Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabadiliko ya tabianchi kuathiri uzalishaji umeme


Na Greyson Mwase, Morogoro
MABADILIKO ya tabianchi yanachangia kwa kiwango kikubwa kupungua kwa uzalishaji wa umeme unaotokana na vyanzo vya maji, hivyo kukwamisha ukuaji wa uchumi wa nchi, imeelezwa.
Hayo yalisemwa  jana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava, alipofungua mafunzo  yanayowakutanisha wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya Makamu wa Rais– Mazingira na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yanayoendelea mjini Morogoro.
Mhandisi Mwihava...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mabadiliko ya tabianchi kuathiri umeme

MABADILIKO ya tabianchi yametajwa kuchangia kwa kiwango kikubwa kupungua kwa uzalishaji wa umeme unaotokana na vyanzo vya maji, hivyo kukwamisha ukuaji wa uchumi wa nchi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu...

 

11 years ago

Habarileo

Mfuko wa mabadiliko ya tabianchi kuanzishwa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inatarajia kuanzisha Mfuko wa Fedha kwa ajili ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, ambayo miongoni mwa athari zake ni uharibifu wa mazingira.

 

10 years ago

Mwananchi

Nishati jadidifu ni dawa ya mabadiliko tabianchi

Leo Tanzania inaanza kuadhimisha Siku ya Nishati Jadidifu kitaifa ikiwa ni moja ya njia za kuhamasisha matumizi ya nishati hiyo muhimu kwa sasa ulimwenguni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tovuti mabadiliko tabianchi yazinduliwa Dar

KATIKA kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), imezindua tovuti maalumu ili kuweza kupambana na hali hiyo duniani. Akizungumza katika uzinduzi huo jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Ukosefu mipango huchangia mabadiliko tabianchi’

MKURUGENZI wa Shirika la Maendeleo la Mazombe Mahenge (MMADEA), Raphael Mtitu, amebainisha kuwa ukosefu wa mipango ya matumizi bora ya ardhi ya vijiji ni kikwazo katika utekelezaji wa shughuli za...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nchi zatakiwa kukabili mabadiliko tabianchi

NCHI zinazoendelea zimetakiwa kuongeza rasilimali fedha za hali ya hewa tofauti na fedha za Msaada wa Maendeleo rasmi ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Hayo yalisemwa na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mtandao wa Facebook wapambana na Mabadiliko ya Tabianchi Duniani

DSC_4532

Mwandishi wa habari kutoka, Kigali nchini Rwanda, Michel Nkurunziza ambaye yupo katika mkutano mkuu wa 21 wa Dunia wa Mabadiliko ya tabianchi (COP 21) uonaenddelea katika jiji la Paris, Ufaransa akiwa katika banda maalum la mtandao wa Facebook mapema leo Desemba 11.2015. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[Paris] Mtandao wa kijamii wa Facebook wenye wanachama hai “Active” zaidi ya Bilioni 1.55 Duniani kote, umejitolea kupambana na Mabadiliko ya tabianchi...

 

11 years ago

Michuzi

MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA UJERUMANI

Baadhi ya washiriki watumishi kutoka katika serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Toka kushoto Bw. Fred manyika,  Bi. Emelda Adam na Bw. Abdul Mhinte wakifuatilia mkutano wa kundi la Africa katika mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendela mjini Bonn, Ujerumani. Picha na Evelyn Mkokoi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabadiliko ya tabianchi yaathiri vyanzo vya maji

UJUMBE wa mwaka huu wa kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani ni: “Chukua hatua kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.” Maadhimisho hayo yanayofanyika Juni 5 ya kila mwaka, kitaifa hapa nchini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani