Nishati jadidifu ni dawa ya mabadiliko tabianchi
Leo Tanzania inaanza kuadhimisha Siku ya Nishati Jadidifu kitaifa ikiwa ni moja ya njia za kuhamasisha matumizi ya nishati hiyo muhimu kwa sasa ulimwenguni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fhkr5VpbCUg/VAW71yV_D4I/AAAAAAAGbbs/NwDjDszAE58/s72-c/unnamed.jpg)
WWF YATOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA IDARA ZA HALMASHAURI YA MANSIPAA YA KINONDONI KMC JUU YA KUKABILIANA NA UENEAJI WA HEWA UKAA NA NISHATI JADIDIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fhkr5VpbCUg/VAW71yV_D4I/AAAAAAAGbbs/NwDjDszAE58/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_xB2NauOkQ/VAW758pLqFI/AAAAAAAGbb0/ntdu4_SxCXQ/s1600/unnamed.jpgn.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Mabadiliko ya tabianchi kuathiri umeme
MABADILIKO ya tabianchi yametajwa kuchangia kwa kiwango kikubwa kupungua kwa uzalishaji wa umeme unaotokana na vyanzo vya maji, hivyo kukwamisha ukuaji wa uchumi wa nchi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu...
11 years ago
Habarileo21 May
Mfuko wa mabadiliko ya tabianchi kuanzishwa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inatarajia kuanzisha Mfuko wa Fedha kwa ajili ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, ambayo miongoni mwa athari zake ni uharibifu wa mazingira.
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jul
Mabadiliko ya tabianchi kuathiri uzalishaji umeme
Na Greyson Mwase, Morogoro
MABADILIKO ya tabianchi yanachangia kwa kiwango kikubwa kupungua kwa uzalishaji wa umeme unaotokana na vyanzo vya maji, hivyo kukwamisha ukuaji wa uchumi wa nchi, imeelezwa.
Hayo yalisemwa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava, alipofungua mafunzo yanayowakutanisha wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya Makamu wa Rais– Mazingira na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yanayoendelea mjini Morogoro.
Mhandisi Mwihava...
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Tovuti mabadiliko tabianchi yazinduliwa Dar
KATIKA kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), imezindua tovuti maalumu ili kuweza kupambana na hali hiyo duniani. Akizungumza katika uzinduzi huo jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Nchi zatakiwa kukabili mabadiliko tabianchi
NCHI zinazoendelea zimetakiwa kuongeza rasilimali fedha za hali ya hewa tofauti na fedha za Msaada wa Maendeleo rasmi ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Hayo yalisemwa na...
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
‘Ukosefu mipango huchangia mabadiliko tabianchi’
MKURUGENZI wa Shirika la Maendeleo la Mazombe Mahenge (MMADEA), Raphael Mtitu, amebainisha kuwa ukosefu wa mipango ya matumizi bora ya ardhi ya vijiji ni kikwazo katika utekelezaji wa shughuli za...
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
‘Mabadiliko tabianchi chanzo migogoro wafugaji, wakulima’
MIGOGORO mingi ya wakulima na wafugaji hapa nchini imeelezwa kuchangiwa na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam hivi karibuni na Jaji wa Mahakama Kuu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NbhR4nNS1WI/U5pYUh2RFHI/AAAAAAAFqOs/oOjcmUtLeQI/s72-c/unnamed+(58).jpg)
MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA UJERUMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-NbhR4nNS1WI/U5pYUh2RFHI/AAAAAAAFqOs/oOjcmUtLeQI/s1600/unnamed+(58).jpg)