Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Tunakwamishwa na uzalishaji na matumizi madogo mno ya umeme

o1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Goodluck Jonathan wakati muda mfupi kabla ya kuanza kwa  Mkutano wa Kwanza wa Wakuu wa Nchi za Bara la Afrika uliofanyika jijini Washington DC chini ya uenyekiti wa Rais Barack Obama wa Marekani  Agosti 6, 2014.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa moja ya sababu kubwa zinazokwamisha maendeleo makubwa zaidi na ya haraka zaidi ya Afrika ni uzalishaji mdogo na matumizi ya chini mno ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya kondomu nchini Nigeria ni machache mno

Ni asilimia 34 tu ya Wanigeria watu wazima wanotumia mipira ya kondomu wanapojihusisha na ngono utafiti umesema

 

11 years ago

Mwananchi

Vyura wapunguza uzalishaji umeme wa Tanesco

Shirika la Umeme (Tanesco), limepunguza kiwango cha uzalishaji wa umeme katika bonde la mto Kihansi, lililopo Kilombero mkoani Morogoro ili kuacha akiba ya maji kwa ajili ya ukuzaji na utunzaji wa vyura wanaopatikana katika eneo hilo ambao wapo hatarini kutoweka ulimwenguni.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mabadiliko ya tabianchi kuathiri uzalishaji umeme


Na Greyson Mwase, Morogoro
MABADILIKO ya tabianchi yanachangia kwa kiwango kikubwa kupungua kwa uzalishaji wa umeme unaotokana na vyanzo vya maji, hivyo kukwamisha ukuaji wa uchumi wa nchi, imeelezwa.
Hayo yalisemwa  jana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava, alipofungua mafunzo  yanayowakutanisha wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya Makamu wa Rais– Mazingira na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yanayoendelea mjini Morogoro.
Mhandisi Mwihava...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampuni yatoa mitambo kuongeza uzalishaji umeme

KAMPUNI ya GE Power & Water Distributed Power, imetoa vifaa viwili na mitambo minne itakayosaidia kuongeza kiwango cha uzalishaji wa umeme kwa asilimia 15 kwa Kampuni ya Jacobsen Elektro AS,...

 

9 years ago

Mwananchi

Tanesco: Uzalishaji wa umeme umeshuka kwa asilimia 81

Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) limesema kuwa mgao wa umeme unaoendelea nchini umesababishwa na kushuka kwa uzalishaji wa umeme katika mabwawa ya maji kwa asilimia 81.3.

 

9 years ago

Michuzi

TGDC NA MKAKATI WA UZALISHAJI WA UMEME KUPITIA JOTOARDHI

 Meneja Mkuu Shirika la Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mhandisi Boniface Njombe (kushoto) pamoja na Mtaalamu Mkuu toka Kampuni ya TOSHIBA Bwana Kentaro Kurahara wakiweka saini Mkataba wa wa Maelewano (MOU) wa kufanya tafiti kwa pamoja zinahusu maeneo yenye viashiria ya upatikanaji wa nishati ya jotoardhi katika Ofisi za TGDC zilizopo Jijini Dar es Salaam. Meneja Mkuu Shirika la Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mhandisi Boniface Njombe (kushoto)...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanesco wajivunia uzalishaji wa umeme kwa maji

Likiwa linatimiza miaka 50 tangu kuanzishwa kwake, Shirika la Umeme (Tanesco), limesema kuwa uzalishaji wa umeme kwa njia ya maji (hydroelectric), ndiyo wa kutegemewa kuliko njia nyingine.

 

10 years ago

Michuzi

Matumizi ya simu za mkononi kuongeza uzalishaji na mapato ya wakulima 30,000 nchini

Maelfu ya wakulima wadogo nchini wataanza kunufaika na maisha yao kuwa murua kutokana na ubunifu wa matumizi ya Teknolojia,habari na Mawasiliano ambao umelenga kuwakwamua kiuchumi,ushirikiano wa  taasisi zenye lengo la kuwakomboa wakulima kupitia teknolojia umezinduliwa leo nchini.
Wakulima wadogo wa Tanzania watanufaika kiteknolojia kupitia huduma inayojulikana kama Kilimo Club.Kwa huduma hii wataweza kutumia huduma ya M-Pesa kutuma na kupokea fedha ikiwemo kufanya malipo wakati huo huo...

 

10 years ago

GPL

MATUMIZI YA SIMU ZA MKONONI KUONGEZA UZALISHAJI NA MAPATO YA WAKULIMA 30,000 NCHINI‏

Mkuu wa  kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa (kulia) akiongea katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani)wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya”Kilimo klabu”inayolenga kuwawezesha wakulima wadogowadogo zaidi ya 30,000 nchini (kushoto) ni Meneja Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo Matina Nkurlu. Jinsi ya kupata huduma hii piga nyota *149*01# chagua cheka vuna.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani