Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyepandikiza mbegu kwa mkewe awa Baba

Uhusiano mpya wa kidiplomasia kati ya Marekani na Cuba umezaa matunda mema kwa Gerardo Hernandez

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WIZARA YA KILIMO YAWAPONGEZA WATAFITI WA MBEGU ZA MICHIKICHI KWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MBEGU BORA

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyeshika miche ) akikagua kitalu cha miche ya michikichi inayozalishwa na Gereza Kwitanga kwa ushirikiano na TARI Kihinga.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi uliozalishwa na Kituo cha utafiti TARI Kihinga mkoa wa Kigoma leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya akikagua kitalu cha miche bora ya zao la michikichi katika Gereza Kwitanga mkoa wa Kigoma leo alipotembelea kuona utekelezaji wa...

 

5 years ago

Bongo5

Rapper J. Cole awa Baba

Rapper J.Cole na mkewe Melissa Heholt wamepata mtoto wao wa kwanza tangu kufunga ndoa mwaka 2016.

J. Cole ameyathibitisha haya kwenye mahojiano aliyoyafanya kwenye jarida la ‘The New York Times’la nchini Marekani ambaloi limeandika, ” J.Cole amepata mtoto na mke wake Melissa Heholt. Huyu ni mtoto wa kwanza kwa J Cole na mke wake, ila amesita kutoa jina na jinsia ya mtoto huyo.”

Hivi karibuni Cole atatoa makala yake kupitia HBO itakayoitwa ‘J. Cole: 4 Your Eyez Only’.

Tetesi zinaonyesha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi awa baba kufuatia ajali

Afisa mmoja wa polisi nchini Marekani alilazimika kuwa mzazi baada ya kumpata mtoto akiwa hai kufuatia ajali mbaya iliyosababisha kifo cha babake.

 

9 years ago

Global Publishers

Mtoto wa H-Baba awa balozi wa duka la EBM

h-baba (1)

H-Baba akimsaidia kukata keki ya sherehe mwanaye Tanzanite.

h-baba (2)

Tanzanite akimlisha keki baba yake H-Baba huku mama yake mzazi akishuhudia kwa karibu tukio hilo.

h-baba (3)

Muigizaji wa filamu Davina akilishwa keki na Tanzanite.

h-baba (4)

Mmiliki wa duka lililomteua Tanzanite kuwa balozi wake, Ernest Makulilo, akilishwa keki hiyo.

h-baba (5)

Mdhamini wa shughuli hiyo ambaye ni Mkurugenzi wa The Fadhagate Sanitarium Clinic Child akilishwa keki.

h-baba (6)

Davina akiwakabidhi tuzo ya Wanandoa Bora H-Baba na mkewe Flora Mvungi.

h-baba (7)

 

10 years ago

GPL

CHAZ BABA NUSURA AMUUE MKEWE!

Stori: Shakoor Jongo
PREZIDAA wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel Mbwana ‘Chaz Baba’ anadaiwa nusura amtoe roho mkewe wa ndoa, Rehema Sospeter Marwa baada ya kumpiga  na kitu kizito kichwani mpaka kushonwa nyuzi ishirini. Mke wa ndoa wa 'Chaz Baba', Rehema Sospeter Marwa akiwa na majereha kichani. MANENO YA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini ambacho kipo karibu na wanafamilia hao (jina...

 

11 years ago

GPL

H-BABA, MKEWE FLORA MVUNGI NDANI YA GLOBAL TV ONLINE

STAA wa Bongo Fleva, Hamis Ramadhan a.k.a H. Baba na mkewe Flora Mvungi muda huu wapo ndani ya GLOBAL TV ONLINE. JE, WEWE MSOMAJI WETU UNGEPENDA WAJIBU MASWALI YAPI?

 

10 years ago

Bongo5

Picha: H.Baba na mkewe Flora Mvungi wapeana tuzo, sherehe zafana

Msanii wa muziki H.Baba akishirikiana na mke wake Flora Mvungi Jumamosi ndani ya Giraffe Ocean View Hotel wamefunga ukame wa tuzo kwa kupeana wenyewe kwa wenyewe baada ya kuona kila mmoja kati yao ana mchango kwenye muziki na filamu. Rais wa shirikisho la wasanii Ado Novemba akimkabidhi tuzo ya msanii bora wa kutumbuiza H.Baba Tuzo […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Athari za dawa ya meno kwa mbegu za uzazi

Wanasayansi wanasema kemikali zinazopatikana katika dawa ya kusugua meno na sabuni zinaweza kuharibu mbegu za uzazi za wanaume.

 

10 years ago

Bongo5

Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!

Rapper wa Marekani, Earl Hayes amemuua mke wake Stephanie Moseley aliyekuwa staa kwenye kipindi cha “Hit the Floor” cha VH1 kwa risasi na yeye kujiua kutokana na wivu wa mapenzi. Stephanie Moseley Hayes alikuwa ameumizwa na uhusiano wa kimapenzi aliokuwa nao mke wake na Trey Songz. Stephanie Moseley aliuawa nyumbani kwao na mume wake huyo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani