Mrembo na mtangazaji wa Uganda Flavia Tumusiime asimulia jinsi rapper J-Cole alivyotaka ‘kumla uroda’
Mtangazaji na mrembo wa Uganda, Flavia Tumusiime amesimulia kisa cha rapper wa Marekani, J-Cole aliyetaka kumla uroda. Kupitia Facebook, hivi ndivyo alivyoandika: Umeshawahi kujiuliza iwapo wakati mwingine tabia zetu hutoa dalili tofauti? Mwaka 2012 niliposherehesha Big Brother Africa, niliweza pia kumhoji rapper wa Marekani, J-Cole. Nilikuwa nina hamu sana na mahojiano hayo kwasababu nilikuwa shabiki […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Bongo514 Feb
Rapper J. Cole awa Baba
Rapper J.Cole na mkewe Melissa Heholt wamepata mtoto wao wa kwanza tangu kufunga ndoa mwaka 2016.
J. Cole ameyathibitisha haya kwenye mahojiano aliyoyafanya kwenye jarida la ‘The New York Times’la nchini Marekani ambaloi limeandika, ” J.Cole amepata mtoto na mke wake Melissa Heholt. Huyu ni mtoto wa kwanza kwa J Cole na mke wake, ila amesita kutoa jina na jinsia ya mtoto huyo.”
Hivi karibuni Cole atatoa makala yake kupitia HBO itakayoitwa ‘J. Cole: 4 Your Eyez Only’.
Tetesi zinaonyesha...
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Mwanamume mweye jinsi mbili asimulia maisha yake
10 years ago
Bongo506 Jan
Wakazi asimulia jinsi Ice Prince alivyompa ‘Nyota Tano’
9 years ago
Bongo528 Sep
Video: Avril asimulia kwa mara ya kwanza jinsi alivyoanguka kwenye swimming pool wakati akitumbuiza Dar
9 years ago
Bongo522 Sep
Black Rhino asimulia jinsi collabo ya Chagua Moja ya Fid Q, Langa na Adili ilivyowaweka kwenye ushindani wa kutaka kufunikana
9 years ago
Bongo516 Oct
Rapper wa S.A Cassper Nyovest amshirikisha rapper wa U.S.A The Game kwenye album yake mpya, ‘Refiloe’
9 years ago
Bongo515 Dec
Nimekonda sababu nakula mno uroda – Huddah
![12145423_1081744378505341_202051685_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12145423_1081744378505341_202051685_n-300x194.jpg)
Huddah Monroe ni mwanamke anayetumia muda mwingi kusafiri katika nchi mbalimbali na kula bata.
Lakini kingine ambacho anakifanya mara kwa mara ni kula uroda… mara tano, mara sita kwa siku? Jibu analo mwenyewe lakini amekiri kuwa mwili wake umepungua sababu anavunja amri ya sita mara nyingi mno!
Mrembo huyo alipost picha ya kitambo na kuandika:
#TBT! I miss my body like this ! Sema kukonda these past months? Been up and down like an athlete, paper chasin see_no_evil and maybe too much...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MAocISyxqjs/VFCjGLxupbI/AAAAAAAGt-8/NwJ5d7-JOoQ/s72-c/IMG-20141029-WA0003.jpg)
Yale yaleee....: Wakati Tanzania tunalia kwa udanganyifu wa umri wa Miss Tanzania,Wenzetu Uganda wanalia kwa Sura mbaya wa Mrembo wao
![](http://3.bp.blogspot.com/-MAocISyxqjs/VFCjGLxupbI/AAAAAAAGt-8/NwJ5d7-JOoQ/s1600/IMG-20141029-WA0003.jpg)
9 years ago
Bongo505 Jan
Lulu akanusha kula uroda na Tekno, atoa maelezo ya kina
![10661050_464736387045632_291073524_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/10661050_464736387045632_291073524_n-300x194.jpg)
Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya.
Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram:
Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na Tekno Kwenye show yake Na alikuja kunisalimia kwenye meza Yangu,picha zote zilizopigwa Na yeye au mtu...