Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAMISA MABETO KAMA KIM, AMBER ROSE

Na Hamida Hassan
Tabia ya mastaa kujipiga picha za nusu utupu wakiwa na mimba haikuwepo Bongo, wamekuwa wakifanya hivyo mastaa wa nje kama vile Kim Kardashian, Amber Rose na wengineo lakini mwanamitindo, Hamisa Mabeto amefanya hivyo kisha kuzitupia picha zake mtandaoni. Hamisa Mabeto. Hamisa alijifungua hivi karibu baada ya kufanikiwa kuificha mimba yake lakini kumbe alijipiga picha hizo za kihasara kisha kuzihifadhi. Hata...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ROSE NDAUKA, YA KIM, AMBER HAYAENDANI NA WEWE!

MMOJA kati ya waigizaji ninaowafahamu vizuri mwanzo wao, ni Rose Ndauka, binti mwenye umbo zuri na muigizaji mwenye uwezo wa kubadilika kulingana na sehemu anayotakiwa kuigiza. Nilimfahamu kwa mara ya kwanza miaka nane iliyopita, wakati mmoja wa waigizaji wakongwe nchini, Single Mtambalike ‘Rich’ aliponialika katika uzinduzi wa filamu yake iitwayo Swahiba, uliofanyika katika jengo moja la filamu lililopo mtaa wa...

 

10 years ago

GPL

AMBER ROSE ALIPA KISASI KWA KIM KARDASHIAN

Mwanamitindo, Amber Rose. New York, Marekani
MWANAMITINDO, Amber Rose hivi karibuni amefanya kitendo kilichotafsiriwa kuwa ni kulipa kisasi kwa mwanamitindo mwenzake, Kim Kardashian cha kummiliki x-boyfriend wake, Kanye West baada ya kuonekana usiku wa manane na aliyekuwa mume wa Kim, 6+99 Kris Humphries. Chanzo kinafunguka kuwa tukio hilo lilijiri kwenye ukumbi wa usiku wa Playboy Mashion. “Amber hakufurahishwa na...

 

10 years ago

GPL

HAMISA MABETO AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Mwanamitindo kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto (kushoto) akiwa na mimba kabla ya kujifungua kulia ni mtoto wake wa kike.
Hamisa Mobeto akiwa katika pozi. MWANAMITINDO kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto amejifungua mtoto wa kike hivi karibuni na kuwashangaza wengi kwani mimba hiyo ilikuwa na usiri mkubwa tofauti  na wafanyavyo mastaa wengine. Mtandao huu tunampa hongera… ...

 

11 years ago

GPL

HAMISA MABETO: NINA UTAALAM NA NYOKA

Stori: Musa Mateja
MREMBO aliyeng’ara kwenye Shindano la Miss Tanzania mwaka 2011, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amefunguka kuwa, licha ya baadhi ya wasichana wenzake kutokuwa na ujasiri wa kucheza na nyoka, yeye anao. Mrembo aliyeng’ara kwenye Shindano la Miss Tanzania mwaka 2011, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ Akipiga stori na Ijumaa, Mabeto alisema awali alikuwa muoga lakini taratibu alianza...

 

10 years ago

GPL

HAMISA MABETO: SIFIKIRII NDOA, NAKULA UJANA

Stori: Mayasa Mariwata
Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amesema kwa sasa hafikirii suala la kuolewa kwani bado anakula ujana. Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu, Hamisa Hassan ‘Mabeto’. Akipiga stori na paparazi wetu, Mabeto alisema bado anajiona mtoto hivyo kuliko kukimbilia maisha ya ndoa bora ale kwanza ujana. “Suala la kuolewa hapa kwangu hata...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ni Kweli Wema Anatamani Kufanya Kama Amber Rose? Soma Alichoandika

HAPA NA PALE: Moja kati ya mastori ya makubwa kabisa kwenye ulimwengu wa ‘Gossip ‘  ni kitendo cha mwanadada Amber Rose kuiambia dunia kuwa penzi lake lipo kwa aliekuwa mpenzi wake Wiz Khalifa haijalishi watu watasemaje kwani Wiz ndio mwanaume anaempa furaha na amani ya moyo wake kitu kinachoashilia huenda wawili hao kwasasa mambo shwaari.

“My ManCrushEveryday you know what it is.... We went wrong somewhere and even if we never ever get back together ( Even tho I pray, dream and hope we do)...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ni Kweli Wema Anatamni Kufanya Kama Amber Rose? Soma Alichoandika

HAPA NA PALE: Moja kati ya mastori ya makubwa kabisa kwenye ulimwengu wa ‘Gossip ‘  ni kitendo cha mwanadada Amber Rose kuiambia dunia kuwa penzi lake lipo kwa aliekuwa mpenzi wake Wiz Khalifa haijalishi watu watasemaje kwani Wiz ndio mwanaume anaempa furaha na amani ya moyo wake kitu kinachoashilia huenda wawili hao kwasasa mambo shwaari.

“My ManCrushEveryday you know what it is.... We went wrong somewhere and even if we never ever get back together ( Even tho I pray, dream and hope we do)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani