Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi awa baba kufuatia ajali

Afisa mmoja wa polisi nchini Marekani alilazimika kuwa mzazi baada ya kumpata mtoto akiwa hai kufuatia ajali mbaya iliyosababisha kifo cha babake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Bongo5

Rapper J. Cole awa Baba

Rapper J.Cole na mkewe Melissa Heholt wamepata mtoto wao wa kwanza tangu kufunga ndoa mwaka 2016.

J. Cole ameyathibitisha haya kwenye mahojiano aliyoyafanya kwenye jarida la ‘The New York Times’la nchini Marekani ambaloi limeandika, ” J.Cole amepata mtoto na mke wake Melissa Heholt. Huyu ni mtoto wa kwanza kwa J Cole na mke wake, ila amesita kutoa jina na jinsia ya mtoto huyo.”

Hivi karibuni Cole atatoa makala yake kupitia HBO itakayoitwa ‘J. Cole: 4 Your Eyez Only’.

Tetesi zinaonyesha...

 

9 years ago

Global Publishers

Mtoto wa H-Baba awa balozi wa duka la EBM

h-baba (1)

H-Baba akimsaidia kukata keki ya sherehe mwanaye Tanzanite.

h-baba (2)

Tanzanite akimlisha keki baba yake H-Baba huku mama yake mzazi akishuhudia kwa karibu tukio hilo.

h-baba (3)

Muigizaji wa filamu Davina akilishwa keki na Tanzanite.

h-baba (4)

Mmiliki wa duka lililomteua Tanzanite kuwa balozi wake, Ernest Makulilo, akilishwa keki hiyo.

h-baba (5)

Mdhamini wa shughuli hiyo ambaye ni Mkurugenzi wa The Fadhagate Sanitarium Clinic Child akilishwa keki.

h-baba (6)

Davina akiwakabidhi tuzo ya Wanandoa Bora H-Baba na mkewe Flora Mvungi.

h-baba (7)

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyepandikiza mbegu kwa mkewe awa Baba

Uhusiano mpya wa kidiplomasia kati ya Marekani na Cuba umezaa matunda mema kwa Gerardo Hernandez

 

11 years ago

Michuzi

NAPE NNAUYE AMVAA TUNDULISU KUFUATIA KUMKASHIFU BABA WA TAIFA

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Maji Moto kwenye uwanja wa kijiji hicho mapema jana jioni,Wilayani Mlele mkoani Katavi.

 

10 years ago

Michuzi

TFF YATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA BABA WA JERRY MURO

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetuma salam za rambi rambi kwa familia ya Muro, kufutia kifo cha Mzee Cornel Muro kilichotokea mwishoni mwa wiki jijini Dar s salaam na mazishi kufanyika Machame mkoani Kilimanjaro.
Katika salamu zake za rambirambi kwa familia ya marehemu Muro, TFF imewapa pole wafiwa, ndugu jamaa na marafiki na kusema wako pamoja katika kipindi hiki cha maombelezo na kuomba mwenyezi Mungu awajilie nguzu wafiwa
Marehemu Cornel Muro ni baba mzazi wa Afisa Habari wa...

 

10 years ago

Michuzi

SALAAMA ZA RAMBIRAMBI TOKA JUMUIYA YA WATANZANIA ITALI KUFUATIA AJALI YA MUSOMA

TUNAUNGANA NA WATANZANIA WOTE KATIKA KUOMBOLEZA MSIBA MKUBWA WA TAIFA
"Jana September 5 2014 kwenye eneo la Sabasaba Mjini Musoma ilitokea ajali mbaya sana ya mabasi mawili yakiwa na abiria na kulihusisha gari jingine dogo ambapo majeruhi ni zaidi ya 70 na waliofariki ni 39 Wanawake kwa Wanaume kwa mujibu wa taarifa mpya za vifo zilizotoka."
JUMUIYA YA WATANZANIA ITALIA IMEPOKEA TAARIFA ZA AJALI KWA MASIKITIKO  NA MSHITUKO MKUBWA SANA.
TUNAWAPA POLE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WOTE WALIOPOTEZA...

 

10 years ago

Michuzi

watu wili wadaiwa kupoteza maisha kufuatia ajali ya basi la Ruksa

Basi la Ruksa aina ya Scania lenye namba za usajili  T 273 ACX llililokuwa likitokea mkoani Kigoma kwenda wilayani Kahama mkoani Shinyang'a likiwa limepata ajali katika kijiji cha Kanyonza wilayani Kakonko,mkoani Kigoma ambapo watu Wawili walipoteza maisha papo hapo na wengine 65 kujeruhiwa katika Ajali hiyo ya Septemba 08,2014,majira ya saa Sita mchanaPichani juu na chini ni Jeshi la polisi wilaya ya Kakonko lilifika eneo hilo na kuwachukuwa waliojeruhiwa  na kuwapeleka katika hospitali ya...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Mmoja apoteza maisha kufuatia ajali ya gari huko Lindi

ABIRIA mmoja kati ya 28 amekufa papo hapo na wengine kulazwa Hospitali ya mkoa wa Lindi, Sokine,kufuatia basi la kampuni ya CHALA Express walilokuwa wakisafiria kutoka Jijini Dar es salaam kwenda wilaya ya Newala mkoani Mtwara, kukwaruzana na Lori.
Abiria aliyepoteza maisha katika ajali hiyo anaitwa Amina Omari Makodora (48) mkazi wa kijiji cha Kilindoni,wilaya ya Mafia,mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa abiria wengine walionusulika kwenye ajali hiyo,wameiambia Globu ya Jamii kuwa ajali hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

WANUSURIKA KUFA KUFUATIA AJALI YA GARI KIJIJI CHA MWIDU MKOANI MOROGORO

 Camera ya GLOBU ya jamii ikiwa njiani kutoka Morogoro kuelekea jijini Dar,njia ilikutana ajali hii iliyotokea mapema jana kati ya gari ndogo aina ya NOAH ambayo namba zake za usajili hazikufahamika mara moja kufuatia kuharibika vibaya kutokana na ajali hiyo ya kugongwa kwa nyuma na basi la STAMILI kama lionekanavyo pichani lenye namba za usajili T43CJN lililokuwa likitokea Morogoro kuelekea jijini Arusha,Katika gari ya NOAH hakukuwemo na abiria zaidi ya dereva,ambaye alitoka mzima kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani