Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


THEY HAVE GONE TOO SOON! WAMEKWENDA MAPEMA MNO!

RECHO: Hapa ndipo atakapo anza siku yake ya kwanza leo kwenye makazi yake mapya mbinguni. RECHO: KUZALIWA 1988  KUFARIKI: 2014. UMRI: 26YRS…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je unajua ugonjwa wa corona huenda ulianza mapema mno?

Kuanza kufurika kwa watu hospitalini huenda kunaashiria kwamba corona ilianza mapema mno, utafiti unaonesha

 

9 years ago

Global Publishers

Tumbua ya Magufuli hawa wamekwenda

Magufuli3 (1)Na WAANDISHI Wetu, UWAZI
DAR ES SALAAM: Kazi imeshika kasi! Mpango wa Rais Dk. John Magufuli kutumbua majipu, umesababisha kung’olewa kwa vigogo 34 ambao ni watumishi wa umma huku Usalama wa Taifa wakitajwa kuzizingira nyumba za vigogo hao, Uwazi linakupa zaidi.

Kwenye Mtaa wa Kondo, Bahari Beach, Kata ya Kunduchi, Wilaya ya Kinondoni, Dar, taarifa zinasema siku chache baada ya Rais John Magufuli kutangaza zoezi la kutumbua majipu, maofisa hao walifika katika nyumba hizo na kuzifanyia upekuzi...

 

11 years ago

Mwananchi

FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema

Mimba kwa wasichana wadogo ni miongoni mwa sababu zinazowakatisha masomo wasichana wengi hapa Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Bajeti yetu imekuwa ya mazoea mno

Zamani siku kama ya leo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu sana kwa kuwa ni siku ambayo wananchi walisikia mengi kuhusu bei za bidhaa na vitu vingine vinavyotoa mwelekeo wa maisha ya kila siku.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ronaldo huijali mno Sanamu yake .

Cristiano Ronaldo mara zote amekuwa na maamuzi ya kipekee yasiyo pitia kwa mtu wa pili na ana tabia ya kuijipenda mno.

 

11 years ago

Dewji Blog

JK: Tunakwamishwa na uzalishaji na matumizi madogo mno ya umeme

o1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Goodluck Jonathan wakati muda mfupi kabla ya kuanza kwa  Mkutano wa Kwanza wa Wakuu wa Nchi za Bara la Afrika uliofanyika jijini Washington DC chini ya uenyekiti wa Rais Barack Obama wa Marekani  Agosti 6, 2014.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa moja ya sababu kubwa zinazokwamisha maendeleo makubwa zaidi na ya haraka zaidi ya Afrika ni uzalishaji mdogo na matumizi ya chini mno ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya kondomu nchini Nigeria ni machache mno

Ni asilimia 34 tu ya Wanigeria watu wazima wanotumia mipira ya kondomu wanapojihusisha na ngono utafiti umesema

 

9 years ago

Bongo5

Nimekonda sababu nakula mno uroda – Huddah

12145423_1081744378505341_202051685_n

Huddah Monroe ni mwanamke anayetumia muda mwingi kusafiri katika nchi mbalimbali na kula bata.

12145423_1081744378505341_202051685_n

Lakini kingine ambacho anakifanya mara kwa mara ni kula uroda… mara tano, mara sita kwa siku? Jibu analo mwenyewe lakini amekiri kuwa mwili wake umepungua sababu anavunja amri ya sita mara nyingi mno!

Mrembo huyo alipost picha ya kitambo na kuandika:

#TBT! I miss my body like this ! Sema kukonda these past months? Been up and down like an athlete, paper chasin see_no_evil and maybe too much...

 

11 years ago

Mwananchi

Ni vigumu mno kumpata mgombea safi ndani ya CCM

Wakati muhula wa mwisho wa Rais Jakaya Kikwete ukiendelea kuyoyoma, tayari baadhi ya makada wa CCM wameshaanza kupasha misuli ya kumrithi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani