Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Athari za dawa ya meno kwa mbegu za uzazi

Wanasayansi wanasema kemikali zinazopatikana katika dawa ya kusugua meno na sabuni zinaweza kuharibu mbegu za uzazi za wanaume.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Athari za dawa zenye zebaki katika tiba ya meno

AGENDA ni miongoni mwa asasi zisizo za serikali (NGOs) zaidi ya 30 katika bara la Afrika zilizosaini Azimio la Abuja kutaka bara hili liwe la kwanza kuacha kutumia dawa zenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

'Dawa' ya mpango wa uzazi kwa wanaume

Wanasayansi wanadai kuwa dawa mpya liyozinduliwa ya mpango wa uzazi kwa wanaume imefanikiwa kwa asilimia 99.

 

10 years ago

Mwananchi

Watumia zebaki hatarini kuharibu mbegu za uzazi

Mbeya. Watanzania waliotumia kemikali ya zebaki (mercury) wakati wa kuchenjua madini ya dhahabu wengi wao watakuwa na mbegu za uzazi zilizoharibika maumbile yake, imeelezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Ampicillin; Dawa za kutibu U.T.I (2)Usizitumie sanjari na dawa za kupanga uzazi

Mpendwa msomaji nakushukuru kwa kutenga muda wako kwa ajili ya kusoma safu hii. Katika makala yetu ya leo nitaendelea kutoa maelezo ya namna bora ya kutumia dawa za kutibu U.T.I. Kwa faida ya wasomaji wapya nitaelezeza tena kwa ufupi kuhusu ugonjwa wa U.T.I.

 

10 years ago

Habarileo

Waziri aonya dawa za wakunga wa jadi kwa uzazi salama

DAWA za kienyeji wanazopatiwa wajawazito na wakunga wa jadi wakati wa kujifungua husababisha matatizo ya kiafya kwa watoto wanaozaliwa na wanawake hao.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbegu za kiume za mwenye VVU zaoshwa zatumika katika uzazi

Hakika teknolojia inazua mengi, hata yale ambayo hayakuwahi kufikiriwa na mababu zetu karne nyingi zilizopita.

 

5 years ago

Michuzi

WIZARA YA KILIMO YAWAPONGEZA WATAFITI WA MBEGU ZA MICHIKICHI KWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MBEGU BORA

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyeshika miche ) akikagua kitalu cha miche ya michikichi inayozalishwa na Gereza Kwitanga kwa ushirikiano na TARI Kihinga.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi uliozalishwa na Kituo cha utafiti TARI Kihinga mkoa wa Kigoma leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya akikagua kitalu cha miche bora ya zao la michikichi katika Gereza Kwitanga mkoa wa Kigoma leo alipotembelea kuona utekelezaji wa...

 

10 years ago

GPL

ATHARI ZA MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI

Maambukizi kitaalamu huitwa ‘Pelvic Inflammatory Diseases’. Maambukizi haya huwa sugu na huchukua muda mrefu mwanamke kupona endapo atakuwa na tatizo hili.Maambukizi hushambulia kizazi na mirija ya mayai na viungo jirani kama vile kibofu cha mkojo na tumbo. Chanzo cha maambukizi
Maambukizi haya huwapata wanawake walio katika umri wa miaka 15 hadi 25 ambao tunasema wapo katika umri wa kuzaa. Vimelea vya ugonjwa huu...

 

9 years ago

Michuzi

Kutoka Ocean Road hadi Muhimbili kuagwa sabuni za kuogea za kufulia, miswaki na dawa za meno kwa watoto wenye matatizo ya kansa waliolazwa hapo na wazazi .

wanafunzi waliosoma zamani shule za St Joseph's Convent School na Forodhani Secondary School (St Josephs and Forodhani ALUMNI) washerehekea tarehe12 December kwa kuwapelekea wagonjwa 360 wa kansa hospitali za Ocean Road na Muhimbili sabuni za kufulia na kuogea, miswaki na dawa za kusafishia meno. Mkuu wa msafara Collins Rutenge, amesema tarehe 9 Disemba walikuwa wakifanya usafi kila mmoja alipo.  Kama kukindi waliamua kupeleka vifaa vya usafi kwa wagonjwa wa kansa waliolazwa hospitali za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani