Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHAZ BABA NUSURA AMUUE MKEWE!

Stori: Shakoor Jongo
PREZIDAA wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel Mbwana ‘Chaz Baba’ anadaiwa nusura amtoe roho mkewe wa ndoa, Rehema Sospeter Marwa baada ya kumpiga  na kitu kizito kichwani mpaka kushonwa nyuzi ishirini. Mke wa ndoa wa 'Chaz Baba', Rehema Sospeter Marwa akiwa na majereha kichani. MANENO YA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini ambacho kipo karibu na wanafamilia hao (jina...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DEREVA WA BODABODA NUSURA AMUUE MREMBO

Stori: Richard Bukos
DEREVA wa bodaboda aliyefahamika kwa jina moja la Fikiri, nusura amuue mrembo mmoja mkazi wa Tandale-Kwatumbo, jijini Dar baada ya kumparamia na bodaboda kando ya barabara. Mrembo (jina halikufahamika mara moja) aliyenusurika kifo baada ya kugongwa na mwendesha bodaboda aliyefahamika kwa jina moja la Fikiri. Katika tukio hilo lililotokea hivi karibuni, dereva huyo wa bodaboda akiwa anatokea… ...

 

11 years ago

Mwananchi

UKATILI: Ndoa ya watoto yageuka majanga, nusura amuue mke kisa ng’ombe

>Ni muda wa saa 5:45 asubuhi tunafika nyumbani kwa  Simioni  Sagire, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mifugo katika kijiji cha Kwitete kata ya Nyamoko wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara.

 

11 years ago

GPL

CHAZ BABA ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE

Chaz Baba akizungumza na waandishi na wahariri wa Global Publishers (hawapo pichani). Akisikiliza maswali kutoka kwa waandishi na wahariri wa Global (hawapo pichani).…

 

10 years ago

GPL

CHAZ BABA ATEMBEZA KICHAPO MTAANI!

Issa Mnally
Mtiti! Prezidaa wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ ametembeza kichapo mtaani kwa kuwatandika bakora vijana waliokuwa wakimrekodi kwenye simu wakati akihangaika kufungua tairi la gari lake lililopata pancha. Tukio hilo lililoshuhudiwa na paparazi wetu lilijiri hivi karibuni, maeneo ya Makumbusho, Dar, anakoishi staa huyo.
Awali, mwanamuziki huyo aliegesha gari lake hilo aina ya...

 

11 years ago

GPL

CHAZ BABA: SAJENT AMEGOMEA MWANANGU

Na Musa Mateja
PREZIDAA wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ amefunguka kuwa anatamani kuishi na mwanaye aliyezaa na mwigizaji Husna Idd ‘Sajent’ lakini mzazi mwenziye huyo amekuwa akimgomea. Prezidaa wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ akiwa kwenye ofisi za Global Publishers. Akizungumza na paparazi wetu, Chaz Baba alisema kabla hajaoa alikuwa...

 

11 years ago

GPL

ROSE, CHAZ BABA BIFU ZITO

Na Shakoor Jongo TIFU! Ni dhahiri kuwa sasa, staa wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka na Rais wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ wapo kwenye bifu zito.Habari kutoka kwa chanzo chetu zinasema kuwa, chanzo cha bifu hilo ni fedha, ambapo Rose alikodisha gari la Chaz Baba kwa ajili ya matumizi yake lakini akalirudisha likiwa limeharibika na kumuomba Chaz alitengeneze kisha angemlipa fedha zake, lakini...

 

11 years ago

GPL

CHAZ BABA: SAJENT HAKUSTAHILI KUOLEWA NA MIMI

Na  Musa Mateja
RAIS wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ amefunguka kuwa mwigizaji Husna Idd ‘Sajent’ hakustahili kuwa mkewe licha ya kwamba walizaa naye mtoto mmoja.
Akizungumza na Global TV Online hivi karibuni, Chaz Baba alisema Sajent ni mwanamke mzuri lakini hana vigezo vya kuolewa na yeye kwani wote ni maarufu. Rais wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel...

 

10 years ago

GPL

CHAZ BABA UKIENDEKEZA KUPIGA, JELA INAKUHUSU

Charles Gabriel ‘Chaz Baba’. KWAKO jembe, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’. Mwalimu wao kwenye muziki wa dansi Bongo. Uwezo wako nautambua, nimekuwa shabiki wako kwa muda mrefu kidogo.Ni matumaini yangu uko poa, unaendelea na mishe zako kama kawaida. Mimi mzima, namshukuru Mungu maisha yanasonga. Jukumu langu la kuandika na kukosoa linaendelea na leo nimekukumbuka wewe.Dhumuni la kukumbuka leo kwanza ni...

 

11 years ago

GPL

SAJENTI: SIMTOI MWANANGU KWA CHAZ BABA NG’O

Stori: Gladness Mallya
BAADA ya mkali wa Bongo Dansi kutoka Bendi ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ kudai ana mpango wa kumchukua mwanaye ili akaishi naye, hatimaye mzazi mwenzake, Husna Idd ‘Sajenti’,  amesema hawezi kumtoa mwanaye. Mkali wa Bongo Dansi kutoka Bendi ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ akiwa kwenye ofisi za Global Publishers. Akistorisha na paparazi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani