Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAMISA MABETO AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Mwanamitindo kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto (kushoto) akiwa na mimba kabla ya kujifungua kulia ni mtoto wake wa kike.
Hamisa Mobeto akiwa katika pozi. MWANAMITINDO kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto amejifungua mtoto wa kike hivi karibuni na kuwashangaza wengi kwani mimba hiyo ilikuwa na usiri mkubwa tofauti  na wafanyavyo mastaa wengine. Mtandao huu tunampa hongera… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Zari ajifungua mtoto wa kike

MTOTO WA ZARI
Mama mzazi wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ akiwa amembeba mjukuu weke. Kulia ni Zari
MPENZI wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Zarinah Hassan ‘Zari’ amejifungua mtoto wa kike leo alfajiri saa 10: 40 jijini Dar es Salaam. Mtandao huu umeongea na Meneja wa kimataifa wa Diamond Platinumz, Salam Sharaf ambaye amethibitisha taarifa hizo na kusema Zari bado yupo hospitali mpaka sasa.


Kutokana na usumbufu aliodai unaweza kutokea, Salam hakuweka wazi hospitali...

 

10 years ago

GPL

EXCLUSIVE: ZARI AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mpenzi wake Zarinah Hassan ‘Zari’. MPENZI wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Zarinah Hassan ‘Zari’ amejifungua mtoto wa kike leo alfajiri saa 10: 40 jijini Dar es Salaam. Mtandao huu umeongea na Meneja wa kimataifa wa Diamond Platinumz, Salam Sharaf ambaye amethibitisha taarifa hizo na kusema...

 

10 years ago

Bongo5

Christina Aguilera ajifungua mtoto wa kike

Christina Aguilera na mchumba wake Matt Rutler wamepata mtoto wao wa kwanza kama couple, baada ya mwimbaji huyo kujifungua mtoto wa kike Jumamosi (Agosti 16), US Weekly wamethibitisha. Mshindi huyo wa Grammy mwenye miaka 33 amejifungua kwa njia ya upasuaji katika hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center iliyoko Los Angeles. Huyu ni mtoto wa pili kwa […]

 

10 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Staa wa filamu nchini, Aunt Ezekiel. Imelda Mtema, Dar es Salaam
STAA wa filamu nchini, Aunt Ezekiel amebahatika kupata mtoto wa kike kwa kujifungua salama, jana mchana katika hospitali binafsi iliyopo Mbezi jijini Dar, baada ya kufanyiwa upasuaji. Akizungumza huku akiwa mwenye furaha, Aunt alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa kila jambo kwa kuwa yeye ndiye muweza na aliyefanikisha safari yake hiyo salama, hivyo anamshukuru...

 

11 years ago

GPL

LIL KIM AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Mwanamuziki Lil Kim. MWANAMUZIKI Lil Kim amejifungua mtoto wake wa kwanza ambaye ni wa kike na kumuita jina Royal Reign. Mwanadada huyo mwenye umri wa miaka 39 alijifungua mtoto huyo katika Kituo cha Afya kilichopo Chuo Kikuu cha Hackensack, New Jersey. Kim hajaweka wazi kuhusu baba wa mtoto huyo, japo inadaiwa ni rappa wa New York aitwaye Mr. Papers. ...

 

11 years ago

GPL

HAMISA MABETO: NINA UTAALAM NA NYOKA

Stori: Musa Mateja
MREMBO aliyeng’ara kwenye Shindano la Miss Tanzania mwaka 2011, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amefunguka kuwa, licha ya baadhi ya wasichana wenzake kutokuwa na ujasiri wa kucheza na nyoka, yeye anao. Mrembo aliyeng’ara kwenye Shindano la Miss Tanzania mwaka 2011, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ Akipiga stori na Ijumaa, Mabeto alisema awali alikuwa muoga lakini taratibu alianza...

 

10 years ago

GPL

HAMISA MABETO KAMA KIM, AMBER ROSE

Na Hamida Hassan
Tabia ya mastaa kujipiga picha za nusu utupu wakiwa na mimba haikuwepo Bongo, wamekuwa wakifanya hivyo mastaa wa nje kama vile Kim Kardashian, Amber Rose na wengineo lakini mwanamitindo, Hamisa Mabeto amefanya hivyo kisha kuzitupia picha zake mtandaoni. Hamisa Mabeto. Hamisa alijifungua hivi karibu baada ya kufanikiwa kuificha mimba yake lakini kumbe alijipiga picha hizo za kihasara kisha kuzihifadhi. Hata...

 

10 years ago

GPL

HAMISA MABETO: SIFIKIRII NDOA, NAKULA UJANA

Stori: Mayasa Mariwata
Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amesema kwa sasa hafikirii suala la kuolewa kwani bado anakula ujana. Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu, Hamisa Hassan ‘Mabeto’. Akipiga stori na paparazi wetu, Mabeto alisema bado anajiona mtoto hivyo kuliko kukimbilia maisha ya ndoa bora ale kwanza ujana. “Suala la kuolewa hapa kwangu hata...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rappa mkongwe Lil’ Kim ajifungua mtoto wa kike!

lil_kim_640

Lil’ Kim is officially a proud mother.

The Magic Stick rapper, 39, gave birth to a baby girl — Royal Reign — at 9:58 a.m. Monday, June 9, 2014, at Hackensack University Medical Center in New Jersey, a source confirms to ET.

Weighing in at 6 pounds, 5 ounces, and measuring 19.5 inches long, Royal Reign is Lil’ Kim’s first child.

The baby’s father is reportedly New York-based rapper Mr. Papers, though she has yet to confirm it publicly.

Lil’ Kim announced she was expecting her first child in...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani