Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri aonya dawa za wakunga wa jadi kwa uzazi salama

DAWA za kienyeji wanazopatiwa wajawazito na wakunga wa jadi wakati wa kujifungua husababisha matatizo ya kiafya kwa watoto wanaozaliwa na wanawake hao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

SMZ kuwapatia elimu wakunga wa jadi

WIZARA ya Afya imesema inathamini kazi inayofanywa na wakunga wa jadi katika kutoa huduma za kujifungua kwa kinamama majumbani na kusema inakusudia kuwapatia mafunzo zaidi ya kazi zao.

 

10 years ago

Michuzi

WAKUNGA WA JADI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WATALAM WA AFYA ZANZIBAR

Mmoja wa wakunga wa jadi Bi. Namboto Sheha Kombo akielezea jinsi wanavyofanya kazi zao za ukunga katika mkutano uliofanyika Hospitali ya Kivunge Mkoa wa kaskazini "A" Unguja.Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahamoud Thabit Kombo akizungumza na wakunga wa jadi, na kuwataka washirikiane na watalaam wa Afya katika kazi zao ili kupunguza vifo vya Akinamama na watoto.Msaidizi daktari dhamana Hospitali ya Muembe ladu Ruzuna A.M. Shamte akifahamisha kitu katika mkutano wa wakunga wa jadi na watalam wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania ina waganga wa jadi na wakunga wa tiba asili 75,000 huku 6000 pekee ndio wamesajiliwa

Msajili Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Mboni Zuwena Bakari, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari,

Msajili Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Mboni Zuwena Bakari, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akielezea kuhusu maendeleo ya tiba hiyo. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Tiba Asilia na Tiba Mbadala, Dk. Paulo Mhame na kulia ni Ofisa Habari wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Catherine Sungura.

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Imeelezwa kuwa Tanzania ina waganga wa jadi na wakunga wa tiba asili 75000 ambaapo waliosajiliwa pekee...

 

10 years ago

BBCSwahili

'Dawa' ya mpango wa uzazi kwa wanaume

Wanasayansi wanadai kuwa dawa mpya liyozinduliwa ya mpango wa uzazi kwa wanaume imefanikiwa kwa asilimia 99.

 

11 years ago

BBCSwahili

Athari za dawa ya meno kwa mbegu za uzazi

Wanasayansi wanasema kemikali zinazopatikana katika dawa ya kusugua meno na sabuni zinaweza kuharibu mbegu za uzazi za wanaume.

 

10 years ago

Mwananchi

Ampicillin; Dawa za kutibu U.T.I (2)Usizitumie sanjari na dawa za kupanga uzazi

Mpendwa msomaji nakushukuru kwa kutenga muda wako kwa ajili ya kusoma safu hii. Katika makala yetu ya leo nitaendelea kutoa maelezo ya namna bora ya kutumia dawa za kutibu U.T.I. Kwa faida ya wasomaji wapya nitaelezeza tena kwa ufupi kuhusu ugonjwa wa U.T.I.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume wa Tanzania na uzazi salama

Wanaume nchini Tanzania wamekuwa wazito kutumia baadhi njia za uzazi wa mpango, hasa ile ya kudumu kwa kufunga uzazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo muhimu ya kuzingatia uzazi salama

Uzazi ni suala la msingi linalotawala viumbe vyote vilivyo hai duniani.

 

10 years ago

Habarileo

Changamoto zinazokwamisha uzazi salama kudhibitiwa

KAMATI ya Afya ya Uendeshaji ya Wilaya ya Nkasi imeahidi kufanyia kazi changamoto zinazokabili vituo kadhaa vya afya na kukwamisha ufanisi katika utoaji wa huduma za dharura wakati wa kujifungua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani