ya sita mara nyingi mno!

Mrembo huyo alipost picha ya kitambo na kuandika:

#TBT! I miss my body like this ! Sema kukonda these past months? Been up and down like an athlete, paper chasin see_no_evil and maybe too much...

 

11 years ago

GPL

MABETO: NAVAA NUSU UTUPU KIDIJITALI

NA MUSA MATEJA ‘Modo’ anayekuja kwa kasi Bongo, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amefunguka kuwa, haoni hatari kuvaa nguo za kihasara kwani anahisi utandawazi ndiyo unamsukuma kufanya hivyo. ‘Modo’ anayekuja kwa kasi Bongo, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ Akizungumzia tabia yake ya kupiga picha za nusu utupu kisha kuzitupia mtandaoni, mrembo huyo ambaye aliwahi kushiriki mashindano ya Miss...

 

10 years ago

GPL

Mwaikimba: Sifikirii kustaafu

Aliyekuwa mshambuliaji wa Azam, Gaudence Mwaikimba. Na Martha Mboma
BAADA ya uongozi wa Azam FC kuwaacha wachezaji wake watatu kutokana na kumaliza mikataba yao, aliyekuwa mshambuliaji wa timu hiyo, Gaudence Mwaikimba, amefunguka kuwa licha ya kuachwa ataendelea kucheza soka mahali pengine na hafikirii kustaafu kwa sasa. Azam imeachana na wachezaji hao ambao wamemaliza mikataba akiwemo beki mahiri David Mwantika, Amri Kiemba...

 

10 years ago

GPL

NORA: SIFIKIRII MAPENZI TENA!

Brighton Masalu Mwigizaji wa filamu za Kibongo, zao la Kundi la Kaole, Nuru Nassoro ‘Nora’ amesema kwa sasa hafikirii tena kuingia kwenye uhusiano wa mapenzi na kwamba anaamua kuelekeza nguvu na akili zote kwenye kazi. Nora ameliambia Amani kwamba, ameamua kuwa hivyo baada ya kuambulia maumivu mara nyingi katika mapenzi, jambo ambalo limechangia kumdidimiza kisanii.“Sitaki tena kusikia habari za mapenzi, kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani