CHAZ BABA UKIENDEKEZA KUPIGA, JELA INAKUHUSU

Charles Gabriel ‘Chaz Baba’. KWAKO jembe, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’. Mwalimu wao kwenye muziki wa dansi Bongo. Uwezo wako nautambua, nimekuwa shabiki wako kwa muda mrefu kidogo.Ni matumaini yangu uko poa, unaendelea na mishe zako kama kawaida. Mimi mzima, namshukuru Mungu maisha yanasonga. Jukumu langu la kuandika na kukosoa linaendelea na leo nimekukumbuka wewe.Dhumuni la kukumbuka leo kwanza ni...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
ROSE, CHAZ BABA BIFU ZITO
10 years ago
GPL
CHAZ BABA ATEMBEZA KICHAPO MTAANI!
11 years ago
GPL
CHAZ BABA ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE
11 years ago
GPLCHAZ BABA: SAJENT AMEGOMEA MWANANGU
11 years ago
GPL
CHAZ BABA NUSURA AMUUE MKEWE!
11 years ago
GPL
CHAZ BABA: SAJENT HAKUSTAHILI KUOLEWA NA MIMI
11 years ago
GPL
SAJENTI: SIMTOI MWANANGU KWA CHAZ BABA NG’O
11 years ago
GPL
SAJENTI: SIWEZI KUSAHAU KITENDO CHA CHAZ BABA KUMKANA MWANANGU
10 years ago
Bongo Movies11 Mar
Wema Sepetu Amsifia Chaz Baba Kuwa Ndiye Aliyekuwa Mwanaume wa Kweli!
Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amekanusha kurudiana na mpenzi wake wa zamani Chaz Baba japo amedai kuwa muimbaji huyo wa muziki wa band ndiye mwanaume wa pekee ambaye hakuwa na masuala ya kiswazi baada ya kuachana.
Wema ameiambia U Heard ya Clouds FM Jumatano hii kuwa Chaz Baba kwa sasa ni mshkaji wake na hata alipooa alimchangia pesa.
“Chaz Baba alikuwa ni msikaji wangu naweza kusema ndio boyfriend pekee asiye na mambo ya Kiswahili,” amesema. “Tulizinguana tukafika pointi...