Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rapper J. Cole awa Baba

Rapper J.Cole na mkewe Melissa Heholt wamepata mtoto wao wa kwanza tangu kufunga ndoa mwaka 2016.

J. Cole ameyathibitisha haya kwenye mahojiano aliyoyafanya kwenye jarida la ‘The New York Times’la nchini Marekani ambaloi limeandika, ” J.Cole amepata mtoto na mke wake Melissa Heholt. Huyu ni mtoto wa kwanza kwa J Cole na mke wake, ila amesita kutoa jina na jinsia ya mtoto huyo.”

Hivi karibuni Cole atatoa makala yake kupitia HBO itakayoitwa ‘J. Cole: 4 Your Eyez Only’.

Tetesi zinaonyesha...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mrembo na mtangazaji wa Uganda Flavia Tumusiime asimulia jinsi rapper J-Cole alivyotaka ‘kumla uroda’

Mtangazaji na mrembo wa Uganda, Flavia Tumusiime amesimulia kisa cha rapper wa Marekani, J-Cole aliyetaka kumla uroda. Kupitia Facebook, hivi ndivyo alivyoandika: Umeshawahi kujiuliza iwapo wakati mwingine tabia zetu hutoa dalili tofauti? Mwaka 2012 niliposherehesha Big Brother Africa, niliweza pia kumhoji rapper wa Marekani, J-Cole. Nilikuwa nina hamu sana na mahojiano hayo kwasababu nilikuwa shabiki […]

 

9 years ago

Bongo5

Rapper Songa afiwa na baba yake

Rapper Songa amefiwa na baba yake mzazi. Songa ametoa taarifa hiyo ya msiba kupitia Twitter. Nimepata taarifa za kusikitisha sana Leo mchana.Baba yangu mzazi amefariki,Naomba Mungu amlaze pema,shukrani wote mnaondelea kunipa pole. — SONGA (@NiiteSonga) October 26, 2015 Tunampa pole Songa kwa msiba huo. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi awa baba kufuatia ajali

Afisa mmoja wa polisi nchini Marekani alilazimika kuwa mzazi baada ya kumpata mtoto akiwa hai kufuatia ajali mbaya iliyosababisha kifo cha babake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyepandikiza mbegu kwa mkewe awa Baba

Uhusiano mpya wa kidiplomasia kati ya Marekani na Cuba umezaa matunda mema kwa Gerardo Hernandez

 

9 years ago

Global Publishers

Mtoto wa H-Baba awa balozi wa duka la EBM

h-baba (1)

H-Baba akimsaidia kukata keki ya sherehe mwanaye Tanzanite.

h-baba (2)

Tanzanite akimlisha keki baba yake H-Baba huku mama yake mzazi akishuhudia kwa karibu tukio hilo.

h-baba (3)

Muigizaji wa filamu Davina akilishwa keki na Tanzanite.

h-baba (4)

Mmiliki wa duka lililomteua Tanzanite kuwa balozi wake, Ernest Makulilo, akilishwa keki hiyo.

h-baba (5)

Mdhamini wa shughuli hiyo ambaye ni Mkurugenzi wa The Fadhagate Sanitarium Clinic Child akilishwa keki.

h-baba (6)

Davina akiwakabidhi tuzo ya Wanandoa Bora H-Baba na mkewe Flora Mvungi.

h-baba (7)

 

9 years ago

Bongo5

Rapper wa S.A Cassper Nyovest amshirikisha rapper wa U.S.A The Game kwenye album yake mpya, ‘Refiloe’

Rapper wa Afrika Kusini ametoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Refiloe’ anayotarajia kuitoa hivi karibuni, na miongoni mwa nyimbo 14 zinazoikamilisha album hiyo imo collabo na rapper wa Marekani, The Game. Wimbo namba 14 kwenye album hiyo ya pili ya Cassper uitwao ‘Cooking in da Kitchen’ ndio aliomshirikisha The Game. Cassper ametoa […]

 

9 years ago

Global Publishers

Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-10

ILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA:
“Eti anakuuliza wewe nani?” aliuliza yule abiria akiwa ameinama kidogo ili amuone vizuri yule abiria…

“Anasema anaitwa baba Pili,” yule abiria alimwambia mama Pilima.
Mama Pilima akatembea kwa kasi hadi mlangoni mwa gari…
“Mzima baba Pili?”
“Mzima, twende nikupe lifti.”
SHUKA NAYO MWENYEWE SASA…

Mama Pilima alijikuta akizama ndani ya gari hilo huku akisema…
“Kwani we unakwenda wapi?”
“Mbelembele kule…wewe unakwenda wapi?” alisema baba Pili…
“Nakwenda mahali mara...

 

9 years ago

Global Publishers

Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-6

ILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA:
“Yes! Hakuna mtu anayepita eneo hili muda huu,” alisema mama Pilima hali iliyomfanya baba Pili aamini kwamba huenda wanakwenda kutimiza ndoto yake…
“Egemea kiti,” alisema mama Pilima…
JIRUSHE MWENYEWE…

Baba Pili aliegemea kiti kwa haraka sana, akatumbua macho kusubiri hatua nyingine akiamini ataambiwa au ataelekezwa…

“Mmm! Baba Pili acha mi niende bwana. Muda umekwenda kwelikweli, si ajabu nyumbani wameanza kuingiwa na wasiwasi,” alisema mama Pilima akiwa tayari...

 

9 years ago

Global Publishers

Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-5

ILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA WIKIENDA:

“Sasa niwe nyumba ndogo yako baba Pili si utakuwa unapata shida? Mimi najua nyumba ndogo lazima iwe free…ukitaka kwenda unakwenda muda wowote ule.”
“Hapana si lazima…unaweza kuwa mke wa mtu halafu bado ukawa nyumba ndogo yangu,” alifafanua baba Pili akionekana yuko siriasi kabisa na maneno yake…
JIACHIE MWENYEWE…

“Mh! Mimi nadhani au napendekeza tuendelee kuwa kama hivi…marafiki wakubwa lakini wa siri…mume wangu baba Pilima asijue wala mke wako mama Pili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani