Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nimekonda sababu nakula mno uroda – Huddah

12145423_1081744378505341_202051685_n

Huddah Monroe ni mwanamke anayetumia muda mwingi kusafiri katika nchi mbalimbali na kula bata.

12145423_1081744378505341_202051685_n

Lakini kingine ambacho anakifanya mara kwa mara ni kula uroda… mara tano, mara sita kwa siku? Jibu analo mwenyewe lakini amekiri kuwa mwili wake umepungua sababu anavunja amri ya sita mara nyingi mno!

Mrembo huyo alipost picha ya kitambo na kuandika:

#TBT! I miss my body like this ! Sema kukonda these past months? Been up and down like an athlete, paper chasin see_no_evil and maybe too much...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KOLETA: NAKULA UJANA, KUOLEWA BADO SANA

Stori: Maria Halimoja Mwanadada kutoka tasnia ya filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ amesema kwamba suala la yeye kuolewa siyo la leo wala kesho na kwamba anakula ujana kwanza. Mwanadada kutoka tasnia ya filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ Akipiga stori na paparazi wetu juzikati, Koleta alisema kwa sasa hafikirii kabisa suala la kuingia kwenye maisha ya ndoa kwa kuwa, kila jambo na muda wake na...

 

10 years ago

GPL

HAMISA MABETO: SIFIKIRII NDOA, NAKULA UJANA

Stori: Mayasa Mariwata
Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amesema kwa sasa hafikirii suala la kuolewa kwani bado anakula ujana. Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu, Hamisa Hassan ‘Mabeto’. Akipiga stori na paparazi wetu, Mabeto alisema bado anajiona mtoto hivyo kuliko kukimbilia maisha ya ndoa bora ale kwanza ujana. “Suala la kuolewa hapa kwangu hata...

 

9 years ago

Bongo5

Lulu akanusha kula uroda na Tekno, atoa maelezo ya kina

10661050_464736387045632_291073524_n

Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya.

10661050_464736387045632_291073524_n

Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram:

Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na Tekno Kwenye show yake Na alikuja kunisalimia kwenye meza Yangu,picha zote zilizopigwa Na yeye au mtu...

 

9 years ago

Bongo5

Mrembo na mtangazaji wa Uganda Flavia Tumusiime asimulia jinsi rapper J-Cole alivyotaka ‘kumla uroda’

Mtangazaji na mrembo wa Uganda, Flavia Tumusiime amesimulia kisa cha rapper wa Marekani, J-Cole aliyetaka kumla uroda. Kupitia Facebook, hivi ndivyo alivyoandika: Umeshawahi kujiuliza iwapo wakati mwingine tabia zetu hutoa dalili tofauti? Mwaka 2012 niliposherehesha Big Brother Africa, niliweza pia kumhoji rapper wa Marekani, J-Cole. Nilikuwa nina hamu sana na mahojiano hayo kwasababu nilikuwa shabiki […]

 

11 years ago

GPL

THEY HAVE GONE TOO SOON! WAMEKWENDA MAPEMA MNO!

RECHO: Hapa ndipo atakapo anza siku yake ya kwanza leo kwenye makazi yake mapya mbinguni. RECHO: KUZALIWA 1988  KUFARIKI: 2014. UMRI: 26YRS…

 

10 years ago

BBCSwahili

Ronaldo huijali mno Sanamu yake .

Cristiano Ronaldo mara zote amekuwa na maamuzi ya kipekee yasiyo pitia kwa mtu wa pili na ana tabia ya kuijipenda mno.

 

11 years ago

Mwananchi

Bajeti yetu imekuwa ya mazoea mno

Zamani siku kama ya leo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu sana kwa kuwa ni siku ambayo wananchi walisikia mengi kuhusu bei za bidhaa na vitu vingine vinavyotoa mwelekeo wa maisha ya kila siku.

 

11 years ago

Dewji Blog

JK: Tunakwamishwa na uzalishaji na matumizi madogo mno ya umeme

o1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Goodluck Jonathan wakati muda mfupi kabla ya kuanza kwa  Mkutano wa Kwanza wa Wakuu wa Nchi za Bara la Afrika uliofanyika jijini Washington DC chini ya uenyekiti wa Rais Barack Obama wa Marekani  Agosti 6, 2014.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa moja ya sababu kubwa zinazokwamisha maendeleo makubwa zaidi na ya haraka zaidi ya Afrika ni uzalishaji mdogo na matumizi ya chini mno ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya kondomu nchini Nigeria ni machache mno

Ni asilimia 34 tu ya Wanigeria watu wazima wanotumia mipira ya kondomu wanapojihusisha na ngono utafiti umesema

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani